Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Mbowe atammaliza sababu huo uenyekiti atashinda, hatompa fursa ya kugombea uraisi.Wapi nimeongelea alikua na mpinzani? Wewe umesema Mbowe atamaliza siasa za Lissu, ndio nasema kama JPMA na risasi zote zile na kumfukuza ubunge na bado Lissu akarudi kushine kwenye siasa, ndio Mbowe ataweza mmaliza?
Baada ya hapo Lissu atakuwa mwanachama wa kawaida, ambae hawezi tumia platform ya CDM kujijenga that’s not rocket science.
Hayo ya Magufuli kumpiga risasi uwezi thibitisha pia.