Pre GE2025 Lissu unataka kuongea nini na Rais, subirini uchaguzi uishe mwezi Oktoba 2025

Pre GE2025 Lissu unataka kuongea nini na Rais, subirini uchaguzi uishe mwezi Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi huoni aibu ??

UFIPA huenda wasione kilichopo mbele yao na kinachokuja kukikuta chama chao lakini dalili wameziona juzi wakipozimiwa umeme ukumbini kwa kuwa muda wa kufanya mkutano wao kuisha na kukosa 50m TZS kulipa ili kuendelea kutumia ukumbi pale Mlimani City.

Wakashindwa kuwa na 50m TZS na wenye ukumbi wakawalazimisha waondoke kwa kuwa muda wao umekwisha!..Haya ni mambo ambayo huwezi kuwasikia wakiyazungumza lakini ni ishara nzuri sana za wapi wanakwenda kama kikundi cha wanaharakati wa siasa.
 
Nakuuliza,

Mbona haraka hivyo,

Unamaanisha Vita ya Gaza Si muhimu tena, ughafula umetoka wapi baada tu ya Lissu kuingia mzigoni?

anaongelea mambo ya "No Reforms No Elections" inawezekana hajui kuwa mabadiliko ya sheria za uchaguzi yalishafanywa na wao walisusia kila kitu mpaka wakaandamana lakini wengi wakashinda kwa kura kule bungeni na sheria ikapitishwa pamoja na kususa kwao!.
Lissu, anaongelea mambo ya "No Reforms No Elections" inawezekana hajui kuwa mabadiliko ya sheria za uchaguzi yalishafanywa na wao walisusia kila kitu mpaka wakaandamana lakini wengi wakashinda kwa kura kule bungeni na sheria ikapitishwa pamoja na kususa kwao!.
 
Nimemsikiliza kwa makini sana, ila najiuliza anataka kukaa kikao na Rais kujadili nini wakati wasaidizi wa Rais ambao aliwateua kumsaidia anawaita ni side show sijui debe tupu
Sasa mtu kama tyson mnajadiliana nae nini kama siyo kupotezeana mda ccm bure kabisa😁😁😁😁
 
Kwa kua mmezoea kuwa machawa na mambumbu mnazani kila nyakati zipo hivo
Lissu, ni mwendawazimu anadhani Tanzania haiwezi kufanya uchaguzi bila wao. Kwani wao ni nani yaani? Tanzania ina vyama 19 vya kisiasa kwani wao wakisusia uchaguzi kuna shida gani? Kama hawajajipanga wanaweza kususia tu na next time wakiwa tayari watakuja kushiriki lakini kuwaza kuwa nchi inaweza kusimama na kukwama kufanya uchaguzi kwa ajili ya wao kususa ni upumbavu na ujinga wa haki ya juu sana!..Ni mtu mwendawazimu tu kama Chiba ndiyo anaweza kuwa na mawazo kama haya ya hivi!.
 
Lissu, anaongelea mambo ya "No Reforms No Elections" inawezekana hajui kuwa mabadiliko ya sheria za uchaguzi yalishafanywa na wao walisusia kila kitu mpaka wakaandamana lakini wengi wakashinda kwa kura kule bungeni na sheria ikapitishwa pamoja na kususa kwao!.
Nikwambie tu Kwa ufupi,

Patakuwa na mabadiliko ya Tume huru ya Uchaguzi kabla ya October 2025.

Mtake mistake, mtasikiliza,

Na 2026,

Katiba mpya utaanza kutumika.

Tusubiri.
 
Lissu, ni mwendawazimu anadhani Tanzania haiwezi kufanya uchaguzi bila wao. Kwani wao ni nani yaani? Tanzania ina vyama 19 vya kisiasa kwani wao wakisusia uchaguzi kuna shida gani? Kama hawajajipanga wanaweza kususia tu na next time wakiwa tayari watakuja kushiriki lakini kuwaza kuwa nchi inaweza kusimama na kukwama kufanya uchaguzi kwa ajili ya wao kususa ni upumbavu na ujinga wa haki ya juu sana!..Ni mtu mwendawazimu tu kama Chiba ndiyo anaweza kuwa na mawazo kama haya ya hivi!.
Bila KATIBA Mpya na Tume huru ya Uchaguzi,

Hakitafanyika uchaguzi kabisa.
 
Wanaukumbi.

KUONGEA KUHUSU NINI?

Yaani Lissu, anachekesha sana. Yaani mnataka kuingia serikalini kwa mlango wa nyuma. Nyie mnataka kuongea subirini uchaguzi uishe mwezi Oktoba 2025 kwa sasa hakuna muda wa kuongea watu wako bize na kuaandaa ilani na kujipanga na uchaguzi

Juzi tu ulikuwa anamponda Mbowe kwa nini amekutana na Rais Samia. Wewe umechaguliwa juzi tu unataka kuongea na Rais Samia, muongee nini?

Mnataka kususia uchaguzi eti 'No Elections, No Reforms', mnampa nani hii amri?

Tuna vyama zaidi ya 15 nchi hii, msiposhiriki nyie uchaguzi wengine watashiriki na serikali itaundwa kama kawaida.
Sema visipo shiriki utashiriki wewe uchafuzi
 
Nikwambie tu Kwa ufupi,

Patakuwa na mabadiliko ya Tume huru ya Uchaguzi kabla ya October 2025.

Mtake mistake, mtasikiliza,

Na 2026,

Katiba mpya utaanza kutumika.

Tusubiri.
Nimesikitika sana kitendo cha chama changu Chadema kwa siku ya jana kushindwa kulipia ukumbi wa mlimani city Tsh 50M na kulazimika kuahirisha uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu ya chama ambao ulikua ufanyike jana.Haijawahi kua desturi ya chama chetu kwan ni chama cha kibepar
 
Wanaukumbi.

KUONGEA KUHUSU NINI?

Yaani Lissu, anachekesha sana. Yaani mnataka kuingia serikalini kwa mlango wa nyuma. Nyie mnataka kuongea subirini uchaguzi uishe mwezi Oktoba 2025 kwa sasa hakuna muda wa kuongea watu wako bize na kuaandaa ilani na kujipanga na uchaguzi

Juzi tu ulikuwa anamponda Mbowe kwa nini amekutana na Rais Samia. Wewe umechaguliwa juzi tu unataka kuongea na Rais Samia, muongee nini?

Mnataka kususia uchaguzi eti 'No Elections, No Reforms', mnampa nani hii amri?

Tuna vyama zaidi ya 15 nchi hii, msiposhiriki nyie uchaguzi wengine watashiriki na serikali itaundwa kama kawaida.
Mama abdul hajui lolote maskini.
 
Wanaukumbi.

KUONGEA KUHUSU NINI?

Yaani Lissu, anachekesha sana. Yaani mnataka kuingia serikalini kwa mlango wa nyuma. Nyie mnataka kuongea subirini uchaguzi uishe mwezi Oktoba 2025 kwa sasa hakuna muda wa kuongea watu wako bize na kuaandaa ilani na kujipanga na uchaguzi

Juzi tu ulikuwa anamponda Mbowe kwa nini amekutana na Rais Samia. Wewe umechaguliwa juzi tu unataka kuongea na Rais Samia, muongee nini?

Mnataka kususia uchaguzi eti 'No Elections, No Reforms', mnampa nani hii amri?

Tuna vyama zaidi ya 15 nchi hii, msiposhiriki nyie uchaguzi wengine watashiriki na serikali itaundwa kama kawaida.
Kama Chadema isiposhiliki uchaguzi hakuna mwananchi mwenye akili timamu atakaye jisumbua kupiga kura; hivyo vyama 15 unavyovisema ni matawi ya ccm
 
Mama abdul hajui lolote maskini.
Halafu anapotaka mabadiliko yafanyika yanafanywa na bunge lipi? Hili ambalo 99% ni CCM au ana bunge jingine? Au bunge hili linalovunjwa miezi michache ijayo? Kwa hiyo bunge hili litapitisha mambo ya UFIPA au vipi? Ni mtu mwendawazimu tu anayeweza kuwaza kuwa bunge la wabunge wengi wa CCM linaweza kupitisha mambo yao au wanayoyataka wao kwa manufaa yao au mitazamo yao.

Lissu, hawezi kukipeleka hiki chama kwenye uchaguzi kwa mafanikio na hawezi kukivusha kwenye uchaguzi kwa mafanikio kwa hiyo kwake ni lazima atengeneze mazingira ya kufanya vurugu na ikibidi uhaini kabisa ili tu kuonyesha relevance ya uwepo wake kama mwenyekiti!. Hakuna jinsi chama hiki kinaweza kufanya maajabu na kushinda kwenye uchaguzi ujao! Hakuna hayo maajabu na hawezi kuwa mayo hayo maajabu hata afanyeje!..
 
Nimesikitika sana kitendo cha chama changu Chadema kwa siku ya jana kushindwa kulipia ukumbi wa mlimani city Tsh 50M na kulazimika kuahirisha uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu ya chama ambao ulikua ufanyike jana.Haijawahi kua desturi ya chama chetu kwan ni chama cha kibepar
Uchaguzi utafanyika hata chini ya mwembe,

Muhimu uchaguzi uwe huru na HAKI.

Lissu ndio ameingia, chama kitapata pesa nyingi sana za HAKI zitokanazo na JASHO la wananchi, sio RUSHWA za Abdul na rosto tamu!!
 
Wanaukumbi.

KUONGEA KUHUSU NINI?

Yaani Lissu, anachekesha sana. Yaani mnataka kuingia serikalini kwa mlango wa nyuma. Nyie mnataka kuongea subirini uchaguzi uishe mwezi Oktoba 2025 kwa sasa hakuna muda wa kuongea watu wako bize na kuaandaa ilani na kujipanga na uchaguzi

Juzi tu ulikuwa anamponda Mbowe kwa nini amekutana na Rais Samia. Wewe umechaguliwa juzi tu unataka kuongea na Rais Samia, muongee nini?

Mnataka kususia uchaguzi eti 'No Elections, No Reforms', mnampa nani hii amri?

Tuna vyama zaidi ya 15 nchi hii, msiposhiriki nyie uchaguzi wengine watashiriki na serikali itaundwa kama kawaida.
😂😂😂
We Jamaa ni Chizi kumbe.
 
Tundu Lissu kasema kukaa na kuongea na mzee Wasira ni kupoteza muda..

hakuna muda wa kuongea watu wako bize na kuaandaa ilani na kujipanga na uchaguzi

Wanaandaa ilani au wanaanda Wizi wa kura?
 
Wanaandaa ilani au wanaanda Wizi wa kura?
Hivi kweli chama kinachoshindwa kulipa 50m TZS za ukumbi wa mikutano kinawezaje kuwa muhimu na kusimamisha uchaguzi usifanyike? Kivipi yaani?
 
Wanaukumbi.

KUONGEA KUHUSU NINI?

Yaani Lissu, anachekesha sana. Yaani mnataka kuingia serikalini kwa mlango wa nyuma. Nyie mnataka kuongea subirini uchaguzi uishe mwezi Oktoba 2025 kwa sasa hakuna muda wa kuongea watu wako bize na kuaandaa ilani na kujipanga na uchaguzi

Juzi tu ulikuwa anamponda Mbowe kwa nini amekutana na Rais Samia. Wewe umechaguliwa juzi tu unataka kuongea na Rais Samia, muongee nini?

Mnataka kususia uchaguzi eti 'No Elections, No Reforms', mnampa nani hii amri?

Tuna vyama zaidi ya 15 nchi hii, msiposhiriki nyie uchaguzi wengine watashiriki na serikali itaundwa kama kawaida.
Tunataka Abdul ahukuwe kwa kutoa rushwa.
 
Tunataka Abdul ahukuwe kwa kutoa rushwa.
Kama hamjajipanga na uchaguzi wa Oktoba 2025 mna hiyari ya kukaa pembeni mtakuja kushiriki siku zijazo kama mtakuwa bado mko hai lakini eti Tanzania isifanye uchaguzi kisa UFIPA wanataka katiba mpya ni ujinga wa hali ya juu sana kuwahi kutokea!.
 
Hivi kweli chama kinachoshindwa kulipa 50m TZS za ukumbi wa mikutano kinawezaje kuwa muhimu na kusimamisha uchaguzi usifanyike? Kivipi yaani?
Nasikia ulikuwa Iraq kusimamia kupitisha sheria ya kuoa watoto wa miaka 9. Aibu!
 
😂😂😂
We Jamaa ni Chizi kumbe.
Kwanza miaka yote mliyokuwa wabunge na mnabugia ruzuku kwani katiba gani ilikuwa inatumika? Halafu mchakato wa katiba si mliuvuruga na wahuni wenzenu wa UKAWA au?

Tunawasubiri kwa hamu sana na hiyo slogan yenu ya No Reform No Election tuwanyooshe vizuri mpaka mtakaa sawa!
 
Back
Top Bottom