EU US + nashost zao hapo zaidi ya mataifa 40 vs RUSSIAUjue Russia ni kubwa mara nne zaidi kuliko Europe kwa ujumla wake in terms of total surface area.
Hoja ya kwamba uingereza , France and co, Haina mashiko hoja ni akili kiasi gani uingereza and allies wanazo relative to Russia
Zelensky kapigana na anti West wote.Taarifa ni msingi mkubwa sana katika vita, ukijua audui yuko wapi anafanya nini, anavifaa gani ni rahisi sana kujipanga kujilinda na kupanga kushambulia.
Live satalite image imeonesha mchango mkubwa katoka vita ya Russia-Ukraine.
Nchi za magharibi zinatumia technolojia hiyo kum locate mrusi,
Russia alijaribu ku install rada katika sehemu ya Nova khakova ila haijasaidia kuzuia live image, tatizo kubwa satalite ziko mbali huwezi kuzidungua kama drone.
Kama sio misaada ya nje, vita ingeisha mapema sana. Russia amepigana na wamagharibi wote
All in all, Bado nabikia kua team russia
Umetumia kigezo ambacho hakipo, hivi unajua uingereza pekee kwa vifaa na technology yao inaweza kupiga bala zima la Afrika kama bila kua na external interference?Ujue Russia ni kubwa mara nne zaidi kuliko Europe kwa ujumla wake in terms of total surface area.
Hoja ya kwamba uingereza , France and co, Haina mashiko hoja ni akili kiasi gani uingereza and allies wanazo relative to Russia
Unakufa kiume sio?Taarifa ni msingi mkubwa sana katika vita, ukijua audui yuko wapi anafanya nini, anavifaa gani ni rahisi sana kujipanga kujilinda na kupanga kushambulia.
Live satalite image imeonesha mchango mkubwa katoka vita ya Russia-Ukraine.
Nchi za magharibi zinatumia technolojia hiyo kum locate mrusi,
Russia alijaribu ku install rada katika sehemu ya Nova khakova ila haijasaidia kuzuia live image, tatizo kubwa satalite ziko mbali huwezi kuzidungua kama drone.
Kama sio misaada ya nje, vita ingeisha mapema sana. Russia amepigana na wamagharibi wote
All in all, Bado nabikia kua team russia
Upitie wine hapa wewe kiumbe mzuri🤣Ujue Russia ni kubwa mara nne zaidi kuliko Europe kwa ujumla wake in terms of total surface area.
Hoja ya kwamba uingereza , France and co, Haina mashiko hoja ni akili kiasi gani uingereza and allies wanazo relative to Russia
Kwa hiyo Rwanda na Burundi zinaweza kuipiga Tanzania kwa sababu ni nchi mbili kwa mmoja?EU US + nashost zao hapo zaidi ya mataifa 40 vs RUSSIA
Niwazi kwamba sio safes tuu hata akili RUSSIA kawaacha mbali sana nandio maana mpaka wanaungana na bado wanachemka
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwana utam ushakuwa mchungu tayari kwa kipigo sio?🤣🤣🤣EU US + nashost zao hapo zaidi ya mataifa 40 vs RUSSIA
Niwazi kwamba sio safes tuu hata akili RUSSIA kawaacha mbali sana nandio maana mpaka wanaungana na bado wanachemka
Sent using Jamii Forums mobile app
N/korea, China, Iran na Belarus.Sio zelensnky sema nchi za magharibi na washirika wake kama Japan, Australia na Taiwan
Duuh aiseeZelensky kapigana na anti West wote.
Watu wanajifunza WORLD geopolitics wakiwa vijiwe vya kahawa wanashangaxa sanaUpitie wine hapa wewe kiumbe mzuri🤣
Timu kaziDuuh aisee
Ahaaa mbona mliapa NATO wakiingilia mtawapa kitu kizito? Hii ahadi mmetekeleza sasa?Huwezi kuwasifu wa Ukraine wakati show anasimamia Nato
Huku wakinywa Alkasusu fake sio?Watu wanajifunza WORLD geopolitics wakiwa vijiwe vya kahawa wanashangaxa sana
Jifunze kuhusu black Market..China anaogopa sanctions, analinda uchumi wake, umeona package kutoka china?