Pre GE2025 Lissu unataka kuongea nini na Rais, subirini uchaguzi uishe mwezi Oktoba 2025

Pre GE2025 Lissu unataka kuongea nini na Rais, subirini uchaguzi uishe mwezi Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe punguani kweli unataka nikujibu unavyotaka wewe?

Lissu, Anataka KUONGEA KUHUSU NINI?

Yaani Lissu. ni lijinga sana. Yaani mnataka kuingia serikalini kwa mlango wa nyuma. Nyie mnataka kuongea subirini uchaguzi uishe mwezi Oktoba 2025 kwa sasa hakuna muda wa kuongea watu wako bize na kuaandaa ilani na kujipanga na uchaguzi

Kuongea kuhusu nini kwanza?
Wewe ni kichaa. Period
 
Wewe ni kichaa. Period
Mnataka kususia uchaguzi eti 'No Elections, No Reforms', mnampa nani hii amri?

Tuna vyama zaidi ya 15 nchi hii, msiposhiriki nyie uchaguzi wengine watashiriki na serikali itaundwa kama kawaida.
 
Back
Top Bottom