LNG plant in Lindi

Ina maana team yetu negotiate itaogopa kulinda maslahi Taifa sababu mama kasema mazungumzo yaishe ? Vipi bungeni pia watakuwa influenced ? Sidhani mama anaona fursa iliyopo pia kustua uchumi nchi panua wigo wa revenue ......lindi na mtwara kuchere
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bunge gani unazungumzia?
 
acha ujuaji, hujui Total waliposhindwana na Tanzania walienda kufanya huo uwekezaji Msumbiji. Samia amesema kama mradi umeshindikana ufutwe atafutwe mwekezaji mpya, miaka 6 una negotidte nini?
Siyo ujuaji ila ametoa mawazo mazuri. Kwenda kufanya uwekezaje Msumbiji haimaanishi ulikuwa uwekezeji mzuri kwetu.Kila nchi ina namna ya kuangalia maslahi yake. Ziko nchi corrupt sana ambazo hazikatai chochote kinochokuja mbele yake.
 
Bongo kila mtu mjuaji. Hata kila kama huyu naye ni mtaalamu kushinda walioko huko. Inasikitisha sana.
 
Acha ushamba Total hawajawahi fanya exploration Tz, kwa hiyo kama mkataba ni mbovu tukubali tu ili muwekezaji asiende nchi nyingine, hizi ndio akili za Rais SSH, akili za kipumbavu kabisa.
Ww acha ujuaji na hujui lolote.
 
Unahisi cheo cha urais nikama cheo ktk vijiwe vyenu vya chang'aa? Unahisi anakurupuka tu! Nakuongea? Ile hutuba kumbuka imeandikwa na imeshapitiwa
 
Unahisi cheo cha urais nikama cheo ktk vijiwe vyenu vya chang'aa? Unahisi anakurupuka tu! Nakuongea? Ile hutuba kumbuka imeandikwa na imeshapitiwa
 
Unahisi cheo cha urais nikama cheo ktk vijiwe vyenu vya chang'aa? Unahisi anakurupuka tu! Nakuongea? Ile hutuba kumbuka imeandikwa na imeshapitiwa
Kuna mambo ambayo yana hitaji wataalamu au wenye historia ya kitu uwaulize kwanza, mfano work permit, nakubaliana kuna rushwa lakini pia kuna sababu ya kuweka restrictions, na pia kuna sehemu tunao local expertise au sababu ya kuwepo mtu wa kumu under study ,
Kuna issues za tra na mambo ya task force, Kuna sababu zake na unatakiwa pia ujue jinsi tatizo lilivyo kuwa kubwa.
Na kutofautisha tax avoidance na tax evasion. Evasion ni criminal act na huyo Director wa kampuni anatakiwa kufungwa kama sio kupigwa faini na mtu wake wa uhasibu au wote walio uhusika.
Ukija hili la LNG plant, pia unatakiwa kujua kilicho kwamisha nini na jinsi ya kutoka hapo na kuonyesha uwazi katika jambo hilo, ili hayo masharti yao yasionekane ni ya "wizi" mfano mtu anapokwambia kitu ni shs kadhaa, he umeangalia na suppliers wengine , mfano hapa tuna shell na equinor upande moja na serikali, kwanini wasiwepo wengine, mfano esso, total, caltex n.k.
 
Mzee hujiamini? Kwanini unaweka mawazo ya kuibiwa mbele badala ya kunufaika?
 
Great to expedite talks, but it's rather unfortunate that the project may no longer be transformative to our economy.
 
Unahisi cheo cha urais nikama cheo ktk vijiwe vyenu vya chang'aa? Unahisi anakurupuka tu! Nakuongea? Ile hutuba kumbuka imeandikwa na imeshapitiwa
SSH ni mpiga porojo, hana utaalamu wowote zaidi ya social works, kazi aliyofanya kwa muda mrefu ukiondoa siasa ni mwanaharakati wa NGO, uwezo wake wa kufikiria ni very questionable, maamuzi yake yapo ili ku please watu na makundi na sio kutatua tatizo kwa muda mrefu.
 
Ni muhimu kuwa makini sana kwenye uwekezaji huu. Uganda iliwachukua miaka 15 kupata mwafaka na wawekezaji wa mafuta, wawekezaji hawakuwa tayari kukubaliana na Uganda kuhusu ujenzi wa refinery Uganda, walitaka mafuta yote yasafirishwe na Museveni akakomalia hilo. Miaka 15 ya Museveni aliamua kusitisha negotiations hadi kupelekea kufarakana kati ya Total na Tullow hadi Total wakaamua kununua hisa zote za Tullow.

Mama akumbuke tu kuwa akilifanya hilo suala la ujenzi wa LNG Lindi kuwa dharura basi itakula kwetu. Mazingira yanayotokea Msumbiji yanatufanya tuwe na nguvu ya negotiations na hao wawekezaji.

Vv
 
Kipi kinakusukuma hapo uamini kuna kulazimishwa na kukurupuka,mbona ni kama milango ya majadiliano imefunguliwa tu ianze/ iendelee?
Kama ulisikiliza speech ya madam president bungeni jumalililopita kutaka mjadala wa LNG ukamilike na maandalizi ya TPDC wiki hii kuanza tena mjadala unaona watu wanafanya hivyo kwa pressure ya boss, sio wao wenyewe.
 
SSH ni Rais wa wawekezaji sio watanzania, yupo kulinda maslahi ya wawekezaji sio watz, ukisikiliza speech zake unaweza pata kichefuchefu, kuanzia kutoa work permit kwa foreigners kadri watakavyo hadi kulazimisha mikataba ya extractive industry kusainiwa haraka as if anasubiria mlungula, kuna uharaka gani wa kusaini mkataba wa 30bn USD bila kijiridhisha kila kitu, madhara ya mkataba mkubwa namna hii yatakuwa zaidi ya 50yrs, akikosea atakumbukwa for her naivety for generations.
 
Kwahiyo wewe na Mama Samia nani ana taarifa sahihi?
 
Kwahiyo wewe na Mama Samia nani ana taarifa sahihi?
Mama, kwani Mimi nimempinga au nimeshauri, au hataki ushauri ana kila kitu kichwani, au hao negotiations team ipo kushauri au kufuata yake
 
Siyo ujuaji ila ametoa mawazo mazuri. Kwenda kufanya uwekezaje Msumbiji haimaanishi ulikuwa uwekezeji mzuri kwetu.Kila nchi ina namna ya kuangalia maslahi yake. Ziko nchi corrupt sana ambazo hazikatai chochote kinochokuja mbele yake.
hakuna nchi ambayo haina corrupt, kinachotakiwa ni kuwa na mkataba wenye maslahi kwa wote, sio kupinga kila kijtu anachofanya Rais, inawezekana kuna watu walikuwa na maslahi yao binafsi ndio maana ukachelewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…