ah nilisema tutapigwa 2 timepigwa 3 Huyu Rogers zarau hazifai kisa Moses na Sterling wamelilia hawapangwi haimaanishi uwapange kina Sakho kina Coutniho,Cichoko kweli wakukaa bench? Alete natural number 9 na Middle kati sio handerson bora acheze Luis Alberto na Johnson aanze bench Flanagan aje kulia skertel na Sakho pembeni Cisokho kati Lucas,SG, na Luis Alberto na Coutinho wanachezesha Luis na Raheem basi sio kuzarau timu. Leo Mignolet 5, Johnson 3,Toure 4.5' Skertel 8 Flanagan 5.5 Lucas 5.5, SG 6.5 ,Moses -0 , Raheem 5, Suarez 5.5 na Handerson Kama nyuma ya Siluri Sita -0(zero) Big Bichwa na masikio. Na chukka jamiiforum holiday mpaka January ikimalizika sign. Rogers kasababisha kuwarudisha watani kuja kufaniwa tena kwenye hii Thred nampa 0(zero) :frusty:.