Live Bungeni: Kukosekana kwa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Kumepelekea Kipindi cha Maswali ya Papo kwa Papo kwa Waziri Mkuu Kukosa Impact?

Live Bungeni: Kukosekana kwa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Kumepelekea Kipindi cha Maswali ya Papo kwa Papo kwa Waziri Mkuu Kukosa Impact?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,

Naangalia Bunge live asubuhi hii, kusubiria hotuba ya hali ya uchumi, ndio nikakumbuka kumbe leo ni siku ya Alhamisi, ni siku ya maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu, sasa naomba kuuliza, jee kuna uwezekano wa kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kupunguza msisimko wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu hivyo sasa kipindi hiki kimekosa impact kama enzi zile za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni? .

Enzi za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu ilikuwa moto, sii ya kukosa, siku zote swali la kwanza lilitoka ama kwa kiongozi wa upinzani bungeni ama kwa mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani.

Je ni mimi tuu?, vipi nyinyi wenzangu? . Msikie JJ. Mnyika
View: https://youtu.be/r-SmiYZUOXc?si=VjwownS936rlz14K

Ushauri wa Bure kwa Mhe. Spika.
Pamoja na kutokuwepo kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kutokana na wapinzani kutokukodhi akidi, lakini kuna wapinzani bungeni, hivyo ili kurejesha msisimko wa Bunge la vyama vingi, wapinzani wote waliopo Bungeni waunde kundi la "the minority", to act kama kambi rasmi ya upinzani, hivyo kipindi cha maswali ya papo kwa papo kianze na maswali ya papo kwa papo swali la kwanza litoke kwa the minority.

Pia kitendo cha Chadema kutowatambua wale wabunge wake 19 na kuwaita covid 19, kumepelekea kuwavunja confidence wabunge wake machachari kama Mhe. Halima Mdee, Esta Bulaya, Ester Matiko and the like, wanaonekana wako wako tuu bungeni kwa ajili ya maokoto kwa kuvuta tuu bingo kusubiria Bunge kuvunjwa hapo mwakani.

Paskali
 
Wanabodi,

Naangalia Bunge live asubuhi hii, kusubiria hotuba ya hali ya uchumi, ndio nikakumbuka kumbe leo ni siku ya Alhamisi, ni siku ya maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu, sasa naomba kuuliza, jee kuna uwezekano wa kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kupunguza msisimko wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu hivyo sasa kipindi hiki kimekosa impact kama enzi zile za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni? .

Enzi za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu ilikuwa moto, sii ya kukosa, siku zote swali la kwanza lilitoka ama kwa kiongozi wa upinzani bungeni ama kwa mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani.

Je ni mimi tuu?, vipi nyinyi wenzangu?

Ushauri wa Bure kwa Mhe. Spika.
Pamoja na kutokuwepo kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kutokana na wapinzani kutokukodhi akidi, lakini kuna wapinzani bungeni, hivyo ili kurejesha msisimko wa Bunge la vyama vingi, wapinzani wote waliopo Bungeni waunde kundi la "the minority", to act kama kambi rasmi ya upinzani, hivyo kipindi cha maswali ya papo kwa papo kianze na maswali ya papo kwa papo swali la kwanza litoke kwa the minority.

Pia kitendo cha Chadema kutowatambua wale wabunge wake 19 na kuwaita covid 19, kumepelekea kuwavunja confidence wabunge wake machachari kama Mhe. Halima Mdee, Esta Bulaya, Ester Matiko and the like, wanaonekana wako wako tuu bungeni kwa ajili ya maokoto kwa kuvuta tuu bingo kusubiria Bunge kuvunjwa hapo mwakani.

Paskali
inashangaza sana mtu aliyejiita kipenzi cha watu akageuka kuwa muoga kwa hao watu hata kulindwa kwa mitutu ya bunduki na mijeredi? ATI ANAPIGANA VITA YA KIUCHUMI NANANI SASA? SASA YPO WAPI NA ILE VITA ILIISHIA WAPI NA NANI ALIIBUKA MSHINDI?
 
Wanabodi,

Naangalia Bunge live asubuhi hii, kusubiria hotuba ya hali ya uchumi, ndio nikakumbuka kumbe leo ni siku ya Alhamisi, ni siku ya maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu, sasa naomba kuuliza, jee kuna uwezekano wa kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kupunguza msisimko wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu hivyo sasa kipindi hiki kimekosa impact kama enzi zile za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni? .

Enzi za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu ilikuwa moto, sii ya kukosa, siku zote swali la kwanza lilitoka ama kwa kiongozi wa upinzani bungeni ama kwa mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani.

Je ni mimi tuu?, vipi nyinyi wenzangu?

Ushauri wa Bure kwa Mhe. Spika.
Pamoja na kutokuwepo kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kutokana na wapinzani kutokukodhi akidi, lakini kuna wapinzani bungeni, hivyo ili kurejesha msisimko wa Bunge la vyama vingi, wapinzani wote waliopo Bungeni waunde kundi la "the minority", to act kama kambi rasmi ya upinzani, hivyo kipindi cha maswali ya papo kwa papo kianze na maswali ya papo kwa papo swali la kwanza litoke kwa the minority.

Pia kitendo cha Chadema kutowatambua wale wabunge wake 19 na kuwaita covid 19, kumepelekea kuwavunja confidence wabunge wake machachari kama Mhe. Halima Mdee, Esta Bulaya, Ester Matiko and the like, wanaonekana wako wako tuu bungeni kwa ajili ya maokoto kwa kuvuta tuu bingo kusubiria Bunge kuvunjwa hapo mwakani.

Paskali
Magufuli ndio chanzo Cha bunge hilo kukosa mvuto kwa sababu ya kulazimisha kukubalika. Alianza kwa kuzuia bunge live, kisha akaleta habari sijui maswali kwa waziri mkuu yawe ya sera. Hakurudhika baada ya kulinyima bunge uhuru, akalifanya kuwa la chama kimoja Ili limuongezee muda wa kukaa madarakani. Hapo ndio alipoteza mvuto wote wa bunge. Haya unayoona Leo ni matokeo ya Magufuli kulazimisha bunge liwepo kwa utashi wake.
 
Wanabodi,

Naangalia Bunge live asubuhi hii, kusubiria hotuba ya hali ya uchumi, ndio nikakumbuka kumbe leo ni siku ya Alhamisi, ni siku ya maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu, sasa naomba kuuliza, jee kuna uwezekano wa kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kupunguza msisimko wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu hivyo sasa kipindi hiki kimekosa impact kama enzi zile za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni? .

Enzi za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu ilikuwa moto, sii ya kukosa, siku zote swali la kwanza lilitoka ama kwa kiongozi wa upinzani bungeni ama kwa mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani.

Je ni mimi tuu?, vipi nyinyi wenzangu?

Ushauri wa Bure kwa Mhe. Spika.
Pamoja na kutokuwepo kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kutokana na wapinzani kutokukodhi akidi, lakini kuna wapinzani bungeni, hivyo ili kurejesha msisimko wa Bunge la vyama vingi, wapinzani wote waliopo Bungeni waunde kundi la "the minority", to act kama kambi rasmi ya upinzani, hivyo kipindi cha maswali ya papo kwa papo kianze na maswali ya papo kwa papo swali la kwanza litoke kwa the minority.

Pia kitendo cha Chadema kutowatambua wale wabunge wake 19 na kuwaita covid 19, kumepelekea kuwavunja confidence wabunge wake machachari kama Mhe. Halima Mdee, Esta Bulaya, Ester Matiko and the like, wanaonekana wako wako tuu bungeni kwa ajili ya maokoto kwa kuvuta tuu bingo kusubiria Bunge kuvunjwa hapo mwakani.

Paskali
Magufuli ndo alituletea yote hata, asili ikiruhusu baada ya maisha haya ya duniani nikutanishwe na yule mtu,aisee lazima zipigwe Sana😠 ,
 
Wanabodi,

Naangalia Bunge live asubuhi hii, kusubiria hotuba ya hali ya uchumi, ndio nikakumbuka kumbe leo ni siku ya Alhamisi, ni siku ya maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu, sasa naomba kuuliza, jee kuna uwezekano wa kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kupunguza msisimko wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu hivyo sasa kipindi hiki kimekosa impact kama enzi zile za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni? .

Enzi za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu ilikuwa moto, sii ya kukosa, siku zote swali la kwanza lilitoka ama kwa kiongozi wa upinzani bungeni ama kwa mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani.

Je ni mimi tuu?, vipi nyinyi wenzangu?

Ushauri wa Bure kwa Mhe. Spika.
Pamoja na kutokuwepo kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kutokana na wapinzani kutokukodhi akidi, lakini kuna wapinzani bungeni, hivyo ili kurejesha msisimko wa Bunge la vyama vingi, wapinzani wote waliopo Bungeni waunde kundi la "the minority", to act kama kambi rasmi ya upinzani, hivyo kipindi cha maswali ya papo kwa papo kianze na maswali ya papo kwa papo swali la kwanza litoke kwa the minority.

Pia kitendo cha Chadema kutowatambua wale wabunge wake 19 na kuwaita covid 19, kumepelekea kuwavunja confidence wabunge wake machachari kama Mhe. Halima Mdee, Esta Bulaya, Ester Matiko and the like, wanaonekana wako wako tuu bungeni kwa ajili ya maokoto kwa kuvuta tuu bingo kusubiria Bunge kuvunjwa hapo mwakani.

Paskali
2020 Uchaguzi ulikua huru na haki. Tulikua pia waangalizi wa kimataifa ikiwemo African Union, EAC na SADC na walitoanripoti Yao (nakala zipo). Wapinzani walishindwa kupitia sanduku la kura. Hapo unamlaumu nani?

2. Uchaguzi wa 2025 tunayo Tume HURU tayari. Mpewe nn?
 
Magufuli ndio chanzo Cha bunge hilo kukosa mvuto kwa sababu ya kulazimisha kukubalika. Alianza kwa kuzuia bunge live, kisha akaleta habari sijui maswali kwa waziri mkuu yawe ya sera. Hakurudhika baada ya kulinyima bunge uhuru, akalifanya kuwa la chama kimoja Ili limuongezee muda wa kukaa madarakani. Hapo ndio alipoteza mvuto wote wa bunge. Haya unayoona Leo ni matokeo ya Magufuli kulazimisha bunge liwepo kwa utashi wake.
Asante hapo mwisho hapo=ni Kwa ujinga wake
 
......akina halima hawajaamia tu kuisimamiaa serikali kama zamani, sio kwamba wenzao wamewakatisha tamaa kihivyo, shida ni kuwa hao kovid 19 ni kama wameona serikali ndo mtetezi wao kuendelea kuwemo bungeni, so kuna namna kama ya kuona haya kuhoji na kuuliza mara Kwa mara, unaweza kuona hata yale maswala ya muongozo au taarifa yamepungua sana kutoka upinzani.......
......hii hali inanifanya niamini kuwa uchaguzi ujao sio kwamba wabunge tu wa ccm ndo watabadilika bali pia hata wapinzani wengi hawatarudi coz ule umachachari wa kupambania wananchi na kuibana serikali hapo tena, na wao wanaonekana wa kawaida tu(yaani average minds), zamani ilikuwa mtu unawaza hivi ni mbunge gani wa ccm ataweza kupambania na watu kama Wenje Lema Sugu etc but now eti unawaza nani anaweza kumchallenge Babu tale, FA etc anyway let us see..........
 
2020 Uchaguzi ulikua huru na haki. Tulikua pia waangalizi wa kimataifa ikiwemo African Union, EAC na SADC na walitoanripoti Yao (nakala zipo). Wapinzani walishindwa kupitia sanduku la kura. Hapo unamlaumu nani?

2. Uchaguzi wa 2025 tunayo Tume HURU tayari. Mpewe nn?
UnaingiliwA
 
Wanabodi,

Naangalia Bunge live asubuhi hii, kusubiria hotuba ya hali ya uchumi, ndio nikakumbuka kumbe leo ni siku ya Alhamisi, ni siku ya maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu, sasa naomba kuuliza, jee kuna uwezekano wa kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kupunguza msisimko wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu hivyo sasa kipindi hiki kimekosa impact kama enzi zile za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni? .

Enzi za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu ilikuwa moto, sii ya kukosa, siku zote swali la kwanza lilitoka ama kwa kiongozi wa upinzani bungeni ama kwa mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani.

Je ni mimi tuu?, vipi nyinyi wenzangu? . Msikie JJ. Mnyika
View: https://youtu.be/r-SmiYZUOXc?si=VjwownS936rlz14K

Ushauri wa Bure kwa Mhe. Spika.
Pamoja na kutokuwepo kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kutokana na wapinzani kutokukodhi akidi, lakini kuna wapinzani bungeni, hivyo ili kurejesha msisimko wa Bunge la vyama vingi, wapinzani wote waliopo Bungeni waunde kundi la "the minority", to act kama kambi rasmi ya upinzani, hivyo kipindi cha maswali ya papo kwa papo kianze na maswali ya papo kwa papo swali la kwanza litoke kwa the minority.

Pia kitendo cha Chadema kutowatambua wale wabunge wake 19 na kuwaita covid 19, kumepelekea kuwavunja confidence wabunge wake machachari kama Mhe. Halima Mdee, Esta Bulaya, Ester Matiko and the like, wanaonekana wako wako tuu bungeni kwa ajili ya maokoto kwa kuvuta tuu bingo kusubiria Bunge kuvunjwa hapo mwakani.

Paskali

hapakua na msisimuko wowote hata walipokuwapo bungeni, zaidi ya kelele na ubishi tu...

bunge la sasa ni tulivu na imara mno, linafanya kazi, wajibu na majukumu yake vizuri sana, kwa umakini mkubwa zaidi ya vipindi vingine vyovyote vilivyopita...

hekema na busara za wawakilishi wa wananchi wa sasa, zimechochea ufanisi wa kiwango cha juu sana, na kufanya mageuzi makubwa mno ya kijamii, kisera, kisiasa na kisheria katika masuala mbalimbali, kwa maslahi mapana ya Taifa na mustakabali mwema wa Tanzania.....

ama kwa hakika bila upinzani usio na tija, bunge hili limenoga sana kwelikweli kwa maoni yangu :pulpTRAVOLTA:
 
Wanabodi,

Naangalia Bunge live asubuhi hii, kusubiria hotuba ya hali ya uchumi, ndio nikakumbuka kumbe leo ni siku ya Alhamisi, ni siku ya maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu, sasa naomba kuuliza, jee kuna uwezekano wa kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kupunguza msisimko wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu hivyo sasa kipindi hiki kimekosa impact kama enzi zile za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni? .

Enzi za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu ilikuwa moto, sii ya kukosa, siku zote swali la kwanza lilitoka ama kwa kiongozi wa upinzani bungeni ama kwa mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani.

Je ni mimi tuu?, vipi nyinyi wenzangu? . Msikie JJ. Mnyika
View: https://youtu.be/r-SmiYZUOXc?si=VjwownS936rlz14K

Ushauri wa Bure kwa Mhe. Spika.
Pamoja na kutokuwepo kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kutokana na wapinzani kutokukodhi akidi, lakini kuna wapinzani bungeni, hivyo ili kurejesha msisimko wa Bunge la vyama vingi, wapinzani wote waliopo Bungeni waunde kundi la "the minority", to act kama kambi rasmi ya upinzani, hivyo kipindi cha maswali ya papo kwa papo kianze na maswali ya papo kwa papo swali la kwanza litoke kwa the minority.

Pia kitendo cha Chadema kutowatambua wale wabunge wake 19 na kuwaita covid 19, kumepelekea kuwavunja confidence wabunge wake machachari kama Mhe. Halima Mdee, Esta Bulaya, Ester Matiko and the like, wanaonekana wako wako tuu bungeni kwa ajili ya maokoto kwa kuvuta tuu bingo kusubiria Bunge kuvunjwa hapo mwakani.

Paskali

🤝🤝👌👍
 
......akina halima hawajaamia tu kuisimamiaa serikali kama zamani, sio kwamba wenzao wamewakatisha tamaa kihivyo, shida ni kuwa hao kovid 19 ni kama wameona serikali ndo mtetezi wao kuendelea kuwemo bungeni, so kuna namna kama ya kuona haya kuhoji na kuuliza mara Kwa mara, unaweza kuona hata yale maswala ya muongozo au taarifa yamepungua sana kutoka upinzani.......
......hii hali inanifanya niamini kuwa uchaguzi ujao sio kwamba wabunge tu wa ccm ndo watabadilika bali pia hata wapinzani wengi hawatarudi coz ule umachachari wa kupambania wananchi na kuibana serikali hapo tena, na wao wanaonekana wa kawaida tu(yaani average minds), zamani ilikuwa mtu unawaza hivi ni mbunge gani wa ccm ataweza kupambania na watu kama Wenje Lema Sugu etc but now eti unawaza nani anaweza kumchallenge Babu tale, FA etc anyway let us see..........
👏👏👏🤝
 
hapakua na msisimuko wowote hata walipokuwapo bungeni, zaidi ya kelele na ubishi tu...

bunge la sasa ni tulivu na imara mno, linafanya kazi, wajibu na majukumu yake vizuri sana, kwa umakini mkubwa zaidi ya vipindi vingine vyovyote vilivyopita...

hekema na busara za wawakilishi wa wananchi wa sasa, zimechochea ufanisi wa kiwango cha juu sana, na kufanya mageuzi makubwa mno ya kijamii, kisera, kisiasa na kisheria katika masuala mbalimbali, kwa maslahi mapana ya Taifa na mustakabali mwema wa Tanzania.....

ama kwa hakika bila upinzani usio na tija, bunge hili limenoga sana kwelikweli kwa maoni yangu :pulpTRAVOLTA:
🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom