Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Bora hata sare mliyoipata kwenu ni maafanikio makubwa! maana msimu uliopita, mlikuwa mnabamizwa 5/5 tu kila mechi. Najua mechi ya marudiano mtakamia tu show mwanzo mwisho na hivyo kufanikiwa kwenda raundi ya pili.
Hongereni kwa sare. Ngoja tuwaone sasa na Wa kimataifa/aka timu ya wananchi nao kama wata waadhibu makhirikhiri goli ngapi.
Hongereni kwa sare. Ngoja tuwaone sasa na Wa kimataifa/aka timu ya wananchi nao kama wata waadhibu makhirikhiri goli ngapi.