mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mzee wa mara nimelipwa mara sijalipwa kumuelewa lisu unatakiwa ujitoe ufahamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naye anataka apewe mchango wa gari!Shughuli imeanza Rasmi
Wadanganyika! Mimi naonaga kama WaTanganyika kama hawana akili, na kihuni, huyu mama anaiba pesa zenu halafu anawanunulia Ice Cream nyie mnalamba, na kumsifia!!!!!!!!!!!!!!!!!
...tunaendelea
Ingekuwa hoja kama tusingemsema Magufuli kwa mfano, kuna mtu alimsema Magufuli kama mie? Kuna mtu alimsema Kikwete kama sisi? Mpaka Mkapa, mie kesi yangu ya kwanza ni ya Mkapa mambo ya madini mwaka 2002 miaka 22
Wewe Kipara kipya haupo serious na maisha yako na wanao; Kipara chako kinahitaji Nootropics!!!!!!!!!!Naye anataka apewe mchango wa gari!
Mwambie huyo maza asijifiche nyuma ya msikiti sijui usichana wake ajibu hizo hoja Hizo hela zimetoka wapiMzee wa mara nimelipwa mara sijalipwa kumuelewa lisu unatakiwa ujitoe ufahamu.
Siyo wachawa ni Machawa. Huyu john ni bure kabisa.Ndio hoja zenu wachawa
The state endeleeni kumlinda huyu mtu!
...tunaendelea
Ingekuwa hoja kama tusingemsema Magufuli kwa mfano, kuna mtu alimsema Magufuli kama mie? Kuna mtu alimsema Kikwete kama sisi? Mpaka Mkapa, mie kesi yangu ya kwanza ni ya Mkapa mambo ya madini mwaka 2002 miaka 22
...tunaendelea
Ingekuwa hoja kama tusingemsema Magufuli kwa mfano, kuna mtu alimsema Magufuli kama mie? Kuna mtu alimsema
Ud
Udini unausikaje hapo!
Piki piki 18'000 mbona ni hela nyingi sana?
Why this in Afrika?
Tulimkosea wapi Mungu?
Nothing to Fear Lissu ni Msafi.Zikielekezwa kwake msianze kulialia 🐼
Samia hawezi kujibizana na lisu. Yeye ni amiri jeshi mkuu. Lisu ni mdogo sana kwa samia. Wapo watakaomjibu ila sio samiaMwambie huyo maza asijifiche nyuma ya msikiti sijui usichana wake ajibu hizo hoja Hizo hela zimetoka wapi
Msafi ila MSAHALIFU HILO NALO NI TATIZO.hahakishe awe anaweka kumbukumbu zake vizuri. Ili asionekane mbabaishiNothing to Fear Lissu ni Msafi.
Pesa ya Sabodo inajulikana imetoka kwa Sabodo pesa ya Samia atueleze kaitoa wapi?!!Kwani ile Pesa ya visima vya Sabodo ilitokea Chadema au Serikalini? 🐼
Hii ccm itatutoa roho kabisa
...tunaendelea
Ingekuwa hoja kama tusingemsema Magufuli kwa mfano, kuna mtu alimsema Magufuli kama mie? Kuna mtu alimsema