Live satalite image, silaha mbaya inayomuangusha Russia

Live satalite image, silaha mbaya inayomuangusha Russia

Kwa hiyo Rwanda na Burundi zinaweza kuipiga Tanzania kwa sababu ni nchi mbili kwa mmoja?
Hivyo vijinchi vya ulaya vina ukubwa gani?
Hoja sio idadi ya nchii ni Bali ni akili?
Mbona uingereza ilitawala nchi 23 Africa , sasa nijibu kwa nini nchi 23 hazikujitetea? Ishu sio idadi Bali akili
1.rwana na burundi zinaweza kumpiga Tanzania kama zitaunga ila sharti ikiwa kama tanzania itakua dhaifu kuliko hao waloungana
2.UK kuyatawala mataifa ya Afrika niwazi aliwazidi vitu vingi nandio maana akayatawala
Kweli wingi unaweza usiwe hoja ila pia unaweza ukawa hoja sana pale munapoungana kumkabili mtu mmoja maana yake hamumuwezi
Kama UK ilitawala mataifa mengi kama sio yote ya Afrika kwanini waungane na wengine kuikabili RUSSIA maana yake nikwamba RUSSIA alikua na nibora kuliko AFRIKA ndio maana anaungiwa coalition ili kupambana nae
Nijibu kama RUSSIA nidhaifu na hana akili wala hajiwezi kwanini waungane kukabiliana nae !!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu hujafahamu regarding western countries. ..wanacontrol media zote na shida ilipo media tunaxoangalia nyingi ni zakwao...huwezi pataukweli wote huko vitani wataripoti mabaya yote ya Russia. ..I don't trust hizo media nchi zao zikiwa vitani. ..at least aljazeera but the rest 99% wataandika ubaya wa Russia.
 
1.rwana na burundi zinaweza kumpiga Tanzania kama zitaunga ila sharti ikiwa kama tanzania itakua dhaifu kuliko hao waloungana
2.UK kuyatawala mataifa ya Afrika niwazi aliwazidi vitu vingi nandio maana akayatawala
Kweli wingi unaweza usiwe hoja ila pia unaweza ukawa hoja sana pale munapoungana kumkabili mtu mmoja maana yake hamumuwezi
Kama UK ilitawala mataifa mengi kama sio yote ya Afrika kwanini waungane na wengine kuikabili RUSSIA maana yake nikwamba RUSSIA alikua na nibora kuliko AFRIKA ndio maana anaungiwa coalition ili kupambana nae
Nijibu kama RUSSIA nidhaifu na hana akili wala hajiwezi kwanini waungane kukabiliana nae !!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umezungumzia idadi ya mataifa, sasa ilikuwaje uingereza kuyatawala mataifa kibao Kama sio akili?
 
russsia anafanya biashara throughout the word via Chinese bank,
Mchina atasogezewa fupa Taiwan ahangaike nalo
UCHINA na fupa la TAIWAN walimsogezea kipindi cha ziara ya PELOSI
Binafsi niliwaona UCHINA waoga ila wali wa out smart west na wakaplay smart now wanafanya yao
TAIWAN haina jipya zaidi ya kupiga piga tu kelele
Anachoenda kukifanya UCHINA juu ya TAIWAN waulize HONGKONG nawenzie wanakielewa
Ataplay tena kismart zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu hujafahamu regarding western countries. ..wanacontrol media zote na shida ilipo media tunaxoangalia nyingi ni zakwao...huwezi pataukweli wote huko vitani wataripoti mabaya yote ya Russia. ..I don't trust hizo media nchi zao zikiwa vitani. ..at least aljazeera but the rest 99% wataandika ubaya wa Russia.
Mkuu ukweli haujificho , kama unamjua jamaa anaitwa WARGONZO, ni Russia kindakindaki, hua hapindishi mambo, kifupi tangu mwezi wa tisa uanze upepo wa vita imebadilika kabisa. We have to face reality
 
Wewe umezungumzia idadi ya mataifa, sasa ilikuwaje uingereza kuyatawala mataifa kibao Kama sio akili?
Mie sijasema mkiwa wingi hamtawaliwi wala mkiwa wachache hamtawali
Ila nimekukumbusha tu kwamba RUSSIA anapambana na wengi licha ya kwamba yuko mwenyewe
Nikukumbushe tu RUSSIA ina vikwazo zaidi ya 10000 na bado wanaishi vyema kama hawana kikwazo tena wameekewa vikwazo na nchi zote mnazo ziita tajri za G7 nawengine ila bado wapo well
Hao RUSSIA unataka wawe naakili kiasi gani!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.rwana na burundi zinaweza kumpiga Tanzania kama zitaunga ila sharti ikiwa kama tanzania itakua dhaifu kuliko hao waloungana
2.UK kuyatawala mataifa ya Afrika niwazi aliwazidi vitu vingi nandio maana akayatawala
Kweli wingi unaweza usiwe hoja ila pia unaweza ukawa hoja sana pale munapoungana kumkabili mtu mmoja maana yake hamumuwezi
Kama UK ilitawala mataifa mengi kama sio yote ya Afrika kwanini waungane na wengine kuikabili RUSSIA maana yake nikwamba RUSSIA alikua na nibora kuliko AFRIKA ndio maana anaungiwa coalition ili kupambana nae
Nijibu kama RUSSIA nidhaifu na hana akili wala hajiwezi kwanini waungane kukabiliana nae !!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
Nan kasema Russia dhaifu?
Russia rank second in terms of military capabilities.... still anakalishwa kiulaini na Uk mzee wa fitina.
Ni Nan aliwahi kushindana na UK akashindwa?
 
Mkuu ukweli haujificho , kama unamjua jamaa anaitwa WARGONZO, ni Russia kindakindaki, hua hapindishi mambo, kifupi tangu mwezi wa tisa uanze upepo wa vita imebadilika kabisa. We have to face reality
Na hayo anayo yasema jamaa hapo sio yakupuuzwa
MSM zilitwambia KHARKIV imekombolewa tokea may june au july ila leo inapiganiwa tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nan kasema Russia dhaifu?
Russia rank second in terms of military capabilities.... still anakalishwa kiulaini na Uk mzee wa fitina.
Ni Nan aliwahi kushindana na UK akashindwa?
Ujue Russia ni kubwa mara nne zaidi kuliko Europe kwa ujumla wake in terms of total surface area.
Hoja ya kwamba uingereza , France and co, Haina mashiko hoja ni akili kiasi gani uingereza and allies wanazo relative to Russia


Hapo ulikua una maanisha nini MKUU huyo UK wapi alipomkalisha RUSSIA
UK anashinda fitna akiwa anambapana na waafrika sio wanaojitambua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa ni msingi mkubwa sana katika vita, ukijua audui yuko wapi anafanya nini, anavifaa gani ni rahisi sana kujipanga kujilinda na kupanga kushambulia.

Live satalite image imeonesha mchango mkubwa katoka vita ya Russia-Ukraine.

Nchi za magharibi zinatumia technolojia hiyo kum locate mrusi,
Russia alijaribu ku install rada katika sehemu ya Nova khakova ila haijasaidia kuzuia live image, tatizo kubwa satalite ziko mbali huwezi kuzidungua kama drone.

Kama sio misaada ya nje, vita ingeisha mapema sana. Russia amepigana na wamagharibi wote

All in all, Bado nabikia kua team russia
Russia hachomoki whatever the cost , kaeni Kwa kutulia , yajayo yanafurahsha
 
Mie sijasema mkiwa wingi hamtawaliwi wala mkiwa wachache hamtawali
Ila nimekukumbusha tu kwamba RUSSIA anapambana na wengi licha ya kwamba yuko mwenyewe
Nikukumbushe tu RUSSIA ina vikwazo zaidi ya 10000 na bado wanaishi vyema kama hawana kikwazo tena wameekewa vikwazo na nchi zote mnazo ziita tajri za G7 nawengine ila bado wapo well
Hao RUSSIA unataka wawe naakili kiasi gani!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Elewa ugumu wa hii vita ni kuwa the entire Europe wanategemea gas, lubes na vyakula toka Russia
Urusi kaishiwa akili anatumia gas na chakula to command Europe

Ingekuwa ni China ingeshashambaratikia mbali.

Huwezi kunitawala just bcs you have resources that are extremely vital to my life....
Hivi unajua how rich urusi is in terms of resources? Unajua Russia ndiye mama was ulaya?
 
Elewa ugumu wa hii vita ni kuwa the entire Europe wanategemea gas, lubes na vyakula toka Russia
Urusi kaishiwa akili anatumia gas na chakula to command Europe

Ingekuwa ni China ingeshashambaratikia mbali.

Huwezi kunitawala just bcs you have resources that are extremely vital to my life....
Hivi unajua how rich urusi is in terms of resources? Unajua Russia ndiye mama was ulaya?
Ntakutawala tu kama wewe huwezi kujitegemea na huu ndio ukweli hata kama mchungu
Kama unataka usitawaliwe ujitegemee kwenye vitu vyote vyamaana vyakimsingi nauhakika
Pia ulitaka RUSSIA asiwatawale kupitia risos zake wakat wao wanamtwanga vikwazo kila leo
Ila hoja nikwamba wingi mkiungana kumkabili mmoja inaonesha how wengi mpo namadhaifu na how mmoja yupo well nandio maana mwaungana kumkabili kwakua mkiwa mmoja mmoja hamtamuweza
Kuhusu RUSSIA naelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom