Lissu: Wakili msomi, mwanasiasa asiye kiongozi mzuri

Lissu: Wakili msomi, mwanasiasa asiye kiongozi mzuri

Wapi nimeongelea alikua na mpinzani? Wewe umesema Mbowe atamaliza siasa za Lissu, ndio nasema kama JPMA na risasi zote zile na kumfukuza ubunge na bado Lissu akarudi kushine kwenye siasa, ndio Mbowe ataweza mmaliza?
Mbowe atammaliza sababu huo uenyekiti atashinda, hatompa fursa ya kugombea uraisi.

Baada ya hapo Lissu atakuwa mwanachama wa kawaida, ambae hawezi tumia platform ya CDM kujijenga that’s not rocket science.

Hayo ya Magufuli kumpiga risasi uwezi thibitisha pia.
 
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.

Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.

Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.

Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Kuna kura za maoni zinaendelea kupigwa humu, ukishamaliza kusoma maoni ya watu kwenye huu uzi wako, nakushauri nenda kaangalie hizo kura za maoni zinamuweka wapi Lissu.
 
CHADEMA kingekuwa chini ya John Heche, kingevutia kundi kubwa la vijana kupambania mabadiliko ya kweli katika nchi. Kwangu mimi naona Tundu Lissu na yeye bado hatoshi.
Heche awe Katibu Mkuu wa Mwenyekiti Lussu.
Chama kitakuwa na foward hatari kama ile Barcelona ya kina Messi. Ma ccm ni wahuni inatakiwa siasa za combination hiyo hapo sasa!.
 
Anachokosa Lissu ni busara za kulemba lemba na lugha ya upole. Vinginevyo ni kiongozi mzuri kuliko watu wengi. Anafaa although not the best.
Note: simlinganishi na Mbowe.
Haahaa nini maana ya busara? hizi ni blah blah, kiongozi amewahi kuwa makamu anashindwaje kuwa mwenyekiti?
 
CHADEMA kingekuwa chini ya John Heche, kingevutia kundi kubwa la vijana kupambania mabadiliko ya kweli katika nchi. Kwangu mimi naona Tundu Lissu na yeye bado hatoshi.
Haahaa hongera kwa kunyoa maoni, lissu kwangu ndo silaha pekee iliyobaki chadema kwa sasa.Atawavusha sana
 
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.

Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.

Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.

Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Relax. Kwa nini mlimpa u makamu mwenyekiti wakati mnaju si kiongozi mzuri? Kwa nini kila mwaka mnawapelekea wanaikungi ili awe mbunge wao wakati mnajua hawezi?
Jambo hilo la TAL kutokua kiongozi, ndo umelijua leo baada ya kutangaza kuchuana na Ayatollah?
 
Mbowe atammaliza sababu huo uenyekiti atashinda, hatompa fursa ya kugombea uraisi.

Baada ya hapo Lissu atakuwa mwanachama wa kawaida, ambae hawezi tumia platform ya CDM kujijenga that’s not rocket science.

Hayo ya Magufuli kumpiga risasi uwezi thibitisha pia.
Mbona kugombea urais 2020 Mbowe alichukua fomu ila alipoona upepo akakimbia. Lissu akishindwa kihalali haiwezi kuwa mwisho wake maana he's politically active pengine kuliko mwanasiasa yoyote Tanzania so hawezi potea kisa kuwa mwanachama wa kawaida pengo litaonekana.

Ila nikwambie tu Lissu sio zitto, akifanyiwa figisu ndio utakua mwisho wa Mbowe na kitageuka kama NCCR au CUF. Maana Hata Urais Lissu akigombea kupitia ACT bado atamzidi kura Mbowe
 
Ahahahahahah.
Kweli bwanaa..
Mimi jana sikua sana online ila nikiwa narud home nasikiliza Dochevele ndio nikasikia Lissu kaliamsha huko afrika mashariki, heeh kurud mtandaoni, kwel bwana kachafua hali ya hewa 😂😂
Kama taifa ni lazima tuchangamshwe kidogo.Siyo kuzubaa kama kipolo cha dona.Hata mzee Kikwete anajua hilo.
 
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.

Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.

Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.

Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Abdul na genge lenu mmeannza kuhaha
 
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.

Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.

Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.

Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.

CCM mnapata taabu sana!
 
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.

Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.

Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.

Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.

Huyu simba kawalaza watu uchi jana aisee, sio kwa nyuzi na kila uchafu unaojazwa kwenye hii server duh! Hebu tuambie wewe kiongozi mzuri na nani na umetumia vipimo gani kumpima? Unaugua ukiwa wapi kijana?
 
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.

Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.

Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.

Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Heche agombee nafasi ya Mwenyekiti Chadema.
 
Anachokosa Lissu ni busara za kulemba lemba na lugha ya upole. Vinginevyo ni kiongozi mzuri kuliko watu wengi. Anafaa although not the best.
Note: simlinganishi na Mbowe.

Hiki ni nini? Ndio kipimo cha viongozi? Tusaidie kufahamu kijana
 
Back
Top Bottom