Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Sio kweli, kwamba bongo ni special sana ama?Kenya ni Kenya na Bongo ni Bongo.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli, kwamba bongo ni special sana ama?Kenya ni Kenya na Bongo ni Bongo.
P
Yapi hayo ambayo yameshindikana muda wote wa hizo siasa za kikondoo?Inawezekana..lkn wanaweza kuleta mabadiliko si lazima kwa confrotational means za Lissu..
..ni vile hamuwezi kuona madhara ya watu wa misimamo ya Lissu kwenye jamii ya watu km watanzania, namhurumia Lissu sababu hawezi kufanikiwa akipewa ridhaa kuongoza chama.Wewe hutaki LISU awe Mwenyekiti?
Bongo very special!, hata uwafanye nini, muda ukifika, ni unachukua..., unaweka...Sio kweli, kwamba bongo ni special sana ama?
Tangu lini CCM ikaipenda CDM. Ila Lisu na mbowe wangefikia muafaka tu kama, mbowe bado ana hamu ya uwenyekiti wangeka sawa ili Lisu agobee uchaguzi ujao. Lisu yeye akubali kumwachia wenje umakamu alafu yeye abakie upande wa hamasa nafasi iliyo Achwa na Ali kibao dhumuni iwe awe karibu na wanachama na wananchi akijiandaa kugombea urais 2025.Hii ingemsaidia kutokuwa mbele mbele sana na kumpunguzia misuko suko ya kumpotezea mda kukijenga Chama. Sidhani kama Lisu anaweza kushindana na Mbowe.Lissu ni adui wa demokrasia na kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA. Sisi wanaCCM tunasikitishwa na vurugu zinazofanywa na Lissu. Mbowe awe tu mtulivu atashinda hii vita.
Mama Samia nenda kapikie watoto, unafanya nini hapa?Lissu ni adui wa demokrasia na kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA. Sisi wanaCCM tunasikitishwa na vurugu zinazofanywa na Lissu. Mbowe awe tu mtulivu atashinda hii vita.
We chawa wa Mbowe, miaka 20 ya Mwenyekiti imetosha apumzike sasaTangu lini CCM ikaipenda CDM. Ila Lisu na mbowe wangefikia muafaka tu kama, mbowe bado ana hamu ya uwenyekiti wangeka sawa ili Lisu agobee uchaguzi ujao. Lisu yeye akubali kumwachia wenje umakamu alafu yeye abakie upande wa hamasa nafasi iliyo Achwa na Ali kibao dhumuni iwe awe karibu na wanachama na wananchi akijiandaa kugombea urais 2025.Hii ingemsaidia kutokuwa mbele mbele sana na kumpunguzia misuko suko ya kumpotezea mda kukijenga Chama. Sidhani kama Lisu anaweza kushindana na Mbowe.
Chawa wa Mbowe mnatatizo gani? Mbowe anatakiwa KUSTAAFU sasa, abakie kuwa mshauri wa chama tu.Lissu mwenyekiti, mbowe mgombea Urais hapo itakaa vizuri, Kwa maslah ya chama na taifa
Mimi sina nia ya kwamba Mbowe aendelee ila ikiwa ameamua kuendelea ni kazi sana kumng'oa kwasababu mbowe kwa sasa hakipiganii chama ila anapigania maslai yake na pia, mbowe anataka kumuachia mtu madaraka ambaye ataendelea kulinda maslai yake wakati huo Lisu awezi kukubali kuwa kibaraka wa Mbowe ndio maana nikaona kuwa Lisu angeendelea kuwa na Subira na kujipanga, kwa sasa mbowe amekwisha tengeneza timu yake ndiyo maana hata msigwa akamwagwa kwasababu alikuwa team lisuWe chawa wa Mbowe, miaka 20 ya Mwenyekiti imetosha apumzike sasa
Hapana, acha inyeshe sasahivi ili TUONE PANAPOVUJA. Hatma yao ndio itakayoamua mustakabali wa uhai na uimara wa chamaMimi sina nia ya kwamba Mbowe aendelee ila ikiwa ameamua kuendelea ni kazi sana kumng'oa kwasababu mbowe kwa sasa hakipiganii chama ila anapigania maslai yake na pia, mbowe anataka kumuachia mtu madaraka ambaye ataendelea kulinda maslai yake wakati huo Lisu awezi kukubali kuwa kibaraka wa Mbowe ndio maana nikaona kuwa Lisu angeendelea kuwa na Subira na kujipanga, kwa sasa mbowe amekwisha tengeneza timu yake ndiyo maana hata msigwa akamwagwa kwasababu alikuwa team lisu
Nitashangaa sana Kama Mzee wetu Mbowe ataonesha Nia ya kuhitaji kugombea Tena uenyekiti.
Miaka 20 sio haba kafikisha chama mahala,ni vyema tu apumzike abakie kuwa mshauri mkuu wa chama.
Na ni move ambayo imeitetemesha Lumumba, Magogoni na Chamwino yote....
Ndiyo maana huko Lumumba hakukaliki Sasa hivi. Wanabuni plan C maana A & B zote zilishafeli...
Gentleman,
Gentleman,
mim nasikitika sana kibaraka kuamua kuonja sumu kwa ulimi tena kwa tamaa na uchu wa kiwango cha juu sana na kwa mbwembwe ambazo matokeo yake ya natarajiwa kuhusianishwa na viongozi wenye tamaa na viburi, hasa wanasiasa wanaopuuza, 48 laws of power ya Robert Greene.
Ni suala la muda tu athari za sumu iloonjwa kwa ulimi zitaanza kujitokeza 🐒
Gentleman acha ushirkina na ramli chonganishi 🐒LISU ameshashinda. Niamini Mimi.
Gentleman acha ushirkina na ramli chonganishi 🐒
Mimi Naami Mungu pekee
Hamna cha maana atakachofanya zaidi ya kuleta migogoro na kukigawa chama