Mna dhambi sana[emoji1787][emoji1787]
Njooo Kuna vyuma humu jidanganye tu sema tu huwajui ndio shida AkoMkoa mwingine ambao hauna pisi kabisa ni JamiiForums sijawahi ona pisi yoyote pamoja na kuwepo miaka 8
Umepita kwa mmakonde??Warugulu wana sura za kawaida ila wanakatika viuno mfano hakuna bila kusahau pacha wao wa kizaramo haya makabila hayana mpinzani kwenye kukatika viuno
🤣🤣🤣Chuma nyingine nilichukua mbalizi, kwenye gari tu ikanieleza mwanaume akiniudhi napigana nae kwanza chumbani, yaani mkoa wa Mara na Mbeya ukiona mwanamke jua ni chuma muda wowote unashushiwa kipigo inabidi ukae kiaskari kabisa
Makambako Iko mkoa GAni?Wakuu,katika kuzunguka kwangu hapa Tanzania nimefanya kautafiti kadogo kuhusu pisi kali,na nimekuja na orodha ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa hapa Tanzania.
1.Mbeya
2.katavi
3.Rukwa
4.Kigoma
5.simiyu
6.Lindi
7.Geita
8.Mtwara
Muwe na usiku mwema
Mwambie arudi tenaHaupo serious wewe
Wamakonde wapo wazuri Jamani sie familia yetu mm ndo jiwe [emoji23][emoji23]wadogo zangu ni balaa na nusu kuanzia shape had sura miguu Yao Sasa hatari au sijui mbegugani Ile[emoji3]
Ebu nitajie baadhi basi.Njooo Kuna vyuma humu jidanganye tu sema tu huwajui ndio shida Ako
Makambako Iko mkoa GAni?
MaraWakuu,katika kuzunguka kwangu hapa Tanzania nimefanya kautafiti kadogo kuhusu pisi kali,na nimekuja na orodha ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa hapa Tanzania.
1.Mbeya
2.katavi
3.Rukwa
4.Kigoma
5.simiyu
6.Lindi
7.Geita
8.Mtwara
Muwe na usiku mwema
Afande Ariana wewe unatokea namba ngapi kwenye orodha yetu ???as long as hatujakumbwa na tetemeko, tunakula hata kama mchele afu3
mambo mengine hayana umuhimu sana! Tumshukuru Mnyazi Mungu kwa siku ya leo.. Amin
Acha lugha ya kuudhiWameru ni ushuzi mtupu
Kagera umesahau 🤭Kilimanjaro
Arusha
Tanga
Manyara
Hiyo mikoa Kwa hapa Tanzania nafikiri ndio inayoongoza Kwa kutoa pisikali za Moto.
Wanaofuata ni Tabora na Singida, Huko kwingine Hali Kwa kweli Acha nikae kimya