Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu sio Rais wangu
yes, sitegemei kabisa kama atagoma sherehe za ufunguzi, nadhani Slaa atakwenda, mana kama ameziria atakuwa sawa na mtu mwenye akili za kuku na kike! thanks
20137303 - registered
8629283 - voted
spoilt - 227889 - 2.64%
halali - 8398394 - 97.36 %
aptp - mziray - 96,933 - 1.12%
ccm - 5,276,827 - 61.17%
chadema - 2,271,941 - 26.34%
cuf - 695,667 8.06%
nccr- - rungwe - 26388 - 0.31%
tlp - 17482 - 0.20%
updp-dovutwa- 13176 - 0.15%
No sorry, NEC yenyewe inafahamu kuwa hiyo idadi ya wapiga kura waliojiandikisha ni ghost voters. Ni inflated number zikiwa ni kura za ziada kwa ajili ya mkakati wa kuchakachua kura. Kama wangeshindwa kuchakachua kura za Slaa vituoni au wakati wa vote talling, tayari NEC ingepata kura zaidi kutokana na 'pool' ya kura za kuchakachulia kutokana na hiyo 57% yaani zaidi ya kura milioni 12 ghoost voters.
JK ndo rais wetu tushirikiane kujenga TZ please JK usiwakumbatie sana mafisadi wanaimaliza nchi! usisafili sana hata kama ndo hobie yako tutatue matatizo ya TZ kwa nguvu zetu wenyewe!
I am having a very difficult time,wacha nitafute beer
ukweli ni kuwa jk umaruufu umeshuka toka 80% mpka 61% hata kama ameshinda lazima ajiulize hizo asilimia zimekwenda wapi!
Nafikiri kwa mawazo yangu ni kuwa kashindwa kupambana na ufisadi thus why! Akumbuke panapofuka moshi...................!
ukweli ni kuwa jk umaruufu umeshuka toka 80% mpka 61% hata kama ameshinda lazima ajiulize hizo asilimia zimekwenda wapi!
Nafikiri kwa mawazo yangu ni kuwa kashindwa kupambana na UFISADI thus why! AKUMBUKE PANAPOFUKA MOSHI...................!
Mtani wangu Mwiba,
Ukicheka na Nyani, utavua mabua.
Ya bara tuachie wenyewe. Nyie lilieni Zanzibar yenu.
Mmeogopa kumpa kura SLAA ili avunje muungano. Kupe nyie mnafaidi tu vya BURE.
Hakuna wasaliti na watu wanaoipa NGUVU CCM na NEC kama CUF.
Ili kuvunja hii, kwanza ni kuvunja Muungano na CUF ibaki Zenji peke yake.
Hapo tubaki tunabanana wenyewe huku Tanganyika.
SAY NO TO MUUNGANO wa Kupe wa Zanzibar na Wadanganyika.
KAKA, njoo unikatike keki (dada wa miaka 28 eti hana nguvu).
Tatizo ni wengine hawazitumii fito hizo kwa madhuminu halisi ie kujenga....Hapo ndipo dhana ya kuzigombea fito hizo inapo make sense....Kugombea fito kuna faida kama matumizi ya fito hizo kutoka kwa baadhi ya "wajenzi" ni ya tofauti na ujenzi wa nyumba hiyo.Anamshukuru Prof. Lipumba kwa maoni na kumpa ilani ya CUF na kuwa Ilani zote zitazingatiwa.
Tunajenga nyumba moja hatugombei fito. Anasema.