Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
..na si pahala pote confrotational approach ilishinda.
Hoja za "Tribalism" kwenye CHADEMA ni hoja dhaifu.
Lakini hoja za "Nepotism" kwenye CCM Mkwe na Mama Mkwe kutuibia na kuharibu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni Hoja yenye mashiko.
Twende na Lissu... Uwazi na Ukweli.
Lissu #2025.
..maswali ya korti haya, lkn zipo njia nyingi siwezi kuzitaja hapa, ukiruhusu akili ifanye kazi yake inavyopaswa utakubaliana na ninachosema.Nimekuambia ukidai HAKI yako na kuwa Msema kweli automatically wewe lazima uzushe migogoro ya kutosha.
Embu eleza ni Kwa namna ipi utatuma Njia peaceful kuzuia utekaji?
Kuna mamilioni ya Watanzania walikuwa hawamwamini au wana mashaka na Mbowe.LISU ATARUDISHA ITIKADI/IMANI YA WATU KWA CHADEMA. CHADEMA MPENI UENYEKITI.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Watanzania ni watu ambao huwaamini kama wanaweza kuishi bila kuonewa. Bila kutetemekea watawala. Bila kuwa machawa wa wenye navyo.
Watanzania wengi huamini kuonewa, kudhulumiwa na Wakubwa ni HAKI yao.
Watanzania wengi wamejenga kasumba kuwa ukiwa na cheo unahaki ya kufanya chochote kwa wasionavyo.
Watanzania wengi ni conservative au tuseme wamedumaa na hawahitaji mabadiliko mazuri zaidi.
Watanzania wengi hawamaani katika utu, HAKI, ndio maana hawawezi kupigania HAKI Zao hata kwa kusema tuu.
Watanzania ndio watu pekee ambao hata wewe hapo unaweza jifanya Usalama wa taifa ukaenda kijiwe chochote ukamchukua mtu yeyote au ukampiga makofi mtu kwa kisingizio cha Usalama wa taifa na Watanzania wakakuangalia tuu
Watanzania wengi ndio watu pekee ambao unaweza kuwaweka benchi wakasugua wakisubiri huduma ya hospital au huduma yoyote na wasiwe kuhoji.
Tundu Antipas Lisu tunamhitaji kwa wakati huu ili kubusti akili za Watanzania. Kuamsha Ari.
Kung'arisha fikra,
Kuchochea Moyo wa kupenda haki na kuipigania.
Kuufanya ukweli uwe mwamvuli wa wananchi.
Kuondoa uchawa na Tabia mbaya za kujipendekeza.
Moja ya dalili ya ukosefu wa HAKI katika jamii ni uchawa na kujipendekeza.
Uchawa na HAKI havikai pamoja.
Uchawa na ukweli havikai pamoja.
Mtu yeyote anayejitambulisha na kujionyesha. kama Chawa hawezi kuwa mtenda HAKI.
LISU atarejesha imani ya watu kwenye vyama vya upinzani. Kama ilivyokuwa 2010-2015.
Acha nipumzike sasa
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Dar es salaam
..maswali ya korti haya, lkn zipo njia nyingi siwezi kuzitaja hapa, ukiruhusu akili ifanye kazi yake inavyopaswa utakubaliana na ninachosema.
Watanzania wanahitaji siasa za ukondoo, hata wakiporwa kura zao wako kimya, wakifanyiwa lolote na viongozi wao wanalinda ukondoo wao tu.Km kweli unaamini unayosema na unamtakia mema Lissu ungemwambia watanzania hawaamini ktk siasa za confrotational na hivyo nafasi nzuri kwake ndani ya chama ni kuwa mwalimu wa itikadi, chama kianzishe madarasa ya itikadi hasa kwa viongozi na Lissu atumike kufundisha itikadi ya chama..atakisaidia sana chama chake kuliko akiwa Mwenyekiti wa chama na atakuwa na muda wa kuwa na utulivu ili arudi kwenye hali ya mwanzo kisaikolojia na hata apate muda kuamua familia yake irejee kuishi Tanzania tena.
Kuna mamilioni ya Watanzania walikuwa hawamwamini au wana mashaka na Mbowe.
Saaa kazi kwao
Sio CCM, hatuna mbadala wa CCM!, hivyo CCM is the one and only.CCM ndio inayong'ang'aniza utawala huu wa Kiimla.
Njia zipi hizo, ni njia ipi ya kistaarabu haijatumika hadi sasa lakini ndio watu wanazidi kuonekana mazoba?..maswali ya korti haya, lkn zipo njia nyingi siwezi kuzitaja hapa, ukiruhusu akili ifanye kazi yake inavyopaswa utakubaliana na ninachosema.
Hivi ndivyo tulivyo sisi WaBongo ni watu poa sana, hata utufanye nini, mwakani muda ukiwadia niWatanzania wanahitaji siasa za ukondoo, hata wakiporwa kura zao wako kimya, wakifanyiwa lolote na viongozi wao wanalinda ukondoo wao tu.
Ni kweli, hata Kenya hapo makada wa KANU walikuwa wanasema kama ww. Leo hii KANU iko mortuary na Kenya ina maendeleo kuliko sisi makondoo tunaotawaliwa kwa shuruti na ccm.Sio CCM, hatuna mbadala wa CCM!, hivyo CCM is the one and only.
P
Ana hela? Wajumbe watakula maneno yake? πππLISU ATARUDISHA ITIKADI/IMANI YA WATU KWA CHADEMA. CHADEMA MPENI UENYEKITI.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Watanzania ni watu ambao huwaamini kama wanaweza kuishi bila kuonewa. Bila kutetemekea watawala. Bila kuwa machawa wa wenye navyo.
Watanzania wengi huamini kuonewa, kudhulumiwa na Wakubwa ni HAKI yao.
Watanzania wengi wamejenga kasumba kuwa ukiwa na cheo unahaki ya kufanya chochote kwa wasionavyo.
Watanzania wengi ni conservative au tuseme wamedumaa na hawahitaji mabadiliko mazuri zaidi.
Watanzania wengi hawamaani katika utu, HAKI, ndio maana hawawezi kupigania HAKI Zao hata kwa kusema tuu.
Watanzania ndio watu pekee ambao hata wewe hapo unaweza jifanya Usalama wa taifa ukaenda kijiwe chochote ukamchukua mtu yeyote au ukampiga makofi mtu kwa kisingizio cha Usalama wa taifa na Watanzania wakakuangalia tuu
Watanzania wengi ndio watu pekee ambao unaweza kuwaweka benchi wakasugua wakisubiri huduma ya hospital au huduma yoyote na wasiwe kuhoji.
Tundu Antipas Lisu tunamhitaji kwa wakati huu ili kubusti akili za Watanzania. Kuamsha Ari.
Kung'arisha fikra,
Kuchochea Moyo wa kupenda haki na kuipigania.
Kuufanya ukweli uwe mwamvuli wa wananchi.
Kuondoa uchawa na Tabia mbaya za kujipendekeza.
Moja ya dalili ya ukosefu wa HAKI katika jamii ni uchawa na kujipendekeza.
Uchawa na HAKI havikai pamoja.
Uchawa na ukweli havikai pamoja.
Mtu yeyote anayejitambulisha na kujionyesha. kama Chawa hawezi kuwa mtenda HAKI.
LISU atarejesha imani ya watu kwenye vyama vya upinzani. Kama ilivyokuwa 2010-2015.
Acha nipumzike sasa
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Dar es salaam
Kenya ni Kenya na Bongo ni Bongo.Ni kweli, hata Kenya hapo makada wa KANU walikuwa wanasema kama ww. Leo hii KANU iko mortuary na Kenya ina maendeleo kuliko sisi makondoo tunaotawaliwa kwa shuruti na ccm.
Lema hafai kuwa kwenye nafasi za ukatibu mkuu au uwenyekiti. Yule apewe uenezi na aachwe aende mstari wa mbele kupiga kazi. Huko maofisini hapamfai.Chama kitachukua sura ya Kitaifa. Heche Makamu Mwenyekiti na Lema Katibu itawasaidia.
Ana hela? Wajumbe watakula maneno yake? πππ
Wajumbe ni Hawa hapa π π
View: https://www.instagram.com/p/DDhVH1LC3Ee/?igsh=MW5jNHA3NzJ0aWNvcw==
Mwisho,Lisu ni mgombea wa Mapandikozi ya huko Nje Kwa jina la Diaspora na Wanaharakati uchwara
Hawezi kushinda huyo na alishindwa asije kusingizia rushwa za mama Abdul wakati waliomtuma hao vibaraka wa Wazungu wameshampa hela.Mapandikizi ya Diaspora hayatampa pesa?
Mara kadhaa Lisu akiingia kwenye vinyang'anyiro anashinda. Kama alitoboa kwenye zile risasi 38 sio ajabu akamshinda yeyote kwenye kuwania uenyekiti
Endeleeni kumdanganya! Na mjue, nguvu alizonazo, ni kama samaki ndani ya maji. Baada ya uchaguzi wao, atakuwa ni kama samaki aliyepo nchi kavu!Ni kweli Kabisa.
Lipo kundi kubwa la vijana nchi hii wanahitaji mabadiliko. Anayekosekana na kiongozi tuu.
Hawezi kushinda huyo na alishindwa asije kusingizia rushwa za mama Abdul wakati waliomtuma hao vibaraka wa Wazungu wameshampa hela.
Ngoja usubiri uone maana hata Msigwa mlimpamba sana lakini kilichompata Kwa Sugu kilimpeleka CCM.
Nae ajiandae kwenda CCM,ACT au kuinda chama kipya