Hii inaeleweka, na itatembea sana ndani ya nchi hii. Nampongeza Lissu kuiibua wakati mwafaka kabisa.Shughuli imeanza Rasmi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inaeleweka, na itatembea sana ndani ya nchi hii. Nampongeza Lissu kuiibua wakati mwafaka kabisa.Shughuli imeanza Rasmi
Afya ya akili
...tunaendelea
Ingekuwa hoja kama tusingemsema Magufuli kwa mfano, kuna mtu alimsema Magufuli kama mie? Kuna mtu alimsema Kikwete kama sisi? Mpaka Mkapa, mie kesi yangu ya kwanza ni ya Mkapa mambo ya madini mwaka 2002 miaka 22 amezitoa wapi Watanzania?
Inaweza kuwa ni mbaya zaidi ya hapo , mkuu 'Bams'.Hizi ndiyo hoja akina Mwashambwa, wapambe wa Sa1000 walistahili kujibu. Lakini wanaishia kwenye riwaya zisizo na contents.
Pikipiki 18,200 mara milioni 2.8 ni sh bilioni 50.960.
Hata kama mshahara wa Samia ukiwa milioni 50 kwa mwezi, kwa miezi 36 ni sh bilioni 1.8. Sasa hizi zaidi ya bilioni 49 ametoa wapi??
Huyu mama lazima ni mwizi mkubwa. Na watu wanajua zilikotoka hizi pesa. Ameuza bandari zetu na hifadhi za Taifa na mbuga za wanyama kwa Waarabu kwa sababu ya maslahi yake binafsi na jamaa zake.
Sema jamaa anafeli sanaa, huwa anawapata wa kuwaongopea, ukipita Morogoro road na kwingineko pembezoni mwa main roads kuna mabango mengi ya kumsifia rais yanasomeka kutoka Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, sio Dar pekee mikoa mingi ni hivyo kama sio Chata ya CCM basi itakuwa kutoka ofisi za RCs na DCs, ila lissu anawadanganya waziwazi wananchi kuwa yote yamegharimiwa na Rais.
...tunaendelea
Ingekuwa hoja kama tusingemsema Magufuli kwa mfano, kuna mtu alimsema Magufuli kama mie? Kuna mtu alimsema Kikwete kama sisi? Mpaka Mkapa, mie kesi yangu ya kwanza ni ya Mkapa mambo ya madini mwaka 2002 miaka 22 zimekwenda wamasai wamefukuzwa umasaini, Ngorongoro loliondo, mnafikiri hizi hela amezitoa wapi? Mnafikiri amezitoa wapi Watanzania?
Piki piki 18'000 mbona ni hela nyingi sana?
Why this in Afrika?
Tulimkosea wapi Mungu?
Usisahau kwamba kisiwa cha Mafia kiko sokoniInaweza kuwa ni mbaya zaidi ya hapo , mkuu 'Bams'.
Hizo Bandari, mbuga na mengine ambayo tayari tumekwisha yashuhudia tayari; huo ni mwanzo tu.
Samia akipata miaka mitano mingine, hapo ndipo utakapojuwa bei halisi tunayokusudiwa kunuliwa na hawa matajiri.
na wewe unaamini,,,,,???Usisahau kwamba kisiwa cha Mafia kiko sokoni
Bandari uliamini?na wewe unaamini,,,,,???
Maana ya kuuza ni nini????Bandari uliamini?
rushwa na wizi mtupuPiki piki 18'000 mbona ni hela nyingi sana?
Why this in Afrika?
Tulimkosea wapi Mungu?
Kuwapa watu wengine milele kwa kubadilishana na helaMaana ya kuuza ni nini????
Na kukosa umiliki wa hicho kitu,,,!!!Kuwapa watu wengine milele kwa kubadilishana na hela
Wewe ndio Hamnazo kabisa.........ulitaka aandike pesa za mabango kapewa na mabwanyenye?Sema jamaa anafeli sanaa, huwa anawapata wa kuwaongopea, ukipita Morogoro road na kwingineko pembezoni mwa main roads kuna mabango mengi ya kumsifia rais yanasomeka kutoka Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, sio Dar pekee mikoa mingi ni hivyo kama sio Chata ya CCM basi itakuwa kutoka ofisi za RCs na DCs, ila lissu anawadanganya waziwazi wananchi kuwa yote yamegharimiwa na Rais.
Mi sio mnazi wa siasa ila jamaa analazimisha kuwa na influence kubwa kwa watu kwa kutumia udanganyifu, hapa bado hajachaguliwa kuwa hata mwenyekiti wa chama, sa akiwa rais si atapiga parefu huyuuu,,,,!!!!
Sikia the way anavyowaconvince watu (wasiojua) kwa maneno ya kibalagha na kulazimisha kuamini eti mabango ni kitu chenye gharama zaidia kwenye biashara, is it right,???. kweli wanasiasa si wakuwaamini.
Washauri wake, mwambieni mwamba atembee na hoja za msingi na sio kutudanganya.
Hahaha huanda hata sisi tukauzwa haki ya nani😂😂Wananchi tuelezwe HELA za hizi PIKIPIKI zimetoka wapi?..kwa Rais Samia binafsi, Seriialini, or CCM?...Hata kama ni " WAFADHILI" tuelezwe!
Hakuna spana mpya toka CCM sana wayasema alikuwa Belgium mama kamrudisha awe na fadhila basi au kuna kipya?SpHaana za kusema Samia asiambiwe kwa sababu alienda Nairobi kumuona Lissu. Poor
Wewe zuzu kabisa, yaani unaamini utauzwa kwenye dunia Hii ya demokrasia na uhuru.Hahaha huanda hata sisi tukauzwa haki ya nani😂😂
Bwana wee mtajuana wenyewe hayatuhusu ssi wananchi wanyongeWewe zuzu kabisa, yaani unaamini utauzwa kwenye dunia Hii ya demokrasia na uhuru.
Mengi unayoyafanya unayafanya kwa sababu ni haki yako na uhuru ni haki yako ambayo haipaswi kuingiliwa na mwingine, ila wewe kwa kutokuwa na akili na ujinga uliojificha kwenye cheti cha digrii uchwara unawezapigwa hela au hata bure kwa sababu huzijui haki zako za msingi.
Na kingine Ofisi zilizoandaa mabango zipo chini ya serikali tena kwa bajeti za ofisi husika, ila wewe usiyefahamu na kutafakari hata ukiambiwa nini huwa unabeba kama kilivyo.
Angalia usijefanya familia yako ikawa na aibu kwa sababu ya ujinga wako!