Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
- #61
Kiukweli leo ndio ilikuwa nafasi nzuri ya kumvua taji huyu jamaa. Sasa kwa mwendo huu huenda rekodi ya miaka 26 UCL ikavunjwa na hawa Real. Otherwise labda Bayern wapangiwe nao maana msimu huu wako fiti ukilinganisha na mwaka jana.
hio rekodi anayo nani?
