Live satalite image, silaha mbaya inayomuangusha Russia

Live satalite image, silaha mbaya inayomuangusha Russia

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Taarifa ni msingi mkubwa sana katika vita, ukijua audui yuko wapi anafanya nini, anavifaa gani ni rahisi sana kujipanga kujilinda na kupanga kushambulia.

Live satalite image imeonesha mchango mkubwa katoka vita ya Russia-Ukraine.

Nchi za magharibi zinatumia technolojia hiyo kum locate mrusi,
Russia alijaribu ku install rada katika sehemu ya Nova khakova ila haijasaidia kuzuia live image, tatizo kubwa satalite ziko mbali huwezi kuzidungua kama drone.

Kama sio misaada ya nje, vita ingeisha mapema sana. Russia amepigana na wamagharibi wote

All in all, Bado nabikia kua team russia
 
Ujue Russia ni kubwa mara nne zaidi kuliko Europe kwa ujumla wake in terms of total surface area.
Hoja ya kwamba uingereza , France and co, Haina mashiko hoja ni akili kiasi gani uingereza and allies wanazo relative to Russia
EU US + nashost zao hapo zaidi ya mataifa 40 vs RUSSIA
Niwazi kwamba sio safes tuu hata akili RUSSIA kawaacha mbali sana nandio maana mpaka wanaungana na bado wanachemka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa ni msingi mkubwa sana katika vita, ukijua audui yuko wapi anafanya nini, anavifaa gani ni rahisi sana kujipanga kujilinda na kupanga kushambulia.

Live satalite image imeonesha mchango mkubwa katoka vita ya Russia-Ukraine.

Nchi za magharibi zinatumia technolojia hiyo kum locate mrusi,
Russia alijaribu ku install rada katika sehemu ya Nova khakova ila haijasaidia kuzuia live image, tatizo kubwa satalite ziko mbali huwezi kuzidungua kama drone.

Kama sio misaada ya nje, vita ingeisha mapema sana. Russia amepigana na wamagharibi wote

All in all, Bado nabikia kua team russia
Zelensky kapigana na anti West wote.
 
Ujue Russia ni kubwa mara nne zaidi kuliko Europe kwa ujumla wake in terms of total surface area.
Hoja ya kwamba uingereza , France and co, Haina mashiko hoja ni akili kiasi gani uingereza and allies wanazo relative to Russia
Umetumia kigezo ambacho hakipo, hivi unajua uingereza pekee kwa vifaa na technology yao inaweza kupiga bala zima la Afrika kama bila kua na external interference?
Russia sio ukubwa wa eneo, isome tena katika nyanja ya kijeshi na mambo mengine utaijua
 
Taarifa ni msingi mkubwa sana katika vita, ukijua audui yuko wapi anafanya nini, anavifaa gani ni rahisi sana kujipanga kujilinda na kupanga kushambulia.

Live satalite image imeonesha mchango mkubwa katoka vita ya Russia-Ukraine.

Nchi za magharibi zinatumia technolojia hiyo kum locate mrusi,
Russia alijaribu ku install rada katika sehemu ya Nova khakova ila haijasaidia kuzuia live image, tatizo kubwa satalite ziko mbali huwezi kuzidungua kama drone.

Kama sio misaada ya nje, vita ingeisha mapema sana. Russia amepigana na wamagharibi wote

All in all, Bado nabikia kua team russia
Unakufa kiume sio?
 
EU US + nashost zao hapo zaidi ya mataifa 40 vs RUSSIA
Niwazi kwamba sio safes tuu hata akili RUSSIA kawaacha mbali sana nandio maana mpaka wanaungana na bado wanachemka

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Rwanda na Burundi zinaweza kuipiga Tanzania kwa sababu ni nchi mbili kwa mmoja?
Hivyo vijinchi vya ulaya vina ukubwa gani?
Hoja sio idadi ya nchii ni Bali ni akili?
Mbona uingereza ilitawala nchi 23 Africa , sasa nijibu kwa nini nchi 23 hazikujitetea? Ishu sio idadi Bali akili
 

Attachments

  • 20130807-nk011k.jpg
    20130807-nk011k.jpg
    21.4 KB · Views: 2
Back
Top Bottom