Lissu: Wakili msomi, mwanasiasa asiye kiongozi mzuri

Lissu: Wakili msomi, mwanasiasa asiye kiongozi mzuri

Ukubwa mwingi hali mna miaka 18 mmefanya nini, wapi?
Utoto ni kudhani unaweza amka asubuhi moja na kumvaa mwenyekiti wa chama, wakati kamati kuu yote viongozi wa majimbo keshaisuka ni watu wake.

Vita mbinu, Lissu ni mtu wa hisia.

Ana utoto mwingi.
 
Utoto ni kudhani unaweza amka asubuhi moja na kumvaa mwenyekiti wa chama, wakati kamati kuu yote viongozi wa majimbo keshaisuka ni watu wake.

Vita mbinu

CCM mnapata taabu sana. Kwa hiyo mmeumia mno na hapa mnalia machozi tusiyaite ya mamba?
 
Vita mbinu, Lissu ni mtoto kwa fisadi Mbowe kwenye siasa.

Amekurupuka na si ajabu Mbowe aliacha kazi ya ukarabati wa dari aone wapi panapovuja.

Lissu hana mikakati ya kumshinda Mbowe miaka 800 uenyekiti wa CDM.

Vita mbinu, sio kukurupuka; hapo ndipo Lissu alipoonyesha bado.

Sasa sisemi Mbowe ndio kiongozi sahihi wa CDM, ila Lissu sio tactical. Mbowe hiyo coup attempt yao anaizima dakika moja tu.

If anything imeonyesha uchanga wa Lissu kwenye siasa.
Mbowe anaushawishi ndan ya Chadema na Ccm ila sio bora

Ni bora shetani umjuae kuliko jini usilolijua
Kuna nyuzi nying sana humu zitaanzishwa na wana Ccm wakijifanya ni chadema na kuna nyuzi nying sana za wanachadema zitafunguliwa humu kumponda na kumshusha lisu na wengne wataenda mbali ad kusema lisu amekurupuka, lisu anataka fanya mapinduzi, lisu ni msaliti na lugha zingne zote mbaya
 
CCM mnapata taabu sana. Kwa hiyo mmeumia mno na hapa mnalia machozi tusiyaite ya mamba?
You are better than that.

Kauli ya CCM/CDM misimamo yao kama vyama vikubwa haiwezi toka kwa watu wasio wasemaji wao rasmi wa chama au viongozi wao.

Hapa tunajadili tu.

Mimi sio Nchimbi, Makalla, Kawaida, Jokate na wengine wenye nafasi za mikoa na wilaya.

CCM na CDM ina watu wao wa kutoa kauli ambazo chama ina wajibu wa kuzitetea zikitolewa mitandaoni na makada wao rasmi.

Hapa mimi na wewe ni wachangiaji tu on the topic.
 
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.

Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.

Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.

Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Sasa chama tu mtu mmoja anakaa miaka na miaka kwenye kiti je mkipewa hii nchi. Hembu kuweni serious sasa. Zama zina badilika weka kura watu wapige apatikane mshindi na ukomo wa kuwa mwenyekiti muweke ndani ya chama chenu. Sasa mnapotaka wananchi wawape imani yao kwa muenendo huu nani atawaamini kuwa mtatuletea demokrasia safi nchini
 
Mbowe anaushawishi ndan ya Chadema na Ccm ila sio bora

Ni bora shetani umjuae kuliko jini usilolijua
Kuna nyuzi nying sana humu zitaanzishwa na wana Ccm wakijifanya ni chadema na kuna nyuzi nying sana za wanachadema zitafunguliwa humu kumponda na kumshusha lisu na wengne wataenda mbali ad kusema lisu amekurupuka, lisu anataka fanya mapinduzi, lisu ni msaliti na lugha zingne zote mbaya
Ni mtazamo ambao nakubaliana nao.

Lakini ndio uhalisia wa hili jukwaa, wachangiaji wa kila siku wanajua misimamo ya members.
 
Wewe ni ant Lisu! Acha Lisu ajaribu bahati yake, watu wengi wanampenda Lisu kuliko mtu mwingine yeyote
Utoto ni kudhani unaweza amka asubuhi moja na kumvaa mwenyekiti wa chama, wakati kamati kuu yote viongozi wa majimbo keshaisuka ni watu wake.

Vita mbinu, Lissu ni mtu wa his
 
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.

Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.

Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.

Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Wenye akili nyingi sana hawatakiwi kushika nafasi za juu za uongozi. Mmojawapo ni Lisu. Nafasi kama uwaziri mkuu ndio inamfaa zaidi masna ni mtu wa kutenda.
 
Wewe ni ant Lisu! Acha Lisu ajaribu bahati yake, watu wengi wanampenda Lisu kuliko mtu mwingine yeyote
All the best kwenye harakati zake.

Uwaga sina shida nae kabisa kwenye harakati zake za kuyatoa MaCCM madarakani.

Shida yangu nae ni pale anapokuwagaga against national matters zinapotaka umoja wa kitaifa.

Haya ya yeye kuutaka uenyekiti ni opinion tu, Iła ashinde ashindwe kwakweli ni maamuzi ya CDM.

Kwa hivyo sina sababu yoyote ya kukupinga ukisema Lissu ana support ndani ya CDM kutaka agombee (mradi wewe umejiridhisha kwa upande wako).

Otherwise chukulia michango ya watu wengine kama discussion tu, vinginevyo mada aitakuwa na maana kama hakuna counter arguments.
 
Back
Top Bottom