Livestream ya hotuba ya Lissu kwenye Digital Mwananchi iko censored?

Livestream ya hotuba ya Lissu kwenye Digital Mwananchi iko censored?

..this guy needs a speech writer.

..yes, he is capable of writing his own speeches, but to get to the next level he needs a team of good speech writers.

..he can not continue to be jeshi la mtu mmoja.
Unamzungumzia yupi?
'Mimi sipangiwi! Ni r**s ninaejiamini'
 
Utani pembeni, heshima kwa Tundu Lissu!

He has guts!

Magufuli is getting ethered here [with valid points].

Hahahahaaa.
Lissu anakwenda kuubadili upepo wa kisaisa katika nchi yetu kuanzia 8/ 8 siku ya kuchukua form..

Tanzania's are so excited!!...
 
Hotuba mbovu ambayo haiwezi kumpa kura. Lissu anahitaji team nzuri ya kumshauri na ikibidi akae kambini muweze kumtengeneza asifikiri yupo uwanja wa mahakama.

Ukosoaji wake kwa Magufuli ukivaa viatu vya wananchi wa kawaida watapata picha za porojo za wapinzani dhana ambayo imeshakomaa vichwani kwao. Lissu anaimba hadithi zile zile ambazo haziwezi kuleta mabadiliko. Mbaya zaidi miaka hii mitano chama hakikuwa na ajenda ya kueleweka.

Kuna kazi kubwa ya kujenga ajenda na kuziwakilisha bila mihemko na matusi bali hekima na busara kama mtu anayeomba ridhaa ya Urais. Azungumze kama Rais na si mwanaharakati, asichanganywe na kushangiliwa na "masela".
Ushauri huu utamfaa sana Dr. Slaa maana atagombea kupitia TADEA.
 
Leo utakula likes za Wachaga hadi ushangae, ...
 
Kuna wakat hata kichaa hujiona yupo sawa,pole sana
Hotuba mbovu ambayo haiwezi kumpa kura. Lissu anahitaji team nzuri ya kumshauri na ikibidi akae kambini muweze kumtengeneza asifikiri yupo uwanja wa mahakama.

Ukosoaji wake kwa Magufuli ukivaa viatu vya wananchi wa kawaida watapata picha za porojo za wapinzani dhana ambayo imeshakomaa vichwani kwao. Lissu anaimba hadithi zile zile ambazo haziwezi kuleta mabadiliko. Mbaya zaidi miaka hii mitano chama hakikuwa na ajenda ya kueleweka.

Kuna kazi kubwa ya kujenga ajenda na kuziwakilisha bila mihemko na matusi bali hekima na busara kama mtu anayeomba ridhaa ya Urais. Azungumze kama Rais na si mwanaharakati, asichanganywe na kushangiliwa na "masela".
 
..this guy needs a speech writer.

..yes, he is capable of writing his own speeches, but to get to the next level he needs a team of good speech writers.

..he can not continue to be jeshi la mtu mmoja.
Unamzungumzia yupi?
'Mimi sipangiwi! Ni r**s ninaejiamini'
Hayo yoote uliyoshauri yatafanya tume kutenda haki na kutangaza idadi ya kweli ya kura atakazopata Lissu?
Bravo my friend.
 
..this guy needs a speech writer.

..yes, he is capable of writing his own speeches, but to get to the next level he needs a team of good speech writers.

..he can not continue to be jeshi la mtu mmoja.
Unamzungumzia yupi?
'Mimi sipangiwi! Ni r**s ninaejiamini'
Hayo yoote uliyoshauri yatafanya tume kutenda haki na kutangaza idadi ya kweli ya kura atakazopata Lissu?
Bravo my friend.
Watu wengi hamumjui magufuli kumbe.. magufuli sio mtu wa kuongea ongea na kujibizana ndio maana hana muda wa kupoteza.

Ukijaa kwenye 18 zake anakuvunja tu kisha anaendelea na kazi. Mtakaopoteza muda ni nyinyi na lissu wenu ambao muda mwingi mtajikuta mko kwenye mikono ya dola na mahakamani. Kama mnaingia kwenye kampeni ili kugoambana na magufuli basi mjipange pia kulialia.

Mataifa ya nje yenyewe yamemjua magufuli ni mtu wa aina gani. Nyie hadi leo mmeshindwa kung' amua na muda unawaacha.

Narudia tena magufuli hatoongea ye anapiga kazi ila mamalaka zake zitaongea. Tuone nani atapoteza muda.
Kawaida vichwan kunakua na ubongo (=akili). Ila I think other heads (brain) are simply vacant.
 
Ili kushindana na hilo ambalo linaonekana kuwa ni hujuma,kwanini wasiwekeze katika online account yao ya youtube na waitumie huyi peke yake kuhakikisha wanafanikisha yale yanayotakiwa kufanyika.
 
Kwenye Corona bado sijaona kama Tanzania ni tatizo.

Maisha yanaendelea kama kawaida na spitali hazijaelemewa na wagonjwa.

Hakuna vifo vya halaiki wala makaburi ya halaiki, kama alivyoeleza mwandishi wa makala uliyoileta humu mwezi jana.

Tokea mwezi wa machi mpaka hivi leo mwezi agosti, kama ni kuathirika basi athari zisingeweza kufichika.

Hao waloandika hiyo piece ya NY toilet-paper Times si ajabu hawapo Tanzania.

Tundu Lissu mwenyewe karudi na ki barakoa chake akaishia kukitupa tu.

Jana kwenye nomination convention ya CHADEMA ilikuwa ni handshakes na hugs tu all over the place.

Same today for ACT.

Tanzania haijaathirika sana na corona.
 
Back
Top Bottom