Jana clubhouse umerudia kuwa Abdul alitaka kukuhonga.
SWALI KUBWA: ALITAKA KUKUHONGA ILI UFANYE NINI?
Wenje amesema alimpeleka kwako ili akusaidie kupata fedha zako. Je ni kweli ulituma covering letter kwa email ya Abdul? What does that mean? it means ulikuwa na mahusiano mema na Abdul, why leo unamkana na "kumpakazia" hongo?
On top of that
1.Tukikuta covering letter ya kuomba madai yake kwenye email ya Abdul kama alivyosema Wenje tukuelewe vipi?
2. Clip ikitoka Lisu anaomba radhi kamati kuu kwa kusema uongo kama alivyodai Wenje tuelewe nini?
3. Ukiletwa ushahidi wa mafaili ya Mbowe kununua magari kwenye mnada wa ubalozi wakati yeye Lisu alidai kuwa Mbowe alikuwa amehongwa na serikali tumuelewe vipi?
SWALI KUBWA: ALITAKA KUKUHONGA ILI UFANYE NINI?
Wenje amesema alimpeleka kwako ili akusaidie kupata fedha zako. Je ni kweli ulituma covering letter kwa email ya Abdul? What does that mean? it means ulikuwa na mahusiano mema na Abdul, why leo unamkana na "kumpakazia" hongo?
On top of that
1.Tukikuta covering letter ya kuomba madai yake kwenye email ya Abdul kama alivyosema Wenje tukuelewe vipi?
2. Clip ikitoka Lisu anaomba radhi kamati kuu kwa kusema uongo kama alivyodai Wenje tuelewe nini?
3. Ukiletwa ushahidi wa mafaili ya Mbowe kununua magari kwenye mnada wa ubalozi wakati yeye Lisu alidai kuwa Mbowe alikuwa amehongwa na serikali tumuelewe vipi?