Lisu atarudisha itikadi/Imani ya watu kwa CHADEMA. CHADEMA mpeni uenyekiti.

Lisu atarudisha itikadi/Imani ya watu kwa CHADEMA. CHADEMA mpeni uenyekiti.

Mtu anayefuataga Sheria hawezi kukigawa chama
Tayari Moshi unafuka na makundi ndani ya chama yameshajionyesha, ile picha waliyopiga yeye na Mbowe na kusema hana nia ya kugombea uenyekiti ilikuwa imezima kelele za wengi na kuonyesha kuna muunganiko
 
Tayari Moshi unafuka na makundi ndani ya chama yameshajionyesha, ile picha waliyopiga yeye na Mbowe na kusema hana nia ya kugombea uenyekiti ilikuwa imezima kelele za wengi na kuonyesha kuna muunganiko

Hiyo ndio demokrasia.
Makundi yapo wakati wa uchaguzi kila Mmoja akipambania mtu anayemuona anafaa. Baada ya uchaguzi Makundi yote yanafutwa chama kinabaki kimoja.

Hata CCM iko hivyohivyo
 
Sio kwa chadema tu, atarudisha imani iliyopotea tangu enzi za kina Slaa kwa upinzani tena!
 
Hiyo ndio demokrasia.
Makundi yapo wakati wa uchaguzi kila Mmoja akipambania mtu anayemuona anafaa. Baada ya uchaguzi Makundi yote yanafutwa chama kinabaki kimoja.

Hata CCM iko hivyohivyo
Tofauti ya CCM na vyama vya upinzani ni huwa linapofika suala la Uchaguzi wengi wao huweka tofauti pembeni na kupigania chama, hawa ndugu zetu wapinzani hiyo vita ndio itaendelea bila kikomo huku msajili wa vyama akichochea moto
 
Tofauti ya CCM na vyama vya upinzani ni huwa linapofika suala la Uchaguzi wengi wao huweka tofauti pembeni na kupigania chama, hawa ndugu zetu wapinzani hiyo vita ndio itaendelea bila kikomo huku msajili wa vyama akichochea moto

Watakuwa vichwa maji basi.
 
LISU ATARUDISHA ITIKADI/IMANI YA WATU KWA CHADEMA. CHADEMA MPENI UENYEKITI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Watanzania ni watu ambao huwaamini kama wanaweza kuishi bila kuonewa. Bila kutetemekea watawala. Bila kuwa machawa wa wenye navyo.

Watanzania wengi huamini kuonewa, kudhulumiwa na Wakubwa ni HAKI yao.
Watanzania wengi wamejenga kasumba kuwa ukiwa na cheo unahaki ya kufanya chochote kwa wasionavyo.

Watanzania wengi ni conservative au tuseme wamedumaa na hawahitaji mabadiliko mazuri zaidi.

Watanzania wengi hawamaani katika utu, HAKI, ndio maana hawawezi kupigania HAKI Zao hata kwa kusema tuu.

Watanzania ndio watu pekee ambao hata wewe hapo unaweza jifanya Usalama wa taifa ukaenda kijiwe chochote ukamchukua mtu yeyote au ukampiga makofi mtu kwa kisingizio cha Usalama wa taifa na Watanzania wakakuangalia tuu

Watanzania wengi ndio watu pekee ambao unaweza kuwaweka benchi wakasugua wakisubiri huduma ya hospital au huduma yoyote na wasiwe kuhoji.

Tundu Antipas Lisu tunamhitaji kwa wakati huu ili kubusti akili za Watanzania. Kuamsha Ari.
Kung'arisha fikra,
Kuchochea Moyo wa kupenda haki na kuipigania.

Kuufanya ukweli uwe mwamvuli wa wananchi.

Kuondoa uchawa na Tabia mbaya za kujipendekeza.
Moja ya dalili ya ukosefu wa HAKI katika jamii ni uchawa na kujipendekeza.
Uchawa na HAKI havikai pamoja.
Uchawa na ukweli havikai pamoja.

Mtu yeyote anayejitambulisha na kujionyesha. kama Chawa hawezi kuwa mtenda HAKI.

LISU atarejesha imani ya watu kwenye vyama vya upinzani. Kama ilivyokuwa 2010-2015.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Dar es salaam
Tundu Lissu bado ni activist anahitaji kukua zaidi kupewa uenyekiti.
 
Bila u-activist huwezi kukabiliana na CCM KAMWE
Tundu Lissu anafaa tu kuwa chini ya mtu lakini sio kuwa kiongozi wa kwanza kwenye chama au nchi. Lissu ana hulka za extremism ambazo ni hatari kwa chama. Hana diplomacy ambayo ni muhimu ndani na nje ya chama. Anafaa zaidi nafasi aliyopo na sio zaidi. Kuiondoa CCM ni sayansi zaidi kuliko activism.
 
Ifike hatua mbowe nae aachie ngazi.
Ccm wanampigia upatu mbowe maana wanajua ni kibaraka .
Ccm wanamuogopa lissu wanajua ni mwamba kwelikweli .
Siku ukisikia lissu akishinda uwenyekiti chadema, Lumumba hawatalala
 
Tundu Lissu anafaa tu kuwa chini ya mtu lakini sio kuwa kiongozi wa kwanza kwenye chama au nchi. Lissu ana hulka za extremism ambazo ni hatari kwa chama. Hana diplomacy ambayo ni muhimu ndani na nje ya chama. Anafaa zaidi nafasi aliyopo na sio zaidi. Kuiondoa CCM ni sayansi zaidi kuliko activism.
Haahaa huo ni mtazamo Wako, mtu mpaka aliwahi chaguliwa na wanasheria wenzake kuwa rais wao sembuse uwenyekiti wa chadema? Lissu ndo turufu pekee iliyobaki chadema, nje ya hapo chadema ni kuungana na kina SAU, TLP na AFP Wakulima
 
Kiongozi yeyote ni mwanaharakati, usidanganyike.Kwani alipewaje umakamu?
Inahitajika balance ya mambo activism ni hatua za chini na zinapaswa kuchanganywa na diplomacy na upeo mkubwa wa kisiasa ili kupata kiongozi mzuri zaidi. Lissu anafaa zaidi kuwa rebel.
 
Mwamba apumzike akitaka atarejea siku za usoni.

Simba atunyooshee chama.

Tangu lini wapi kunakojali chawa wakaendekezwa?
Mbowe wampe uwenyekiti bodi ya wadhamini maana ni bingwa wa kutafuta pesa za chama
 
Haahaa huo ni mtazamo Wako, mtu mpaka aliwahi chaguliwa na wanasheria wenzake kuwa rais wao sembuse uwenyekiti wa chadema? Lissu ndo turufu pekee iliyobaki chadema, nje ya hapo chadema ni kuungana na kina SAU, TLP na AFP Wakulima
Kumbuka TLS ni zaidi activist party ndio maana akina Mwambukusi wanafaa sana huko.
 
Inahitajika balance ya mambo activism ni hatua za chini na zinapaswa kuchanganywa na diplomacy na upeo mkubwa wa kisiasa ili kupata kiongozi mzuri zaidi. Lissu anafaa zaidi kuwa rebel.
Mh, nini maana ya mwanaharakati ? Mbona kukariri kwingi boss, halafu rebel unajua maana yake?😂
 
Tundu Lissu anafaa tu kuwa chini ya mtu lakini sio kuwa kiongozi wa kwanza kwenye chama au nchi. Lissu ana hulka za extremism ambazo ni hatari kwa chama. Hana diplomacy ambayo ni muhimu ndani na nje ya chama. Anafaa zaidi nafasi aliyopo na sio zaidi. Kuiondoa CCM ni sayansi zaidi kuliko activism.

Katiba ndio msingi wa uongozi
Kama Katiba itashindwa kudhibiti Tabia za viongozi kama uliyoitaja Basi inapaswa kurekebisha.

Mtu hapaswi kudhibitiwa na mtu mwingine. Mtu anatakiwa adhibitiwe kwa Sheria au Katiba
 
Back
Top Bottom