Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Wanaahirisha kufikiri kizalendo a .k.a kujizima data, watawasha tu hizo dataMajizi ya kura hata aibu hamna. Toka lini kuongea mambo bora ya nchi yetu ilianza kuwa shida?
Ni mtu Mwizi tu Anaweza kukataa tume huru ya uchaguzi.
Similarly it is never too late in life