Lissu: Wakili msomi, mwanasiasa asiye kiongozi mzuri

Lissu: Wakili msomi, mwanasiasa asiye kiongozi mzuri

Tundu Lissu ndiye anayefaa . Hakuna kiongozi perfect.

Kama naziona aina za kina imhotep, Allen Kilewella, Retired, JokaKuu, Erythrocyte, johnthebaptist, Tlaatlaah, Lucas Mwashambwa na wale wengine hadi Kizimkazi huko:

IMG_20211016_132442_593.jpg


Ukombozi si lelemama!
 
Ila Lissu ni kiboko!Akiamua kulichangamsha taifa ni dakika mbili tu anatumia.

Taifa limelala sn bora siasa za amsha amsha zirudi tulishazubaa sana kiongozi! Hii kutangaza nia tu jana kila chawa na uvccm wanahaha huko walipo, nchi nzima ilibaki inasikiliza somo. Alikuwa anafundisha taifa taratiiibu yani, huyu ni mwalimu kila mtu alitoka na kitu kipya! Naamini hata mama yetu alikuwa live anapata somo
 
Taifa limelala sn bora siasa za amsha amsha zirudi tulishazubaa sana kiongozi! Hii kutangaza nia tu jana kila chawa na uvccm wanahaha huko walipo, nchi nzima ilibaki inasikiliza somo. Alikuwa anafundisha taifa yani, kila mtu alitoka na kitu kipya!
Munyampaa Ndude ni kiboko.Ngoja aje@bintikiziwi amuone mjomba wake.
 
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.

Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.

Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.

Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Ndio maana anataka katiba ibadilishwe ili viongozi wawe na ukomo wa madaraka. Na isitoshe amependekeza kuwa ba chombo huru cha kusimamia chaguzi ndani ya chama ili apatikane kiongozi anayetakiwa na wengi kihalali. Pia ametahadharisha kuhusu jukumu la kusaka fedha kuwa la mtu mmoja maana ni hatari kwa taasisi. Sasa hapo ubinafsi wake ni upi?

Na ikifika wakati wa uchaguzi, usimpigie kira kama unaona hatafanya upendavyo. Lakini ukweli usioacha shaka ni kuwa Mbowe hastahili tena kuwa mwenyekiti wa cdm.
 
Ndio maana anataka katiba ibadilishwe ili viongozi wawe na ukomo wa madaraka. Na isitoshe amependekeza kuwa ba chombo huru cha kusimamia chaguzi ndani ya chama ili apatikane kiongozi anayetakiwa na wengi kihalali. Pia ametahadharisha kuhusu jukumu la kusaka fedha kuwa la mtu mmoja maana ni hatari kwa taasisi. Sasa hapo ubinafsi wake ni upi?

Na ikifika wakati wa uchaguzi, usimpigie kira kama unaona hatafanya upendavyo. Lakini ukweli usioacha shaka ni kuwa Mbowe hastahili tena kuwa mwenyekiti wa cdm.

Kiufupi anataka Chadema iwe taasisi yenye mifumo inayojitegemea na kufanya kazi sawasawa! Sio kama sasa hivi bora liende
 
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.

Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.

Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.

Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Lissu ana hasira sn
 
Ajabu ni kuwa eti wanaccm waliokuwa wanamuita Mbowe "Mugabe" waliposikia Lissu ametangaza nia ya kuwania kuwa mwenyekiti wamehama ghafla wanasema n kuanza kusifia Mbowe anafaa.

Chadema wasiangalie nyuma demokrasia wanayohubiri waionyeshe kwa vitendo watu washindane kura halali ziamue

Mbowe ameshafika ukomo kwa kuongoza ni vyema abaki kama mshauri tu , CCM wameua demokrasia na kwa siasa za mtindo wa Mbowe wa matamko bila vitendo hawatofua dafu.

Ukiona adui yako anakusifia ni vyema kutafakari kuna mahali unakosea.
Tulieni CHADEMA ni imara
 
Ndiyo.Haujawahi kula ugali wa kukaangwa?You've got a long way to go,boss!
Ahahah hapana niwe mkweli, ila enzi hizo nilishakula wa kuchoma, ile kiporo unakipasha motot kama unakaanga mahindi.
Ila njia effective zaid ya kupasha maza alikua anaweka ndani ya mfuko wa rambo usiopitisha maji kisha anaweka kwenye maji yanayochemka,unakua kama ugal fresh😂😂
 
Vita mbinu, Lissu ni mtoto kwa fisadi Mbowe kwenye siasa.

Amekurupuka na si ajabu Mbowe aliacha kazi ya ukarabati wa dari aone wapi panapovuja.

Lissu hana mikakati ya kumshinda Mbowe miaka 800 uenyekiti wa CDM.

Vita mbinu, sio kukurupuka; hapo ndipo Lissu alipoonyesha bado.

Sasa sisemi Mbowe ndio kiongozi sahihi wa CDM, ila Lissu sio tactical. Mbowe hiyo coup attempt yao anaizima dakika moja tu.

If anything imeonyesha uchanga wa Lissu kwenye siasa.
There is no one you can judge someone's ability until you allow him to swim first in the said capacity. Give him such portfolio , the judgement will come thereafter.

We get the solution after an experiment.
 
Kumvaa kiongozi wa chama inataka kuwashawishi kwanza walau 60% ya kamati kuu ya chama.

Kama ni serikali 60% ya kamati kuu ya chama, 60% mawaziri wakiwemo wale seniors na 60% ya wabunge.

Sio rahisi hivyo kama Lissu anavyodhani, amejichimbia kaburi ndani ya CDM.

Hatoboi miaka 800 ameonyesha uchanga wake wa siasa; hakina Zitto walijipanga kwanza kushinda yeye.

Kama utaelewa sakata la kina Julianza Shonza, Mtela Mwambapa, Dr Kitila Mkumbo kufukuzwa CDM na wengineo.

Ni mwisho wa siasa kwa Lissu, too ambitious.
Na ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa CDM, huu ni mtego mkubwa kwao. Mbowe ni kiongozi mzuri lakini kwa siasa za hiki kibibi, hafai! Hiki kibibi kinataka siasa za agano la kale za jino kwa jino nyundo mkononi..
 
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.

Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.

Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.

Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Lissu anapaswa kuwa Waziri Mkuu wa Rais fulani lakini kwa nafasi ya Urais HAPANA. Lissu hawezi kuwa Rais. Lissu ni mtu tu wa kutumwa na kutekeleza. Nina ushahidi wa kauli zake nyingi kabla hajapigwa risasi na baada ya kupigwa risasi.

Urais unahitaji mtu mwenye utulivu wa akili, busara na asiye na ghadhabu. Kwenye uongozi tofauti ya Lissu na Magufuli ni ndogo sana.

Kama CHADEMA inaweza kutoa kiongozi mzuri basi ni Mbowe anazo qualities zote. Lakini ni mfanyabiashara. Atatumia fursa zote kujitajirisha kama anavyofanya na fedha na raslimali za chama. Wakishindwa basi John Mnyika ana busara kuliko Lissu
 
There is no one you can judge someone's ability until you allow him to swim first in the said capacity. Give him such portfolio , the judgement will come thereafter.

We get the solution after an experiment.
Kitu gani unasubiri kupima kuhusu Lissu?Tundu Lissu awadanganye wasiomjua tu. Huyu hana tofauti na Magufuli kuanzia UDIKTETA, dharau, uropokaji hadi upendeleo.

Mwaka 2010 alimuingiza dada yake ķwenye viti maalum vya CHADEMA. Christina Lissu (RIP) alikuwa hana uwezo wowote lakini nikashngaa ni mbunge kwa kuwa kaka yake ni Makamu Mwenyekiti.

Halafu msiomjua mnasema eti amenyooka!! THUBUTU
 
There is no one you can judge someone's ability until you allow him to swim first in the said capacity. Give him such portfolio , the judgement will come thereafter.

We get the solution after an experiment.
Life doesn’t work that way, for educated people you ought to anticipate what’s coming given the rules of engagement.

Every discipline has established rules including politics. In politics there are formal planning process which entails gathering internal senior suport of party members before you plan a coupe.

Ndio maana unajua Lissu hatoboi.
 
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.

Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.

Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.

Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Uongozi pia hutegemea muundo wa uongozi na jinsi ya katafsiri katiba
 
Na ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa CDM, huu ni mtego mkubwa kwao. Mbowe ni kiongozi mzuri lakini kwa siasa za hiki kibibi, hafai! Hiki kibibi kinataka siasa za agano la kale za jino kwa jino nyundo mkononi..
Vita mbinu.

Mama sio slouch achana na mbinu za kuwakibili CDM hao sio tishio kwake.

Ana mbinu za kukabiliana na upinzani wa ndani ya CCM kwanza, na kajipanga vizuri.

Bi Tozo yupo vizuri kwa vita ya ndani ya CCM, siasa za CDM sio za kumnyima usingizi.

CDM Mbowe kaishiwa mbinu na Lissu hana sifa za uongozi wa chama wala nchi (Lissu hana leadership qualities).

Kingine Lissu hana uwezo wa kujenga hoja za demagogue politics anazotamani; kufikia azma yake ya kuwaingiza watu kitaa.

Anachotegemea ni viongozi wa makanisa na dini zote kwa ujumla kuwamahisha waumini wao kumsaidia. Serikali ikiamua kuwakabili hao watu ni dakika moja tu.

Lissu is not a leadership material; kwa kuanza tu Mbowe ana mmaliza Lissu aishi Tanzania full time huo muda wa kusimamia chama atautoa wapi.
 
Back
Top Bottom