OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #41
HT Songo 0-Simba 0
Simba imepwaya
Simba imepwaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HT Songo 0-Simba 0
Simba imepwaya
Usiwe na haraka mtafungwa tuWachezaji wangu leo sijui wana nini leo jamani, wamekuwa wazito kupita kiasi .. But all in all mungu mkubwa hatujafungwa
Yamekua hayoLeo simba wanacheza mpira wa kijinga sana huu.
Hapo midfield wamtoe Mkude au huyo Msudani wanapoteza mipira kijinga kijinga sana.
Wabrazil mnawaweka bench ili watu sijue udhaifu wao kabla Ligi haijaanza?
Halafu nani acheze holding...toa msudani au kahata apoLeo simba wanacheza mpira wa kijinga sana huu.
Hapo midfield wamtoe Mkude au huyo Msudani wanapoteza mipira kijinga kijinga sana.
Eeh gadiel tena? Mbona mapema mtani!Toa Mkude ingiza Mzamiru/Fraga Vieira
Toa Bocco ingiza Deo Kanda
Toa Gadiel ingiza Zimbwe
Hii Champions league tunacheza vipindi vitatu kumbe???Kwa leo simba wanacheza kama mlandege au malindi hakuna shambulio lolote lile walilonionesha mpka sasa ila hawa ud songo wamekosa tu umakini kwani mpka kipindi cha pili kinaisha kama wangekuwa makini basi simba wangeshaogelea goli 3+