Mkuu wale walikuwa nyumbani! Kumbuka mwaka jana TP mazembe alikula 3 bila pale Msumbiji.Wamecheza vzr sana Songo ila FINISH yao ni mbovu.
Nawapa kongole simba kiukweli! Sidhani kama wakija taifa watatoka!! Labda iwe simba baridiiii na sio hii tunayoifaham ikiwa taifa