List ya Wabunge wa CCM ambao hawatarudi Bungeni 2025

13. Covid-19
14. Dr. Kimeya
15. Nepi
16. Dr. Betina
17. Deo sangari
18. Kiti Makumbo
 
wote hawatorudi isipokuwa watarudishwa na NEC
 
Wote wanaweza kurudi. Ni muhesabu kura na mtangazi ushindi ndio kwa Tanzania anaamua mshindi.

Hiyo tume, mamlaka, wajumbe inachaguliwa na iko chini ya Mwenyekiti wa CCM.
Tume ndiyo inaamua mshindi na siyo wananchi
 
MwanaFA - wananchi watafanya yao
Mpina '- Atakatwa na Wahuni.
Maboto - atakatwa na wahuni
 
Huyu inaonekana amekera raia wengi sana

Vibaya mno, barabara inapita jimboni kwetu inafika mpaka jimbo la Gwajima lakini Gwajima ndio anaizingumzia kuliko mbuge ambae barabara inachukua almost asilimia 70 ya jimbo lake.
 
Hizi ni ndoto tu baada ya kushiba.
 
Haina shida si wanarudi wa chama Chao
 
Yule Betina tulia namhitaji sana asirudi bungeni mdada anachokibri balaa
 
Almost 90% , Halafu Kasimu Majaliwa hakushinda Ubunge , alipita bila kupingwa baada yakila aliyempinga kutekwa , eti PM anapita bila kupingwa ! sijawahi kuona !
 
Mwita Waitara
Stephen Byabato
Kilumbe Ng'enda
Saasisha Mafuwe
Wa Moshi mjini
Jeska Msambatavangu
Prof Mkumbo
Hawa hawarudi waandae mashamba yao ya Pili Pili hoho mapema wakalime nyanya na carrots
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…