Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20250312_014334_Chrome.jpg

😂
 
Kwa huyu kipa wa Psg inabidi hizi dakika 15 zilizosalia Liverpool wafanye juu chini wapate goli, la sivyo hili kipa la mikono 100 linaweza likawachomolea betri kwenye penalties.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nilijua tu hili lidude likisimama tu pale golini linatisha, halafu Nunez kwa kipindi hiki sio wa kumuachia kupiga penalty kabisa, ni kumtafutia lawama tu za bure na kumchonganisha na mashabiki.
 
Poleni sana wanangu ila mpira leo mmeuonesha.

Sina hakika kama huko mbeleni kutakuwa na mechi tamu kuizidi hii.

Sometimes bahati nazo zina play role yake.
Ndg ulikuwa unaangalia mpira , Liverpool kaonyesha nini zaidi ya kupaki bus vile vitoto vya Paris sio poa walikuwa na KAZI ya kurudi nyuma na kuzuia mechi zote mbili.
 
Ndg ulikuwa unaangalia mpira , Liverpool kaonyesha nini zaidi ya kupaki bus vile vitoto vya Paris sio poa walikuwa na KAZI ya kurudi nyuma na kuzuia mechi zote mbili.
Na hata saizi namalizia kuangalia hizi shamla shamla za mwishoni baada ya mechi

 
Back
Top Bottom