Hehehehe sio kufika nafasi ambayo mpo? Sie ile nafasi ambayo Tupo hehehehe. Rogers kawapa watu midomo lol ngoja nichukue holiday jamiiforum Kama msafirisayo mpaka January mwishoni nitarudi.Naona mnataka kurudi kwenye nafasi yenu kwa kulazimisha,na mwokozi wenu Daniel kaumia ikifika January mtakuwa mmeshafika kwenye nafasi yenu
Khaaa! Pazi, punguza hasira. Kweli hii mechi ilikuwa ya kushinda lkn dharau na kujidai ni mechi ya kufanyia 'majaribio' ya wachezaji imetugharimu. Lakini mkuu ndo uchukue 'likizo' kweli?!ah nilisema tutapigwa 2 timepigwa 3 Huyu Rogers zarau hazifai kisa Moses na Sterling wamelilia hawapangwi haimaanishi uwapange kina Sakho kina Coutniho,Cichoko kweli wakukaa bench? Alete natural number 9 na Middle kati sio handerson bora acheze Luis Alberto na Johnson aanze bench Flanagan aje kulia skertel na Sakho pembeni Cisokho kati Lucas,SG, na Luis Alberto na Coutinho wanachezesha Luis na Raheem basi sio kuzarau timu. Leo Mignolet 5, Johnson 3,Toure 4.5' Skertel 8 Flanagan 5.5 Lucas 5.5, SG 6.5 ,Moses -0 , Raheem 5, Suarez 5.5 na Handerson Kama nyuma ya Siluri Sita -0(zero) Big Bichwa na masikio. Na chukka jamiiforum holiday mpaka January ikimalizika sign. Rogers kasababisha kuwarudisha watani kuja kufaniwa tena kwenye hii Thred nampa 0(zero) :frusty:.
Defence yenu imeanza kuwa nyanya ,angalia hizi game
Arsenal 2 Liverpool 0
Everton 3 Liverpool 3
Hull City 3 Liverpool 1
Ikifika January mtakuwa kwenye ile nafasi yenu
Hehehehe sio kufika nafasi ambayo mpo? Sie ile nafasi ambayo Tupo hehehehe. Rogers kawapa watu midomo lol ngoja nichukue holiday jamiiforum Kama msafirisayo mpaka January mwishoni nitarudi.
Kaka,maisha bila unafki hayaendi,wale mashabiki wa Everton II walikuwa wanachonga sana ila kwa kuwa wao jana wamefungwa na ndugu zao Everton I,wanashindwa hata kuamka leo.Leo wale wote wa midomo mirefu hawapo hapa?! Kweli unafiki ni mzigo... Yaani hawajui namna ya kuingia hapa au?!
Hongereni The Reds wote, point tatu muhimu na magoli ya kutosha... YNWA.
Akipoteza, gap litakuwa 4 points. Gemu tuliyopoteza kwa Hull City imetuharibia sana.Naomba kesho Arsenal ifungwe ili tutofautiane point 3
Naomba kesho Arsenal ifungwe ili tutofautiane point 4
mtaomba sana mwaka huu! kwani sasa hivi mnatofautiana kwa point ngapi?