Live updates kutoka Brajec survey kwenye chit chat reunion

Live updates kutoka Brajec survey kwenye chit chat reunion

napenda kuwaburudisha wale longo longo wote wa Dar.....wakiongozwa na MKATA KIU (longo longo mkuu)....ha ha ha... stevoh....na wapiga sound wote........mburudike popote pale mlipo........

 
Last edited by a moderator:
Mlete huyu binti Faiway leo aitumikie adhabu stahili.

Mtoto Mbaya sana yule

Halafu arudije kwao Sinza toka Tegeta?
Au ndo unataka uende nae Mwarobaini chumba elfu 2500, kunguni kibao.
Umtuweee charminglady wangu.
 
Last edited by a moderator:
Halafu arudije kwao Sinza toka Tegeta?
Au ndo unataka uende nae Mwarobaini chumba elfu 2500, kunguni kibao.
Umtuweee charminglady wangu.
Hehehehehe.......... Ntampeleka Makuti bana. Full Kiyoyozi, magodoro ya comfy.

BTW ndo nini kumzushia mzee wa watu kaRIP wakati ndo kwanza anatujengea chimbo la floor nne? Ushindwe na ulegee.

Haya,
Wewe unachunika?
Ila kaa standBay si umeona makitu yangu ya kunyimana pumzi?
Jiandae.
Kwa kawaida huwa sijiandaagi. Huwa najilipua pale inapobidi.
 
Kwahiyo wakati nakusalimia kwa jina la marejesho ulijisikia raaaaha! Ntakuchapa nakwambia!

Kiukweli nimeikubali surprise yako. babu pia kafurahi kukuona. Sasa kaa mkao wa kukaguliwa ili ukirudi Mwanza vijana wawe na uhakika.

teh teh babuuuuu.... ukaguzi wapi thatha!
 
Last edited by a moderator:
napenda kuwaburudisha wale longo longo wote wa Dar.....wakiongozwa na MKATA KIU (longo longo mkuu)....ha ha ha... stevoh....na wapiga sound wote........mburudike popote pale mlipo........

Afu weweeee...... Subiri!!
 
Last edited by a moderator:
Hehehehehe.......... Ntampeleka Makuti bana. Full Kiyoyozi, magodoro ya comfy.

BTW ndo nini kumzushia mzee wa watu kaRIP wakati ndo kwanza anatujengea chimbo la floor nne? Ushindwe na ulegee.

Kwa kawaida huwa sijiandaagi. Huwa najilipua pale inapobidi.

Zee zima unampeleka mrembo kama yule kwenye guest za elfu 7?
Hapo makuti ndo umeona chiiimboo??
Wakati watu tumepazindua wenyewe.

Bhana me nilisikia kafa,labda yule demu wake mweupe mlieshare nae ndo kaamua kupakaza.
Hko kitu cha floor 4 chajengwa wapi?
 
Zee zima unampeleka mrembo kama yule kwenye guest za elfu 7?
Hapo makuti ndo umeona chiiimboo??
Wakati watu tumepazindua wenyewe.

Bhana me nilisikia kafa,labda yule demu wake mweupe mlieshare nae ndo kaamua kupakaza.
Hko kitu cha floor 4 chajengwa wapi?
Nimeamini umeondoka mitaa hii kipindi sana. Buku 7? Afu mabaamedi watapelekwa wapi sasa?

Pale nyuma ya Baa mpya mpakani na mwarubaini kinaporomoshwa kitu. Nshabuku room moja kwa mwaka mmoja. Ntakizindua na wewe.
 
sasa hiyo ndo yaitwa surprise....
babu @Aspirin sitArudia aiseeeee!
Keroroooo ni hostel za SAUT teh teh
Umesamehewa mpenzi,

Usitende tena dhambi. Kabla hujarudi Rock Cityu hakikisha umeshakaguliwa na ODM. sawa eh?
 
Si ukuje pande hii ya Bunju unisaidie kuvuna matikiti?

Au kama umezidiwa, niko hapa Port view natoa lock (Source Blaki Womani) ya jana

duh babu nina mning'inio ajabu... si unajua nlitoka late sana sansifo? may be ntaja jioni lolest!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Nimeamini umeondoka mitaa hii kipindi sana. Buku 7? Afu mabaamedi watapelekwa wapi sasa?

Pale nyuma ya Baa mpya mpakani na mwarubaini kinaporomoshwa kitu. Nshabuku room moja kwa mwaka mmoja. Ntakizindua na wewe.

We pale nyuma si nilipaacha pana msingi,ndo pale?
Me nataka 3some kama utaiweza,kabuku chumba.

Wewe Pale Makuti pamezinduliwa saa 2 usiku watu saa 5 tukaenda kutoa Upeme,labda wapandishe siku hz ila palikuwa elfu 7.
Mwaka jana.
 
Back
Top Bottom