Mna dhambi sana[emoji1787][emoji1787]
Chuma nyingine nilichukua mbalizi, kwenye gari tu ikanieleza mwanaume akiniudhi napigana nae kwanza chumbani, yaani mkoa wa Mara na Mbeya ukiona mwanamke jua ni chuma muda wowote unashushiwa kipigo inabidi ukae kiaskari kabisa