Litambue Baraza la Mawaziri mwaka 2023 na Majimbo yao

Katibu wa Balaza Chief Secretary Kwa nini umemuacha kwenye list? Tueleze Kusiluka ni WA wapi?
 
Rukwa 0
Katavi 0
Arusha 0
Kilimanjaro 0
Manyara 0
Simiyu 0
Shinyanga 0
Mbeya 0
Songwe 0

Kazi iendelee.
Mbeya yupo Naibu Waziri Atupele na Songwe yupo Naibu Waziri Kasekenya na yule msaliti wa CHADEMA.
 
Mbona kama umeileta kiushabiki flani hivi...
Mbona unajistukia, yaani kawataja tu hajaongeza chochote,

Ushabiki unatoka wapi?

Au kubold na kuweka RANGI ndo ushabiki?😃😃😃😃
 
Mbeya yupo Naibu Waziri Atupele na Songwe yupo Naibu Waziri Kasekenya na yule msaliti wa CHADEMA.

Wengine wapate mawaziri kamili hadi watatu lkn wengine wapate naibu waziri mmoja.
Sio sawa
 
Pamoja na kuwa mtu atokapo si kigezo lakini ukiangalia kajitahidi sana kubalance baraza lake. Naamini kajitahidi kwelikweli kwani nafasi ni chache kulingana na idadi ya mikoa.
 
baada ya kuona idada ya dini wanopenda kuwa wao tu serikalini wako wengi,roho hazitulii basi wameamia kwenye ukanda na umkao...Tanzania tunasafari ndefu ya kupiga hatua ya maendelea, viongozi wetu wana kazi kubwa sana kwa jamii hii kuiongoza....
 
Rukwa 0
Katavi 0
Arusha 0
Kilimanjaro 0
Manyara 0
Simiyu 0
Shinyanga 0
Mbeya 0
Songwe 0

Kazi iendelee.
Ondoa K'njaro jombaaa, yupo Mukenda,pamoja na Kina Mollel chawa wa mama huyu[emoji1787][emoji1787]
 
Nipeni Mimi nitaifanya hiyo kazi unayosema ngumu na nakuhakikishia hakuna atakayelakamika. Nitaondoa matozo na maisha ya wananchi yatakuwa kama wako sayari ya Masi,
 
Hoja yako haina msingi kwasababu unakuta kwenye mkoa mmoja kuna mawaziri watatu alfumomwingie hamna waziri inamaana wabunge wote wa mkoa huo hawafai kuwa wazir
===Acha ubishi usio na kichwa wala miguu Kwa mambo ambayo facts zake ziko wazi mbele ya macho yako..!

===Msingi wa hoja uko hapa;

✓ Kwamba, wizara ziko 25 tu. Mikoa iko zaidi ya 35

✓ Unadhani ungekuwa wewe ndiye mteuzi ungewezaje kuhakikisha kuwa Kila mkoa unatoa waziri?

✓ Bila shaka ungeamua kuunda wizara zingine ili tu Kila mkoa upate waziri, au siyo Fauya ?

===Kuhusu mkoa fulani kuwa na wabunge wasio na sifa ya kuwa mawaziri, hilo linaawezekana Kwa sbb yote hayo yanategemeana na mteuzi anaangalia sifa/vigezo gani..
 
Rukwa 0
Katavi 0
Arusha 0
Kilimanjaro 0
Manyara 0
Simiyu 0
Shinyanga 0
Mbeya 0
Songwe 0

Kazi iendelee.
Baraza la mawaziri la JPM halikuwa na waziri kutoka Kilimanjaro hata mmoja, ni siasa zile zile tu. Uvumilivu ni wa muhimu sana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…