Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Among the talented players, Super yumo jaribu kuangalia you tube ndo ujue kuwa jamaa ni mzuri. After all hawezi pendwa na watu wote na wewe ungana na wasiompenda
Msimu uliopita tulimsajili ASPAS watu wakalalamiiiiika..Leo hii tunamsajili Balotelli watu bado wanalalamika!!!!
All in All..kwa upande mwingine Ayre has done a great Job katika usajili wa msimu huu..
Itakuwa ni fanikio la mwaka kama akifanikisha deal la MB kwa £16m na na kumuuza Borini kwa £14m...atakuwa ametisha sana!!!
Hivi jamani itakuwaje kama MB akizigomea hizo Behaviour clauses??? Na deal ikavunjika???
Hahahahah!!! itakuwa ni BOOOONGE ya BANTER!!!!!!!!!!
Nitaikimbia JF kwa mwezi mzimaaa, na hizi mbwembwe tulizozipiga humu leo!!!!!!!
Hivi jamani itakuwaje kama MB akizigomea hizo Behaviour clauses??? Na deal ikavunjika???
Hahahahah!!! itakuwa ni BOOOONGE ya BANTER!!!!!!!!!!
Nitaikimbia JF kwa mwezi mzimaaa, na hizi mbwembwe tulizozipiga humu leo!!!!!!!
Hahahahahahaha!! #Balo
Hivi jamani itakuwaje kama MB akizigomea hizo Behaviour clauses??? Na deal ikavunjika???
Hahahahah!!! itakuwa ni BOOOONGE ya BANTER!!!!!!!!!!
Nitaikimbia JF kwa mwezi mzimaaa, na hizi mbwembwe tulizozipiga humu leo!!!!!!!
Etoo na mb may negatively affect progress ya watoto wetu hasa sterling