List ya wasanii wa Bongo ambao walipata umaarufu na mafanikio makubwa, lakini leo wako juu ya mawe

[emoji709]
 
Mr Nice nasikia alikuwa anajaza vibunda kwenye buti ya gari. Inasemekana alikuwa na zaidi ya 1.5 billion kipindi hiko.

Kuna interview alifanyiwa na millard ayo akasema alikuwa anatumia pesa haswa yaani hadi pesa zinatoa machozi kwa hiyo hajutii kufirisika. Lakini ukiangalia usoni ni mtu mwenye majuto sana
 
usiwacheke mkuu baadhi hujui walikumbana na nini,maana dunia ina uncertainity nyingi
 
Dah Hao wote uliowataja ni members wa kidonge FM
 
Saizi angeweza kumzidi domo mbali kaabisa ni uzembe wake tu
 
Daaah! Kwa feruzi umeniacha hoi, nyimbo ulizotaja kwa usahihi ni za Daz nundaz na yakwake umekosea jina "starehe"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…