Kuna ugomvi unaonyeshwa ITV wa mawakala. CHADEMA wanadai kunyimwa haki ya kukagua kitambulisho. Anadai wanataka wasikilize namba tu badala ya kukagua. Msimamizi wa Mawakala wa CHADEMA kawa mbogo sana. Anadai lazima wapate nafasi wakague. Mambo ya Sinza kwa Mugabe hayo.
Aisee babangu huyu ndugu ana lafudhi ya kichaga amechachamaa kweli kweli.
Kituo changu walipata nafasi ya kukagua na pia kusikia kwa sauti.
nimeongea na askari mmoja amesema ni kweli WP amekamatwa na vitambulisho vitano, vya kupiga kura na sasa hivi yuko LUPANGO
nasikia tatizo kubwa watu wanachukua mda mrefu sana kwenye vyumba vya kupigia kura!!!!!!!!!hii nayo imekaaje?