..I get it.
..but to reach his full potential ni lazima awe na very capable advisors ktk fani mbalimbali ikiwemo hotuba.
..wanasiasa wengi wa bongo hawajiandai kutoa hotuba, au wanapokwenda kwenye press conference.
..hata Mwalimu Nyerere, Ben Mkapa, John Kennedy, Barack Obama, walikuwa na waandishi wa hotuba, and they made them look good/great yeye ni nani asiwe nao.
Anakumbuka zile shaba16Naangalia hapa acceptance speech ya Tundu Lissu.
Hoja zake nyingi, hususan zile za nguvu na uwezo wa rais, nazikubali.
Cha kushangaza ni kwamba, kila akianza kumrushia vijembe na madongo Rais Magufuli, sauti inapotea kwa muda halafu baadaye kidogo inarudi.
Anaendelea tena kuongea, lakini akianza tu kumchana Magufuli, sauti inapotea!!
Ni mimi tu ndo inanitokea? Au na wengine mmeliona hilo?
Tena hao Mwananchi piga spana mpaka Magazeti yao.Siyo Mwananchi tu ni live streaming nyingi. Ni udikteta wa aina yake Tanzania
Usipate tabu, upuuzi wa Lissu upo pia hapa. Rais hajaacha urais, kutatua changamoto za wananchi wake ni moja ya majukumu yake.Naangalia hapa acceptance speech ya Tundu Lissu.
Hoja zake nyingi, hususan zile za nguvu na uwezo wa rais, nazikubali.
Cha kushangaza ni kwamba, kila akianza kumrushia vijembe na madongo Rais Magufuli, sauti inapotea kwa muda halafu baadaye kidogo inarudi.
Anaendelea tena kuongea, lakini akianza tu kumchana Magufuli, sauti inapotea!!
Ni mimi tu ndo inanitokea? Au na wengine mmeliona hilo?
Sasa kama mnajua hilo mnaingia kwenye uchaguzi kufanya nini?Hayo yoote uliyoshauri yatafanya tume kutenda haki na kutangaza idadi ya kweli ya kura atakazopata Lissu?
Unaposema "mnaingia" mi naingiaje kwenye uchaguzi kivipi? vipi inakuuma kutoa jibu toka ukweli wa nafsi yako?Sasa kama mnajua hilo mnaingia kwenye uchaguzi kufanya nini?
Sijui ni vitisho au ndio kujipendekeza?
All in all,hotuba hii teyari ni anguko la Magu na CCM.
Wanaogopa kufungiwa kama Tanzania Daima, mtu pekee hapa Tz anayeweza kumpa makavu Magufuli bila ya kumuogopa ni Lissu tuNaangalia hapa acceptance speech ya Tundu Lissu.
Hoja zake nyingi, hususan zile za nguvu na uwezo wa rais, nazikubali.
Cha kushangaza ni kwamba, kila akianza kumrushia vijembe na madongo Rais Magufuli, sauti inapotea kwa muda halafu baadaye kidogo inarudi.
Anaendelea tena kuongea, lakini akianza tu kumchana Magufuli, sauti inapotea!!
Ni mimi tu ndo inanitokea? Au na wengine mmeliona hilo?
Acha kujipendejeza,miaka yote mitano, changamoto ndiyo kaziona leo?Usipate tabu, upuuzi wa Lissu upo pia hapa. Rais hajaacha urais, kutatua changamoto za wananchi wake ni moja ya majukumu yake.
Sikiliza Nyani, hapa Tz watu wote tunamuogopa Jiwe, tunamsema tukiwa mafichoni, si umeona kina Kinana, Mzee Makamba, Nape wamepiga magotiUtani pembeni, heshima kwa Tundu Lissu!
He has guts!
Magufuli is getting ethered here [with valid points].
Hahahahaaa.
Jiandaeni tu kumkabidhi ikulu za magogoni na chamwino shujaa Tundu Antipas Lissu. Hammuwezi kwa hoja na wala hammuwezi kiakili na Ndo mana mliishia kumfungulia makesi uchwara na mliposhindwa mkaamua kumpiga risasi kabisa.Hotuba mbovu ambayo haiwezi kumpa kura. Lissu anahitaji team nzuri ya kumshauri na ikibidi akae kambini muweze kumtengeneza asifikiri yupo uwanja wa mahakama.
Ukosoaji wake kwa Magufuli ukivaa viatu vya wananchi wa kawaida watapata picha za porojo za wapinzani dhana ambayo imeshakomaa vichwani kwao. Lissu anaimba hadithi zile zile ambazo haziwezi kuleta mabadiliko. Mbaya zaidi miaka hii mitano chama hakikuwa na ajenda ya kueleweka.
Kuna kazi kubwa ya kujenga ajenda na kuziwakilisha bila mihemko na matusi bali hekima na busara kama mtu anayeomba ridhaa ya Urais. Azungumze kama Rais na si mwanaharakati, asichanganywe na kushangiliwa na "masela".
Hoja yako ni ipi? HuelewekiUnaposema "mnaingia" mi naingiaje kwenye uchaguzi kivipi? vipi inakuuma kutoa jibu toka ukweli wa nafsi yako?
Watu wengi hamumjui magufuli kumbe.. magufuli sio mtu wa kuongea ongea na kujibizana ndio maana hana muda wa kupoteza.Utani pembeni, heshima kwa Tundu Lissu!
He has guts!
Magufuli is getting ethered here [with valid points].
Hahahahaaa.
Nani kakwambia ukiwa raisi sheria zinakuwa juu yako???? Kama kufanya fanya mambo ya kibajeti tu ili uwe na justification sio kugawa hela ivyo.Usipate tabu, upuuzi wa Lissu upo pia hapa. Rais hajaacha urais, kutatua changamoto za wananchi wake ni moja ya majukumu yake.
Ajaribu kuvunja watu sasa mwaka huu. Mnatuona watanzania ni wajinga eeeh???? Yani kwa kiburi kabisa Eti unasema atavunja watu. Tena mwambie huyo bwana wako kuwa Wenye dunia yao wamemtegea mitego yote mwaka huu. Usifikiri ile barua ya mawakili wa Amsterdam ni geresha tu . Lolote atakalofanya mwaka huu ajue Kuna arrest warrant kwake yeye na watu wake iko standby huko ICC UholanziWatu wengi hamumjui magufuli kumbe.. magufuli sio mtu wa kuongea ongea na kujibizana ndio maana hana muda wa kupoteza.
Ukijaa kwenye 18 zake anakuvunja tu kisha anaendelea na kazi. Mtakaopoteza muda ni nyinyi na lissu wenu ambao muda mwingi mtajikuta mko kwenye mikono ya dola na mahakamani. Kama mnaingia kwenye kampeni ili kugoambana na magufuli basi mjipange pia kulialia.
Mataifa ya nje yenyewe yamemjua magufuli ni mtu wa aina gani. Nyie hadi leo mmeshindwa kung' amua na muda unawaacha.
Narudia tena magufuli hatoongea ye anapiga kazi ila mamalaka zake zitaongea. Tuone nani atapoteza muda.
Concern yako iko vizuri ingawa kwa siasa za hapa kwetu hii trend ya kuacha hoja na kwenda pembeni (off point) imekuwa kama 'kigawe kidogo cha shirika' (the lowest common multiple/denominator) kwa majority ya wanasiasa wetu. Unakuta mwanasiasa anaanza vizuri hotuba yake, then huko mbele anaanza 'meandering'. Hapa nimetoa tu general comment maana sijaisikiliza hotuba yake...I get it.
..but to reach his full potential ni lazima awe na very capable advisors ktk fani mbalimbali ikiwemo hotuba.
..wanasiasa wengi wa bongo hawajiandai kutoa hotuba, au wanapokwenda kwenye press conference.
..hata Mwalimu Nyerere, Ben Mkapa, John Kennedy, Barack Obama, walikuwa na waandishi wa hotuba, and they made them look good/great yeye ni nani asiwe nao.
Hahah..we unasema barua wakati watu wamekuja na wameondoka kapa.. ndio maana nasema nyie na hao mabwana zako waliaondika barua baadhi yenu hamjajua huyu bwana. Ila mi nimewapa tahadhari tu kuwaamsha.Ajaribu kuvunja watu sasa mwaka huu. Mnatuona watanzania ni wajinga eeeh???? Yani kwa kiburi kabisa Eti unasema atavunja watu. Tena mwambie huyo bwana wako kuwa Wenye dunia yao wamemtegea mitego yote mwaka huu. Usifikiri ile barua ya mawakili wa Amsterdam ni geresha tu . Lolote atakalofanya mwaka huu ajue Kuna arrest warrant kwake yeye na watu wake iko standby huko ICC Uholanzi
Tukutane October 2020Hahah..we unasema barua wakati watu wamekuja na wameondoka kapa.. ndio maana nasema nyie na hao mabwana zako waliaondika barua baadhi yenu hamjajua huyu bwana. Ila mi nimewapa tahadhari tu kuwaamsha.
Hutaki acha.