Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
Habari zinasema bado hali ni tete katika vituo mbalimbali vya jimbo la Ubungo kwani hapo Sinza Vatican matokeo hayajabandikwa na wananchi wanashinikiza yabandikwe na polisi wanatisha wananchi.
Hao watu wasikubali kutoa upenyo wa kuchezea takwimu...