Whatsoever the case, the message from president is simple,,, kila kilichosema ni TUHUMA tu, until prove in the court of law, kitaendelea kuwa TUHUMA;
And you have to remember he did not said ni uongo au ni ukweli! until uchunguzi,,, sijui mlitaka rais awe Jaji Ramadhani, i do not know reall!
Zaidi ya hapo ni Kuvunja Katiba kwa kutompa huyo MTUHUMIWA haki yake ya msingi ya kujitetea mbele ya SHERIA, msioelewa hilo kwa kweli mnataka tujenge taifa lisilofuata sheria!
No wonder mtu anajenga Jangwani, bila kibali, na kuelezwa kwamba ni eneo hatari kwa maisha yake, na kupewa kiwanja ajenge sehemu nyingine, at end of the day akivunjiwa nyumba anasema serikali imemuonea...
Ndio taifa tunalojenga,,, tulalamike likiwa chini ya CCM, lakini hali itakuwa mbaya kama wananchi watakuchukua sheria mkononi hata taifa hili likiwa chini ya Kipenzi Zitto au Mbowe!!!
Ni vyema kama watu hao wanajiaandaa kushika nchi wawafundishe/kuwahimiza wananchi kufuata sheria maana ndiyo itafanya wafanye wanayokusudia kulifanyia taifa.
Naungana na Mzee Mwanakijiji kwamba Mh. kama vile amejikita kwenye RUSHWA, lakini hata kama sio kwenye RUSHWA hata wizi huo mwingine, utumiaji wa madaraka vibaya, also need to be proved,,, tangu lini Dr. Slaa akawa na vyeo vyote hivyo vya kuprove vitu!
Mwenzako Akinyolewa Wewe Tia Maji!
I'm expecting the same reaction hata kama Rais angekuwa Prof. Lipumba, Leonard Shayo, Mh. Mbowe, Mh. Zitto, Mh. Mudhihiri..
But I should of course expect different reaction kama Rais angekuwa... Kaka... Agustion Lyatonga Mrema