Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Hivi nani anayetaka kumtafutia mke Rich pol? Huyo na Daudi1 ni misukule yetu mimi na Valentina. Tunawarudisha kwenye chupa hatuwatoi.
Excel na kiwatengu hamuoni kwanini siku zote hizi hawapati?
Hatoki mtu hapa.

Hakyanan na hawatoki kwenye himaya yetu hii misukule. Kwanza nashangaa aliewapa ruhusa ya kujifanya kutongozatongoza. Adhabu lazima iwahusu
 
Excel kaka yangu undugu utaisha unajua. Sisi tunajua kazi yao humu ndani.
Valentina my luv majenereta yanaondoka, kuna mpambe nuksi kaingilia kati huku inabidi tudili naye.

Usijali mi naeka dawa vizuri,hawatoki hawa....
 
Usijali mi naeka dawa vizuri,hawatoki hawa....

Inawezekana mfuniko hatukuufunga vizuri. Ngoja nikuchekeshe sasa huyo mke anayemtaka Daudi1 ni wa Excel, naye hataki kumwacha anataka mitala. Matokeo yake msukule wetu umebaki unashangaa shangaa.
Tuliwaambia sisi mbona watakesha humu. Huyu mwingine nimefunga vizuri hatoki kabisa humu kwenye chupa.
 
Inawezekana mfuniko hatukuufunga vizuri. Ngoja nikuchekeshe sasa huyo mke anayemtaka Daudi1 ni wa Excel, naye hataki kumwacha anataka mitala. Matokeo yake msukule wetu umebaki unashangaa shangaa.
Tuliwaambia sisi mbona watakesha humu. Huyu mwingine nimefunga vizuri hatoki kabisa humu kwenye chupa.

hahahaaa!!! mbona unaogopa saaana kuniita? mi navuruga tu, kwani nini bana! na wewe kama unataka mume, sema nikuweke sokoni...
 
Inawezekana mfuniko hatukuufunga vizuri. Ngoja nikuchekeshe sasa huyo mke anayemtaka Daudi1 ni wa Excel, naye hataki kumwacha anataka mitala. Matokeo yake msukule wetu umebaki unashangaa shangaa.
Tuliwaambia sisi mbona watakesha humu. Huyu mwingine nimefunga vizuri hatoki kabisa humu kwenye chupa.
Bantu lady nitakupa verse sasa hivi ulainike uje mwenyewe, si unanijua? Mpaka mumeo akaja kukuokoa ulikuwa umeshaisha
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana mfuniko hatukuufunga vizuri. Ngoja nikuchekeshe sasa huyo mke anayemtaka Daudi1 ni wa Excel, naye hataki kumwacha anataka mitala. Matokeo yake msukule wetu umebaki unashangaa shangaa.
Tuliwaambia sisi mbona watakesha humu. Huyu mwingine nimefunga vizuri hatoki kabisa humu kwenye chupa.

Hahahaaaaa safi sana,mbona wanalo? Tena hakikisha umekaza kabisa mfuniko hata hewa isipenye. Na huyu daud1 nimembana kisawasawa hata kujigeuza hawezi
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa safi sana,mbona wanalo? Tena hakikisha umekaza kabisa mfuniko hata hewa isipenye. Na huyu daud1 nimembana kisawasawa hata kujigeuza hawezi

Hawaendi kokote shoga angu miye. Chezeya chupa tena toka Nigeria
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom