Lissu: Wakili msomi, mwanasiasa asiye kiongozi mzuri

Lissu: Wakili msomi, mwanasiasa asiye kiongozi mzuri

gcmmedia

Member
Joined
Jul 19, 2024
Posts
34
Reaction score
75
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.

Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.

Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.

Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
 
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.

Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani.

Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CDM, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CDM waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
....Freeman ana CHAWA wake wasiotaka Mabadiliko !...
 
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.

Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.

Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.

Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Nadhani Na Wewe Unatoka Kule Kuleee Tubadilike....
 
Power is the ability, to make someone do something otherwise he wouldn’t do.

Mbowe ni fisadi, but he knows how to concentrate support within the party to maintain power.

Lissu ni amateur, ulitegemea kwa muda aliokaa ndani ya CDM awe ashajifunza kutokana na failed coup attempt za wenzake (Zitto et al) yeye aende ndani zaidi.

Lissu ni mchanga kisiasa, Mbowe anaenda maliza siasa zake.
 
Tundu Lissu ndiye anayefaa . Hakuna kiongozi perfect.
Vita mbinu, Lissu ni mtoto kwa fisadi Mbowe kwenye siasa.

Amekurupuka na si ajabu Mbowe aliacha kazi ya ukarabati wa dari aone wapi panapovuja.

Lissu hana mikakati ya kumshinda Mbowe miaka 800 uenyekiti wa CDM.

Vita mbinu, sio kukurupuka; hapo ndipo Lissu alipoonyesha bado.

Sasa sisemi Mbowe ndio kiongozi sahihi wa CDM, ila Lissu sio tactical. Mbowe hiyo coup attempt yao anaizima dakika moja tu.

If anything imeonyesha uchanga wa Lissu kwenye siasa.
 
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.

Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.

Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.

Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Lissu kamwaga mafuta ya taa kwenye kichuguu wadudu wote lazima watoke nje.
 
Lissu kamwaga mafuta ya taa kwenye kichuguu wadudu wote lazima watoke nje.
Kumvaa kiongozi wa chama inataka kuwashawishi kwanza walau 60% ya kamati kuu ya chama.

Kama ni serikali 60% ya kamati kuu ya chama, 60% mawaziri wakiwemo wale seniors na 60% ya wabunge.

Sio rahisi hivyo kama Lissu anavyodhani, amejichimbia kaburi ndani ya CDM.

Hatoboi miaka 800 ameonyesha uchanga wake wa siasa; hakina Zitto walijipanga kwanza kushinda yeye.

Kama utaelewa sakata la kina Julianza Shonza, Mtela Mwambapa, Dr Kitila Mkumbo kufukuzwa CDM na wengineo.

Ni mwisho wa siasa kwa Lissu, too ambitious.
 
Lissu ni mchanga kisiasa, Mbowe anaenda maliza siasa zake.
Kama JPM alishindwa, ndio Mbowe ataweza? Wakienda one on one head-on Lissu anamuangusha Mbowe. Unakumbuka kura za maoni Urais 2020 Mbowe alichukuliwa fomu ila uliona watu walivyopanic hadi ikabidi asirudishe.

Mbowe is that good ila kwa era hii tunahitaji mtu kama Lissu aje na vision mpya ya kubadili chama
 
Kama JPM alishindwa, ndio Mbowe ataweza? Wakienda one on one head-on Lissu anamuangusha Mbowe. Unakumbuka kura za maoni Urais 2020 Mbowe alichukuliwa fomu ila uliona watu walivyopanic hadi ikabidi asirudishe.

Mbowe is that good ila kwa era hii tunahitaji mtu kama Lissu aje na vision mpya ya kubadili chama
Tunataka Tanzania ichangamke.Mbowe amepiga umri.Busara mingi hadi anachosha.
 
Kama JPM alishindwa, ndio Mbowe ataweza? Wakienda one on one head-on Lissu anamuangusha Mbowe. Unakumbuka kura za maoni Urais 2020 Mbowe alichukuliwa fomu ila uliona watu walivyopanic hadi ikabidi asirudishe.

Mbowe is that good ila kwa era hii tunahitaji mtu kama Lissu aje na vision mpya ya kubadili chama
Kushindwa kwa JPM ni kwa hisia żako tu, hakuwa na mpinzani Tanzania; acha propaganda za kitoto.

Tuongelee habari za Lissu na Mbowe (let’s stick to the context) of the topic and politics pertaining CDM.
 
Ajabu ni kuwa eti wanaccm waliokuwa wanamuita Mbowe "Mugabe" waliposikia Lissu ametangaza nia ya kuwania kuwa mwenyekiti wamehama ghafla wanasema n kuanza kusifia Mbowe anafaa.

Chadema wasiangalie nyuma demokrasia wanayohubiri waionyeshe kwa vitendo watu washindane kura halali ziamue

Mbowe ameshafika ukomo kwa kuongoza ni vyema abaki kama mshauri tu , CCM wameua demokrasia na kwa siasa za mtindo wa Mbowe wa matamko bila vitendo hawatofua dafu.

Ukiona adui yako anakusifia ni vyema kutafakari kuna mahali unakosea.
 
Back
Top Bottom