Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #61
Endeleeni kumdanganya! Na mjue, nguvu alizonazo, ni kama samaki ndani ya maji. Baada ya uchaguzi wao, atakuwa ni kama samaki aliyepo nchi kavu!
Hakuna mwenye nguvu kuzidi nguvu ya ukweli na HAKI.
Subiri utaona.