Pre GE2025 Lissu unataka kuongea nini na Rais, subirini uchaguzi uishe mwezi Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe kwanini unapost sasa huu Uzi??

Si ungesbuiri October??
Wewe nani unanipangia cha kupost? Kwa hiyo wewe upo JF kupangia watu cha kuandika punguani kweli wewe.
 
Wewe ni kichaa. Period
 
Wewe ni kichaa. Period
Mnataka kususia uchaguzi eti 'No Elections, No Reforms', mnampa nani hii amri?

Tuna vyama zaidi ya 15 nchi hii, msiposhiriki nyie uchaguzi wengine watashiriki na serikali itaundwa kama kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…