Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji709]Sijawahi kuona mtu mpuuzi kama Mr Nice, niliwahi kwenda kwenye show yake zamani na mwisho wa show nilijua huyu mshamba soon mziki utamshinda na ataishia kufilisika, alipiga Minneapolis siku hiyo watu walikuwa wamejaa vibaya sana kuanzia wakenya, wazungu na west Africans wote walikuwepo, nyimbo zake maarufu wakati huo nafikiri zilikuwa kidari poa na ...i dont remember, kwanza akaanza na vibe mbaya sana akaingia baada ya midnight watu wakamind sana lakini wakampotezea ili show iendelee, badala ya kuimba na kupiga show akaanza kuongea ujinga kwenye stage na kibaya zaidi kiingereza kibovu hakuna anayemuelewa, then akaanza show akatupigia nyimbo hata hatuzijui, watu wakamwomba apige show ya zile nyimbo tunazojua, jamaa akasema leo ni nyimbo mpya tuu, watu wakamind sana na stimu za watu zikakata kabisa, akaimba nyimbo zake za ovyo hakuna anayecheza wala kumsikiliza, akaanza kupiga kelele mbona hamchezi basi mimi naondoka, watu wakachoka naye wakaanza kumzomea na kumwambia aondoke, badala ya show yakawa matusi baina yake na washabiki, zilirushwa beer, viti, maji na kila kitu ilibidi wamtoe kupitia mlango wa nyuma, baada ya hapo nasikia show zake zote States zilipigwa chini na sponsor wake, i hope kaacha kiburi na majivuno yake ya kishamba
Dogo janja?Kuna yule mgogo mmoja skuhz anaitwa ngoswe,
Baada ya kudata na mkikuyu,mapenz yakamsahaulisha muziki. Alikua anavimba vizur sn[emoji4]
usiwacheke mkuu baadhi hujui walikumbana na nini,maana dunia ina uncertainity nyingi1) Mr Nice - huyu Afrika mashariki nzima na baadhi ya nchi za kusini kama vile Malawi, Msumbiji na Zambia hakuna mtu ambae alikuwa hamjui. Mpaka watoto wadogo huko vijijini Malawi walikuwa wanaimba kidali poo. Miaka ya 2002 mpaka 2005 alipiga hela sana lakini akaishia kushusha zipu, leo hii anazurura tu mitaani hana mbele wala nyuma.
2) Ferouz - Nyimbo kama kamanda, barua, kwaherini aliyoimba na prof Jay zilimpa umaarufu mkubwa hadi kupelekea kutunzwa gari na aliekuwa raisi wa JMT wa wakati huo hayati Benjamin W Mkapa. Na yeye alishika sana hela enzi hizo. Lakini leo inasemekana mambo yake yamekwenda ndivyo sivyo kwahiyo ni kama vile ashapoteza
3) 20 Percent - Huyu nae alikuja vizuri japo kwa muda mchache. Alikuja na vibao vyake matata na ile style yake ya kukwaruza kwaruza sauti huku mistari akiwa kaipangilia vilivyo, pia ukijulimsha na movie yake iliyovunja rekodi. Akaendekeza endekeza mjani na togwa. Leo hii inasemekana ukikutana nae mtaani lazima akupige mkuki umuunge buku akanywe chai.
Wapo wengi lakini acha niwataje hawa wengine mtaongezea wenyewe wasanii waliopata umaarufu na mwisho kupaki juu ya mawe kama gari isiokuwa na matairi.
Watu wanasahau hilo, utasikia mtu analaumu hawakuwekeza, kwani ukiwekeza ni lazima ufanikiwe?usiwacheke mkuu baadhi hujui walikumbana na nini,maana dunia ina uncertainity nyingi
nimekusoma afsaWatu wanasahau hilo, utasikia mtu analaumu hawakuwekeza, kwani ukiwekeza ni lazima ufanikiwe?
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
yaah ferooz alisema hili kuwa alivuta gari kwa mpunga wake mwenyewe, japo hata mimi nikiwa zangu manyoni niliaminishwa kuwa kapewa na mkapaHiyo habari ya Ferooz kuzawadiwa gari na Mkapa ni za kutungwa, ile Jeep alinunua kwa pesa yake.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
BenpolKuna yule mgogo mmoja skuhz anaitwa ngoswe,
Baada ya kudata na mkikuyu,mapenz yakamsahaulisha muziki. Alikua anavimba vizur sn[emoji4]
Chidbenz mwenyewe akijiita mtoto wa ilala siku hizi napishanaga nae huku Mbezi Makabe shamba akigongea Bajaj za jero jero.
Maisha haya nyie yaacheni tu
Dah Hao wote uliowataja ni members wa kidonge FM1) Mr Nice - huyu Afrika mashariki nzima na baadhi ya nchi za kusini kama vile Malawi, Msumbiji na Zambia hakuna mtu ambae alikuwa hamjui. Mpaka watoto wadogo huko vijijini Malawi walikuwa wanaimba kidali poo. Miaka ya 2002 mpaka 2005 alipiga hela sana lakini akaishia kushusha zipu, leo hii anazurura tu mitaani hana mbele wala nyuma.
2) Ferouz - Nyimbo kama kamanda, barua, kwaherini aliyoimba na prof Jay zilimpa umaarufu mkubwa hadi kupelekea kutunzwa gari na aliekuwa raisi wa JMT wa wakati huo hayati Benjamin W Mkapa. Na yeye alishika sana hela enzi hizo. Lakini leo inasemekana mambo yake yamekwenda ndivyo sivyo kwahiyo ni kama vile ashapoteza
3) 20 Percent - Huyu nae alikuja vizuri japo kwa muda mchache. Alikuja na vibao vyake matata na ile style yake ya kukwaruza kwaruza sauti huku mistari akiwa kaipangilia vilivyo, pia ukijulimsha na movie yake iliyovunja rekodi. Akaendekeza endekeza mjani na togwa. Leo hii inasemekana ukikutana nae mtaani lazima akupige mkuki umuunge buku akanywe chai.
Wapo wengi lakini acha niwataje hawa wengine mtaongezea wenyewe wasanii waliopata umaarufu na mwisho kupaki juu ya mawe kama gari isiokuwa na matairi.
Saizi angeweza kumzidi domo mbali kaabisa ni uzembe wake tuMr Nice nasikia alikuwa anajaza vibunda kwenye buti ya gari. Inasemekana alikuwa na zaidi ya 1.5 billion kipindi hiko.
Kuna interview alifanyiwa na millard ayo akasema alikuwa anatumia pesa haswa yaani hadi pesa zinatoa machozi kwa hiyo hajutii kufirisika. Lakini ukiangalia usoni ni mtu mwenye majuto sana
Daaah! Kwa feruzi umeniacha hoi, nyimbo ulizotaja kwa usahihi ni za Daz nundaz na yakwake umekosea jina "starehe"1) Mr Nice - huyu Afrika mashariki nzima na baadhi ya nchi za kusini kama vile Malawi, Msumbiji na Zambia hakuna mtu ambae alikuwa hamjui. Mpaka watoto wadogo huko vijijini Malawi walikuwa wanaimba kidali poo. Miaka ya 2002 mpaka 2005 alipiga hela sana lakini akaishia kushusha zipu, leo hii anazurura tu mitaani hana mbele wala nyuma.
2) Ferouz - Nyimbo kama kamanda, barua, kwaherini aliyoimba na prof Jay zilimpa umaarufu mkubwa hadi kupelekea kutunzwa gari na aliekuwa raisi wa JMT wa wakati huo hayati Benjamin W Mkapa. Na yeye alishika sana hela enzi hizo. Lakini leo inasemekana mambo yake yamekwenda ndivyo sivyo kwahiyo ni kama vile ashapoteza
3) 20 Percent - Huyu nae alikuja vizuri japo kwa muda mchache. Alikuja na vibao vyake matata na ile style yake ya kukwaruza kwaruza sauti huku mistari akiwa kaipangilia vilivyo, pia ukijulimsha na movie yake iliyovunja rekodi. Akaendekeza endekeza mjani na togwa. Leo hii inasemekana ukikutana nae mtaani lazima akupige mkuki umuunge buku akanywe chai.
Wapo wengi lakini acha niwataje hawa wengine mtaongezea wenyewe wasanii waliopata umaarufu na mwisho kupaki juu ya mawe kama gari isiokuwa na matairi.
Unamsemea BP?Kuna yule mgogo mmoja skuhz anaitwa ngoswe,
Baada ya kudata na mkikuyu,mapenz yakamsahaulisha muziki. Alikua anavimba vizur sn[emoji4]
na wadudu juu toka kwa diana astonVillahana mbele wala nyuma.