Pre GE2025 Lissu: Wasijifiche nyuma ya msikiti, waje hadharani tuyaseme matendo yao maovu

Pre GE2025 Lissu: Wasijifiche nyuma ya msikiti, waje hadharani tuyaseme matendo yao maovu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..unit ya " HM" naomba ufafanuzi ni kitu gani.

..kama Rais hajaagiza basi mabango waondolewe, haswa yale ambayo yamehusisha watu zaidi ya Rais.
Habari Maelezo, hawa sometimes wana act as Marketing and Public Relations Unit kwenye serikali.
 
Kwani hayo mabango yanaagizwa nje ya nchi kwamba yanagharimu pesa mingi kiasi hichoooo????

Mi najua namna yanavyotengenezwa,,,,!!!

Ila wewe umebeba 'maneno ya kuambiwa' kama yalivyo.

Haya twende kwenye suala la biashara, kati ya mabango na video kipi kinagharimu zaidi??? Jibu baki nalo litakusaidia kesho!!!
Huu usiwe mjadala wa kutuchukulia muda hapa mkuu 'Chinese...' Kujuwa kwako namna ya kuyatengeneza hakuondoi hoja ya msingi, kwamba yana gharama, ambayo pamoja na wewe kujuwa, lakini huna ujasiri wa kuweka tarakimu hapa watu wazione. Hii ni kawaida ya mtu asiyejuwa anachozungumzia.

Hapa yanazungumziwa mabango, huko kwenye video unatafuta kitu gani tena. Kama ni kujibu swali la mtihani, tayari umekwisha feli hivi hivi, kama mchezo mchezo!.Lakini sikulaumu wewe, sote tunajuwa elimu mbovu inayotolewa siku hizi.
 

...tunaendelea


Ingekuwa hoja kama tusingemsema Magufuli kwa mfano, kuna mtu alimsema Magufuli kama mie? Kuna mtu alimsema Kikwete kama sisi? Mpaka Mkapa, mie kesi yangu ya kwanza ni ya Mkapa mambo ya madini mwaka 2002 miaka 22 iliyopita, na za Kikwete ngapi sijui za Magufuli ndiyo usiseme.

Tunamsema Samia siyo kwa sababu ni Muislam tunamsema kwa sababu ni Rais, Urais wake unatuangamiza, matendo yake yanatuangamiza, matendo yake yanatapanya mali za, rasilimali zetu, na kwenye hili tuwe magerezani, tukiwa makaburini tuwe wafu hatutasema, wafu huwa hawasemi, ila tukiwa magerezani tutasema wasitubabaishe na wasitutishe.

Hatuna hoja ya udini, wanaotaka kujificha nyuma ya msikiti au nyuma ya kanisa, wanataka kuficha uovu wao, Wanataka kuficha uovu wao nyuma ya msikiti nyuma ya msalaba, na watu hao lazima tuwaambie msijifiche nyuma ya msikiti wala nyuma ya kanisa tokeni hadharani tuwaseme kwa matendo yenu, na matendo yao ni mabaya kabisa.

Mnafahamu mmeletewa pikipiki ngapi? Meziona, mkoa huu umeletewa pikipiki 700, na zote zimeandikwa SSH 2025 na zina picha yake, na kila mkoa umepata hizo pikipiki hizi kwa wastani 700, piga hesabu kwa mikoa 26 ya Tanganyika mara pikipiki 700 ni pikipiki 18,200 pikipiki siyo za Serikali, siyo za CCM Ni za Samia Suluhu Hassan 2025 ni za Mama Abduli.

Nyie watu wa Singiga, kuna yeyote anajiuliza huyu mama atakuwa amepata wapi hela, ya kununua pikipiki 18,200 na kuzigawa bure, hiyo hela ameitoa wapi? Mnafikiri amezitoa wapi, amepambwa nchi nzima na mabango, hakuna vitu gari kwa wale wanaojua biashara kama haya mabango, hakuna barabara utapita usikute mama amekaa hivi au vile, hayo mabango hayajawekwa na CCM wala Serikali, yangewekwa na Serikali kungekuwa na bajeti imepitishwa bungeni, ndani ya miaka 3 ya kuwa Rais hizo fedha amezitoa wapi?

Hasa ukizingatia bandari zimekwenda, hekta milioni 8.9 zimekwenda wamasai wamefukuzwa umasaini, Ngorongoro loliondo, mnafikiri hizi hela amezitoa wapi? Mnafikiri amezitoa wapi Watanzania?

Pia soma: Kuelekea 2025 - Baada ya kugawa pikipiki za Samia, inadaiwa pia kuna Helcopta na Magari 400 kwaajili ya Kampeni za mwakani
In the End, we will remember not the words of our enemies, but the silence of our friends.
Martin Luther King.
Hapo baadae tutajiuliza kwann watu makini CCM na Serikalini waliyackia haya waliyajua haya lakini wakawa kimya wakati mambo yakienda mrama!
 
Huu usiwe mjadala wa kutuchukulia muda hapa mkuu 'Chinese...' Kujuwa kwako namna ya kuyatengeneza hakuondoi hoja ya msingi, kwamba yana gharama, ambayo pamoja na wewe kujuwa, lakini huna ujasiri wa kuweka tarakimu hapa watu wazione. Hii ni kawaida ya mtu asiyejuwa anachozungumzia.
Hapa yanazungumziwa mabango, huko kwenye video unatafuta kitu gani tena. Kama ni kujibu swali la mtihani, tayari umekwisha feli hivi hivi, kama mchezo mchezo!.Lakini sikulaumu wewe, sote tunajuwa elimu mbovu inayotolewa siku hizi.
mi nimegusia pale alipojaribu kukonvince watu kwa kusema 'kwa wafanya biashara hamna asiyejua kuwa hakuna kitu kina gharama kama mabango' Hii sio kweli na itabaki hivyo!!!
Hayo mabango ni cheap na accessible kuliko PA au mikutano ya hadhara ya kila siku yenye lengo la kuhabarisha jamii na kusifu utendaji wa serikali ya mama!

Usilazimishe vile unavyojua wewe iwe hivyo, hautapata jambo gani kwenye akili yako!!!
 
mi nimegusia pale alipojaribu kukonvince watu kwa kusema 'kwa wafanya biashara hamna asiyejua kuwa hakuna kitu kina gharama kama mabango' Hii sio kweli na itabaki hivyo!!!
Hayo mabango ni cheap na accessible kuliko PA au mikutano ya hadhara ya kila siku yenye lengo la kuhabarisha jamii na kusifu utendaji wa serikali ya mama!

Usilazimishe vile unavyojua wewe iwe hivyo, hautapata jambo gani kwenye akili yako!!!
LOooh!
Sasa hapa ni nani anaye lazimisha!

Hayo maneno uliyo koleza hapo yanaelezea gharama kwa mhusika, mwenye biashara yake ya duka; kwake ni gharama kubwa; wewe unayageuza na kuyatumia kivyako. Ndiyo maana nikakwambia utakuwa ukiwa mbovu sana katika kuelewa maswali wakati wa mitihani, kama ulijaaliwa kufika huko.

Hiyo unayoita 'cheap', watu wanashindwa kulipa, wewe unasema 'cheap'. Unajuwa maana ya 'cheap' ni nini?
Mabango anayotengenezewa Samia siyo 'cheap'. Pesa hiyo ingeweza kutumika kuwapelekea watu maji, na hata kujenga Zahanati kadhaa, wewe unaiita 'cheap'!

EEeeenHEeeeeh! Eti 'Accessible', una maana gani? Hivi watu mmerogwa akili siku hizi kutumia maneno ili muonekane nanyi mnajuwa kitu, kumbe hamna lolote?
'Accessible' kwa nani. Mwanakijiji yanamsaidia kitu gani hayo mabango ya huyo mwanamke?

Unaleta ubishi usiokuwa na maana, na wala huna uwezo na hayo unayotaka uonekane unayaweza.

Sikutegemea tungefika huku, lakini unalazimisha iwe hivyo.
 

...tunaendelea


Ingekuwa hoja kama tusingemsema Magufuli kwa mfano, kuna mtu alimsema Magufuli kama mie? Kuna mtu alimsema Kikwete kama sisi? Mpaka Mkapa, mie kesi yangu ya kwanza ni ya Mkapa mambo ya madini mwaka 2002 miaka 22 iliyopita, na za Kikwete ngapi sijui za Magufuli ndiyo usiseme.

Tunamsema Samia siyo kwa sababu ni Muislam tunamsema kwa sababu ni Rais, Urais wake unatuangamiza, matendo yake yanatuangamiza, matendo yake yanatapanya mali za, rasilimali zetu, na kwenye hili tuwe magerezani, tukiwa makaburini tuwe wafu hatutasema, wafu huwa hawasemi, ila tukiwa magerezani tutasema wasitubabaishe na wasitutishe.

Hatuna hoja ya udini, wanaotaka kujificha nyuma ya msikiti au nyuma ya kanisa, wanataka kuficha uovu wao, Wanataka kuficha uovu wao nyuma ya msikiti nyuma ya msalaba, na watu hao lazima tuwaambie msijifiche nyuma ya msikiti wala nyuma ya kanisa tokeni hadharani tuwaseme kwa matendo yenu, na matendo yao ni mabaya kabisa.

Mnafahamu mmeletewa pikipiki ngapi? Meziona, mkoa huu umeletewa pikipiki 700, na zote zimeandikwa SSH 2025 na zina picha yake, na kila mkoa umepata hizo pikipiki hizi kwa wastani 700, piga hesabu kwa mikoa 26 ya Tanganyika mara pikipiki 700 ni pikipiki 18,200 pikipiki siyo za Serikali, siyo za CCM Ni za Samia Suluhu Hassan 2025 ni za Mama Abduli.

Nyie watu wa Singiga, kuna yeyote anajiuliza huyu mama atakuwa amepata wapi hela, ya kununua pikipiki 18,200 na kuzigawa bure, hiyo hela ameitoa wapi? Mnafikiri amezitoa wapi, amepambwa nchi nzima na mabango, hakuna vitu gari kwa wale wanaojua biashara kama haya mabango, hakuna barabara utapita usikute mama amekaa hivi au vile, hayo mabango hayajawekwa na CCM wala Serikali, yangewekwa na Serikali kungekuwa na bajeti imepitishwa bungeni, ndani ya miaka 3 ya kuwa Rais hizo fedha amezitoa wapi?

Hasa ukizingatia bandari zimekwenda, hekta milioni 8.9 zimekwenda wamasai wamefukuzwa umasaini, Ngorongoro loliondo, mnafikiri hizi hela amezitoa wapi? Mnafikiri amezitoa wapi Watanzania?

Pia soma: Kuelekea 2025 - Baada ya kugawa pikipiki za Samia, inadaiwa pia kuna Helcopta na Magari 400 kwaajili ya Kampeni za mwakani
Mbona simple tuu,pesa imetoka kwenye chama Chao Cha CCM,kwani hawana Mapato? Au inakuaje wajameni?

Mbona Chadomo Huwa wanakodi Chopa 3 Kwa mabilioni,hela Huwa wanatoa wapi? Kuna hoja kweli hapo?

Mwisho ni kweli Chadema ni chama Cha kidini yaani Cha Wakristo na Kila mtu anajua.
 
LOooh!
Sasa hapa ni nani anaye lazimisha!

Hayo maneno uliyo koleza hapo yanaelezea gharama kwa mhusika, mwenye biashara yake ya duka; kwake ni gharama kubwa; wewe unayageuza na kuyatumia kivyako. Ndiyo maana nikakwambia utakuwa ukiwa mbovu sana katika kuelewa maswali wakati wa mitihani, kama ulijaaliwa kufika huko.

Hiyo unayoita 'cheap', watu wanashindwa kulipa, wewe unasema 'cheap'. Unajuwa maana ya 'cheap' ni nini?
Mabango anayotengenezewa Samia siyo 'cheap'. Pesa hiyo ingeweza kutumika kuwapelekea watu maji, na hata kujenga Zahanati kadhaa, wewe unaiita 'cheap'!

EEeeenHEeeeeh! Eti 'Accessible', una maana gani? Hivi watu mmerogwa akili siku hizi kutumia maneno ili muonekane nanyi mnajuwa kitu, kumbe hamna lolote?
'Accessible' kwa nani. Mwanakijiji yanamsaidia kitu gani hayo mabango ya huyo mwanamke?

Unaleta ubishi usiokuwa na maana, na wala huna uwezo na hayo unayotaka uonekane unayaweza.

Sikutegemea tungefika huku, lakini unalazimisha iwe hivyo.
Acha kukariri!!!
 
Mnafahamu mmeletewa pikipiki ngapi? Meziona, mkoa huu umeletewa pikipiki 700, na zote zimeandikwa SSH 2025 na zina picha yake, na kila mkoa umepata hizo pikipiki hizi kwa wastani 700, piga hesabu kwa mikoa 26 ya Tanganyika mara pikipiki 700 ni pikipiki 18,200 pikipiki siyo za Serikali, siyo za CCM Ni za Samia Suluhu Hassan 2025 ni za Mama Abduli.

Kwa mahesabu ya haraka haraka;

Pikipiki @ Tshs 3 000 000/-
Idadi ya Pikipiki: 18 200

Ghalama ya Pikipiki (Jumla) : 3 000 000 x 18 200 = 54600000000

Hizo ni Billion 54.6

Halafu kuna mtu anatkuja hapa kudai huyu mtu siyo FISADI...... Seriously!!?
 

...tunaendelea


Ingekuwa hoja kama tusingemsema Magufuli kwa mfano, kuna mtu alimsema Magufuli kama mie? Kuna mtu alimsema Kikwete kama sisi? Mpaka Mkapa, mie kesi yangu ya kwanza ni ya Mkapa mambo ya madini mwaka 2002 miaka 22 iliyopita, na za Kikwete ngapi sijui za Magufuli ndiyo usiseme.

Tunamsema Samia siyo kwa sababu ni Muislam tunamsema kwa sababu ni Rais, Urais wake unatuangamiza, matendo yake yanatuangamiza, matendo yake yanatapanya mali za, rasilimali zetu, na kwenye hili tuwe magerezani, tukiwa makaburini tuwe wafu hatutasema, wafu huwa hawasemi, ila tukiwa magerezani tutasema wasitubabaishe na wasitutishe.

Hatuna hoja ya udini, wanaotaka kujificha nyuma ya msikiti au nyuma ya kanisa, wanataka kuficha uovu wao, Wanataka kuficha uovu wao nyuma ya msikiti nyuma ya msalaba, na watu hao lazima tuwaambie msijifiche nyuma ya msikiti wala nyuma ya kanisa tokeni hadharani tuwaseme kwa matendo yenu, na matendo yao ni mabaya kabisa.

Mnafahamu mmeletewa pikipiki ngapi? Meziona, mkoa huu umeletewa pikipiki 700, na zote zimeandikwa SSH 2025 na zina picha yake, na kila mkoa umepata hizo pikipiki hizi kwa wastani 700, piga hesabu kwa mikoa 26 ya Tanganyika mara pikipiki 700 ni pikipiki 18,200 pikipiki siyo za Serikali, siyo za CCM Ni za Samia Suluhu Hassan 2025 ni za Mama Abduli.

Nyie watu wa Singiga, kuna yeyote anajiuliza huyu mama atakuwa amepata wapi hela, ya kununua pikipiki 18,200 na kuzigawa bure, hiyo hela ameitoa wapi? Mnafikiri amezitoa wapi, amepambwa nchi nzima na mabango, hakuna vitu gari kwa wale wanaojua biashara kama haya mabango, hakuna barabara utapita usikute mama amekaa hivi au vile, hayo mabango hayajawekwa na CCM wala Serikali, yangewekwa na Serikali kungekuwa na bajeti imepitishwa bungeni, ndani ya miaka 3 ya kuwa Rais hizo fedha amezitoa wapi?

Hasa ukizingatia bandari zimekwenda, hekta milioni 8.9 zimekwenda wamasai wamefukuzwa umasaini, Ngorongoro loliondo, mnafikiri hizi hela amezitoa wapi? Mnafikiri amezitoa wapi Watanzania?

Pia soma: Kuelekea 2025 - Baada ya kugawa pikipiki za Samia, inadaiwa pia kuna Helcopta na Magari 400 kwaajili ya Kampeni za mwakani
Lissu ni shujaa
 
Back
Top Bottom