Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wakati Vasco yupo anganiShughuli imeanza Rasmi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati Vasco yupo anganiShughuli imeanza Rasmi
Kweeeeriiiiii kweeeeeriiiiiiLissu muongeaji kweli kweli
Hayo maneno yanasemwa sana na uvccmSpana za kusema Samia asiambiwe kwa sababu alienda Nairobi kumuona Lissu. Poor
CCMPesa ya Sabodo inajulikana imetoka kwa Sabodo pesa ya Samia atueleze kaitoa wapi?!!
Pyuuuu pyuuuu ndiyo nguvu ya mbogambogaMuhimu zisiwe pyu pyu bali ziishie majukwani
Ukiona mtu anakimbilia mambo ya udini basi jua huyo amefirisika kisiasaKuna watu hapos siku za nyuma walitaka kutuaminisha kwamba Dr Samia tusimsema kwa sababu ni Mwanamke na Kwa sababu ni mwislam.
yaani ukipinga mambo yake tu unaambiwa hupendi waislam au wanasema eti unamsema kwa sababu ni Mwanamke.
Hoyee
Mbona hizo Hoja zimemshinda Makala?!
Amefafanua vizuri sana 😄Mbona hizo Hoja zimemshinda Makala?!
Acha uongo JoniAmefafanua vizuri sana 😄
😂😂😂Acha uongo Joni
Ndo zinavyoitwa kule TwitterHizi zinaitwa Spana
Usijiite mjingamimi jiite mpumbavu mmMzee wa mara nimelipwa mara sijalipwa kumuelewa lisu unatakiwa ujitoe ufahamu.
Hii lugha ni nani asiyeweza kuielewa!
...tunaendelea
Ingekuwa hoja kama tusingemsema Magufuli kwa mfano, kuna mtu alimsema Magufuli kama mie? Kuna mtu alimsema Kikwete kama sisi? Mpaka Mkapa, mie kesi yangu ya kwanza ni ya Mkapa mambo ya madini mwaka 2002 miaka 22 iliyopita, na za Kikwete ngapi sijui za Magufuli ndiyo usiseme.
Takriban 36,400,000,000Tsh.Piki piki 18'000 mbona ni hela nyingi sana?
Why this in Afrika?
Tulimkosea wapi Mungu?
Pesa imetoka UAEKwanini Tundu Lissu anasema pesa hazijatoka Ccm wala serikali? Nini anataka kumanisha hapa?
Huyu mama na watu wanaomwezesha siyo watu wa "STAHA" hata kidogo.Hizi zinaitwa Spana