Uchaguzi 2020 Lissu: Watanzania sio kwamba hawana akili bali Lugha ya kufundishia ndio shida, Elimu yetu inabidi ifumuliwe na lugha ya kufundishiwa iwe moja

Kwanza wewe umetawaliwa na chuki binafsi dhidi ya Lissu, possibly due to political ideology au misimamo yake. Hivyo badala ya kuiangalia na kuipima hoja yake wewe inapambana na chuki dhidi yake. Assume for the moment, hiyo hoja kaizungumza JPM au Kikwete halafu ipime...
 
Lugha yetu ya taifa ni kiswahili sasa anataka Kiingereza kiwe kama lugha yetu? Kwani Muingereza anaongea Kiswahili kama Mtanzania?
Hajakwambia anataka ,anakwambia tuwe na lugha moja ,ka kuswshili iwe kiswahili au ka kizungu iwe kizungu,India chuki inakufanya usielewe vizuri
 
Lieu hajajiandaa kuwa rais
 
Na wewe ni mzazi wa familia hapo mtaani ?

Mbona majibu ya swali lako yapo wazii sana kwa mtu mwenye kushughulisha ubongo wake.
 
Kingereza siyo Yes and no let mdahako live na usisahau kulet na pain killer K Vant na Adam energy
 
Hajajiona kasema wengi hawajui na siyo mbaya maana siyo lugha yetu,tujitahidi ni sawa MTU anaposema Tanzania hapa mpira hakuna na wakati yeye ni mtanzania pia,kiingereza ni juhudi ya MTU binafsi mkuu.
 

Kama nilisoma sawasawa uzi ule, alisema kuna BAADHI ya majaji na mawakili.... kitu ambacho ni kweli.
 
Ifikia hatua tujue, tukubali na ku appreciate kua kufaham kuzungumza kingereza kwa ufasaha haina uhusiano na uwezo wa akili(smart)...
 
Sina jibu la kitalaamu katika hili lakini hakuna ajabu yoyote ikiwa Lissu yupo more fluent in English kulinganisha na hao wengine hata kama wote wamesoma shule zile zile na kukulia mazingira yale yale!

Nina kila sababu ya kuamini watu tunatofautiana uwezo wetu wa ku-master lugha ya kigeni/ second language.

Mama yangu kwa mfano... huyu hakupata bahati ya elimu, lakini anakupigia broken ya Malkia!

Anachonishangaza zaidi ni uwezo wake wa kuongea lugha za makabila matatu wakati maisha yake karibu yote yupo Dar es salaam, na wala hajawahi kuishi kwenye mikoa ya hayo makabila mengine mawili!

Kutokana na makuzi yake, ananishangaza hata ambavyo bado anaiweza lugha ya kabila lake wakati hajaishi sana kule! And on top of that, hata Bush kwetu ni very rare ukute watu wanaongea kilugha... labda majumbani kwao kwa baadhi; but still my mom anaongea kilugha!

Nililazimika siku moja kumuuliza ni namna ana-manage kuongea hizo lugha wakati hajaishi hayo mazingira... hata mwenyewe nikaona kama anajishangaa!

I bet angekuwa ameenda shule yule, basi angekuwa na uwezo wa ku-master lugha za mataifa kadhaa endapo angeamua kujifunza!

But also REMEMBER, according to Howard Gardner na theory yake ya Multiple Intelligences, out of 8 intelligences in Multiple Intelligence Theory, moja wapo ni Linguistic Intelligence!

So, if Gardner is true, na TL kasema kweli kuhusu hao majaji, then tunaweza ku-conclude kwamba Tundu Lissu has HIGHER Linguistic Intelligence kulinganisha na hao majaji!
 
Exactly, ndiyo maana tunasema Lisu is extraordinary intelligent! University of Warwick Law Professors walisema wamepita wanafunzi wengi hapa, lkn huyu ni exceptionally intelligent!
 
Sio majaji tu hata huyu bwana hapa akiongea utajificha mbali kabisa inasikitisha.
Sikiliza kidogo uone kwanini Lissu ana point ya msingi. Aibu kishenzi.
 

Attachments

  • IMG_5105.MP4
    690.2 KB
Mpaka sasa list yangu ya wenye PhD wasiojua kingreza inasoma 2 na naendelea kufanya utafiti kuwabaini PhD holders wengine lugha gongana.
 
Ushajiuliza pia na anayepata sifuri kwenye mtihani na anayepata 100 darasa hilo hilo na mazingira hayo hayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…