zigii
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 515
- 211
..I get it.
..but to reach his full potential ni lazima awe na very capable advisors ktk fani mbalimbali ikiwemo hotuba.
..wanasiasa wengi wa bongo hawajiandai kutoa hotuba, au wanapokwenda kwenye press conference.
..hata Mwalimu Nyerere, Ben Mkapa, John Kennedy, Barack Obama, walikuwa na waandishi wa hotuba, and they made them look good/great yeye ni nani asiwe nao.
Hao uliowataja wote tayari walikuwa ni marais tusubiri akiwa rais