Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Mbowe atammaliza sababu huo uenyekiti atashinda, hatompa fursa ya kugombea uraisi.Wapi nimeongelea alikua na mpinzani? Wewe umesema Mbowe atamaliza siasa za Lissu, ndio nasema kama JPMA na risasi zote zile na kumfukuza ubunge na bado Lissu akarudi kushine kwenye siasa, ndio Mbowe ataweza mmaliza?
Kuna kura za maoni zinaendelea kupigwa humu, ukishamaliza kusoma maoni ya watu kwenye huu uzi wako, nakushauri nenda kaangalie hizo kura za maoni zinamuweka wapi Lissu.Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.
Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.
Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.
Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Huenda na huyu ni miongoni mwao.....Freeman ana CHAWA wake wasiotaka Mabadiliko !...
Heche awe Katibu Mkuu wa Mwenyekiti Lussu.CHADEMA kingekuwa chini ya John Heche, kingevutia kundi kubwa la vijana kupambania mabadiliko ya kweli katika nchi. Kwangu mimi naona Tundu Lissu na yeye bado hatoshi.
Haahaa nini maana ya busara? hizi ni blah blah, kiongozi amewahi kuwa makamu anashindwaje kuwa mwenyekiti?Anachokosa Lissu ni busara za kulemba lemba na lugha ya upole. Vinginevyo ni kiongozi mzuri kuliko watu wengi. Anafaa although not the best.
Note: simlinganishi na Mbowe.
Haahaa hongera kwa kunyoa maoni, lissu kwangu ndo silaha pekee iliyobaki chadema kwa sasa.Atawavusha sanaCHADEMA kingekuwa chini ya John Heche, kingevutia kundi kubwa la vijana kupambania mabadiliko ya kweli katika nchi. Kwangu mimi naona Tundu Lissu na yeye bado hatoshi.
Relax. Kwa nini mlimpa u makamu mwenyekiti wakati mnaju si kiongozi mzuri? Kwa nini kila mwaka mnawapelekea wanaikungi ili awe mbunge wao wakati mnajua hawezi?Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.
Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.
Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.
Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Mbona kugombea urais 2020 Mbowe alichukua fomu ila alipoona upepo akakimbia. Lissu akishindwa kihalali haiwezi kuwa mwisho wake maana he's politically active pengine kuliko mwanasiasa yoyote Tanzania so hawezi potea kisa kuwa mwanachama wa kawaida pengo litaonekana.Mbowe atammaliza sababu huo uenyekiti atashinda, hatompa fursa ya kugombea uraisi.
Baada ya hapo Lissu atakuwa mwanachama wa kawaida, ambae hawezi tumia platform ya CDM kujijenga that’s not rocket science.
Hayo ya Magufuli kumpiga risasi uwezi thibitisha pia.
Ahahahahahah.Ila Lissu ni kiboko!Akiamua kulichangamsha taifa ni dakika mbili tu anatumia.
Kama taifa ni lazima tuchangamshwe kidogo.Siyo kuzubaa kama kipolo cha dona.Hata mzee Kikwete anajua hilo.Ahahahahahah.
Kweli bwanaa..
Mimi jana sikua sana online ila nikiwa narud home nasikiliza Dochevele ndio nikasikia Lissu kaliamsha huko afrika mashariki, heeh kurud mtandaoni, kwel bwana kachafua hali ya hewa 😂😂
Abdul na genge lenu mmeannza kuhahaMimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.
Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.
Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.
Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Ahahahahah....sijawah kula kiporo cha dona, kinakuaje hicho? Cha sembe nishakula sana na chai na mharage ninapokwenda shule enzi hizo nasoma primaryKama taifa ni lazima tuchangamshwe kidogo.Siyo kuzubaa kama kipolo cha dona.Hata mzee Kikwete anajua hilo.
Huwa kinarudi kuanza kuwa kibichi.Weka mbali na wana.Kikaange kabla ya kukibugia.Ahahahahah....sijawah kula kiporo cha dona, kinakuaje hicho? Cha sembe nishakula sana na chai na mharage ninapokwenda shule enzi hizo nasoma primary
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.
Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.
Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.
Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.
Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.
Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.
Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Kiporo kinakaangwa tena?? 😂Huwa kinarudi kuanza kuwa kibichi.Weka mbali na wana.Kikaange kabla ya kukibugia.
Heche agombee nafasi ya Mwenyekiti Chadema.Mimi namwona Tundu Lisu, mtu imara sana, mwanasheria mzuri, mzalendo wa kweli kwa Taifa lake na mtu mwenye misimamo thabiti asiyeyumbishwa.
Baada ya kumsikia Jana akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa nilijifunza kitu kipya kuwa, pamoja na uzuri na uwezo mkubwa sana alionao, TL siyo kiongozi mzuri kwa sababu ya “ UBINAFSI” aliouonesha katika hoja zake. Kiongozi anayesema “Mimi nita…” atakuwa mbaya sana akiwa madarakani. Uongozi ni “collective responsibility” na siyo “one-man-show”.
Yaliyofanyika katika taasisi ambayo yeye ni Makamu Mwenyekiti hawezi kujitenga nayo. Kujaribu kujitenga nayo ni “udhaifu mkubwa kwake”. Hata akifanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEM, anatakiwa kutekeleza maamuzi ya vikao na wala si matakwa yake. Hoja ikipitishwa kwenye kikao, Mwenyekiti kazi yake ni kusimamia utekelezaji.
Wakati sikubaliani kabisa FAM kuendelea kuongoza CHADEMA, bado sikuridhishwa na TAL uwezo wa kiuongozi. Wanachama wa CHADEMA waendelee kuchukua fomu kugombea Mwenyekiti Taifa.
Anachokosa Lissu ni busara za kulemba lemba na lugha ya upole. Vinginevyo ni kiongozi mzuri kuliko watu wengi. Anafaa although not the best.
Note: simlinganishi na Mbowe.
Ndiyo.Haujawahi kula ugali wa kukaangwa?You've got a long way to go,boss!Kiporo kinakaangwa tena?? 😂