Pre GE2025 Lissu: Wasijifiche nyuma ya msikiti, waje hadharani tuyaseme matendo yao maovu

Pre GE2025 Lissu: Wasijifiche nyuma ya msikiti, waje hadharani tuyaseme matendo yao maovu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Piki piki 18'000 mbona ni hela nyingi sana?
Why this in Afrika?

Tulimkosea wapi Mungu?

Sheria ya uchaguzi inataka kila chama kipeleke bajeti yake ya uchaguz kuepuka mambo ya rushwa

Tusubirie bajeti ya ccm, utashangaa kufika trilion Tsh.
 
Sema jamaa anafeli sanaa, huwa anawapata wa kuwaongopea, ukipita Morogoro road na kwingineko pembezoni mwa main roads kuna mabango mengi ya kumsifia rais yanasomeka kutoka Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, sio Dar pekee mikoa mingi ni hivyo kama sio Chata ya CCM basi itakuwa kutoka ofisi za RCs na DCs, ila lissu anawadanganya waziwazi wananchi kuwa yote yamegharimiwa na Rais.

Mi sio mnazi wa siasa ila jamaa analazimisha kuwa na influence kubwa kwa watu kwa kutumia udanganyifu, hapa bado hajachaguliwa kuwa hata mwenyekiti wa chama, sa akiwa rais si atapiga parefu huyuuu,,,,!!!!

Sikia the way anavyowaconvince watu (wasiojua) kwa maneno ya kibalagha na kulazimisha kuamini eti mabango ni kitu chenye gharama zaidia kwenye biashara, is it right,???. kweli wanasiasa si wakuwaamini.

Washauri wake, mwambieni mwamba atembee na hoja za msingi na sio kutudanganya.

..Na hao ma-RC na ma-DC wametoa wapi fedha za kutengeneza mabango ya Mama Samia?

..Mimi naona ni afadhali Mama Samia angeng'aramia mabango yake mwenyewe kuliko kutumia fedha za umma kwa kulazimisha Ma-RC, na na-DC.
 
Usijiite mjingamimi jiite mpumbavu mm
Vijana wa chadema na lisu mmejaza matope vichwani.aliyesema amelipwq stahiki zake ni nani na aliyesema hajalipwa ni nani?
Narudia pale pale inahitaji ujitoe ufahamu. Kumuelewa lisu
 
Tundu Lissu watu wazima tumekushtukia zamani kuwa ni "autism". Huna jipya.
 
..Na hao ma-RC na ma-DC wametoa wapi fedha za kutengeneza mabango ya Mama Samia?

..Mimi naona ni afadhali Mama Samia angeng'aramia mabango yake mwenyewe kuliko kutumia fedha za umma kwa kulazimisha Ma-RC, na na-DC.
Hawajalazimishwa ni sehemu ya utekelezaji wa kazi!

Na angetumia pesa yake mngehoji pia, pesa zote anatolewa wapi,,,,,????
 
Hawajalazimishwa ni sehemu ya utekelezaji wa kazi!

Na angetumia pesa yake mngehoji pia, pesa zote anatolewa wapi,,,,,????

..haya mabango kama ametumia fedha za umma toka ofisi za maRc na maDc ni ufugaji na matumizi mabaya ya madaraka.

..Rais alipaswa kutafuta chanzo kingine kwa ajili ya kazi hiyo na sio fedha za umma. Ni afadhali angekwenda kuomba kwa nchi wahisani, ingekuwa ni chanzo halali, na sisi tungebaki kuhoji busara ya kufanya hivyo.
 
Mnafahamu mmeletewa pikipiki ngapi? Meziona, mkoa huu umeletewa pikipiki 700, na zote zimeandikwa SSH 2025 na zina picha yake, na kila mkoa umepata hizo pikipiki hizi kwa wastani 700, piga hesabu kwa mikoa 26 ya Tanganyika mara pikipiki 700 ni pikipiki 18,200 pikipiki siyo za Serikali, siyo za CCM Ni za Samia Suluhu Hassan 2025 ni za Mama Abduli.

Kwa kweli Maza atakuwa ni FISADI #1 nchini au ameshatuuza. Hiyo pesa hata Mo Dewji hawezi kuitoa kununua pikipiki zote hizo na kuzigawa bure. Mnaomtetea mje 2030 November kumtetea tena.
 
..haya mabango kama ametumia fedha za umma toka ofisi za maRc na maDc ni ufugaji na matumizi mabaya ya madaraka.

..Rais alipaswa kutafuta chanzo kingine kwa ajili ya kazi hiyo na sio fedha za umma. Ni afadhali angekwenda kuomba kwa nchi wahisani, ingekuwa ni chanzo halali, na sisi tungebaki kuhoji busara ya kufanya hivyo.
Rais hajaagiza kufanyika kwa hayo, bali nowdays kuna Hii unit ya HM huwa na bajeti yao na wao wanafanya kwa uwezo wao, tatizo lililopo ni kuwa wengi wenu mmekariri maisha!
 
Rais hajaagiza kufanyika kwa hayo, bali nowdays kuna Hii unit ya HM huwa na bajeti yao na wao wanafanya kwa uwezo wao, tatizo lililopo ni kuwa wengi wenu mmekariri maisha!

..unit ya " HM" naomba ufafanuzi ni kitu gani.

..kama Rais hajaagiza basi mabango waondolewe, haswa yale ambayo yamehusisha watu zaidi ya Rais.
 
Sema jamaa anafeli sanaa, huwa anawapata wa kuwaongopea, ukipita Morogoro road na kwingineko pembezoni mwa main roads kuna mabango mengi ya kumsifia rais yanasomeka kutoka Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, sio Dar pekee mikoa mingi ni hivyo kama sio Chata ya CCM basi itakuwa kutoka ofisi za RCs na DCs, ila lissu anawadanganya waziwazi wananchi kuwa yote yamegharimiwa na Rais.

Mi sio mnazi wa siasa ila jamaa analazimisha kuwa na influence kubwa kwa watu kwa kutumia udanganyifu, hapa bado hajachaguliwa kuwa hata mwenyekiti wa chama, sa akiwa rais si atapiga parefu huyuuu,,,,!!!!

Sikia the way anavyowaconvince watu (wasiojua) kwa maneno ya kibalagha na kulazimisha kuamini eti mabango ni kitu chenye gharama zaidia kwenye biashara, is it right,???. kweli wanasiasa si wakuwaamini.

Washauri wake, mwambieni mwamba atembee na hoja za msingi na sio kutudanganya.
Mkuu 'Chinese blade', mimi sitaki kukushawishi uamini anayosema Lissu; lakini andiko lako hili linaonyesha hujui mambo mengi; kwa mfano hilo la picha barabarani. Kama ni wakuu wa Mkoa wanatumia hizo pesa kuweka mabango barabarani, hapo wewe unaona ni sahihi? Hiyo pesa wakuu wa mikoa wameipata wapi, ni kutokana na kodi za wananchi?Hata hujui gharama za kutengeneza bango la aina hiyo, kwa nini usifanye utafiti kidogo tu ukapata ukweli wake, kuliko kuja tu hapa na kukanusha mambo usiyoyajuwa.
 
Mkuu 'Chinese blade', mimi sitaki kukushawishi uamini anayosema Lissu; lakini andiko lako hili linaonyesha hujui mambo mengi; kwa mfano hilo la picha barabarani. Kama ni wakuu wa Mkoa wanatumia hizo pesa kuweka mabango barabarani, hapo wewe unaona ni sahihi? Hiyo pesa wakuu wa mikoa wameipata wapi, ni kutokana na kodi za wananchi?Hata hujui gharama za kutengeneza bango la aina hiyo, kwa nini usifanye utafiti kidogo tu ukapata ukweli wake, kuliko kuja tu hapa na kukanusha mambo usiyoyajuwa.
Kwani hayo mabango yanaagizwa nje ya nchi kwamba yanagharimu pesa mingi kiasi hichoooo????

Mi najua namna yanavyotengenezwa,,,,!!!

Ila wewe umebeba 'maneno ya kuambiwa' kama yalivyo.

Haya twende kwenye suala la biashara, kati ya mabango na video kipi kinagharimu zaidi??? Jibu baki nalo litakusaidia kesho!!!
 
Back
Top Bottom