Wakuu wangu nipo chini ya miguu yenu.
Nikiwaomba mje hapa tujadiliane kwa kina juu ya mradi wetu wa LNG.
Kwanini mradi unachelewa?
Tufanye nini ili utekelezaji wake uanze kwa wakati?
Sisi kama watanzania njooni tujadili badala ya kuweka akili zetu kwenye Yanga na Simba njooni hapa.
Wakuu mtanisamehe kwa kuwashitukiza katika kikao hichi cha dharura. Nimeleta mjadala huu baada ya kushituliwa na hii habari.
US cautions Tanzania on LNG project delays
Drawn-out negotiations with Tanzania govt point to investor fatigue while counting costs of engagement.
www.theeastafrican.co.ke
The United States this week warned Tanzania of a likely exodus of investors in its long-anticipated, multimillion-dollar liquified natural gas project if it continues to be bogged down by delays over negotiation technicalities.
US Deputy Assistant Secretary of State Joy Basu told
The EastAfrican in Dar es Salaam this week that companies such as Exxon Mobil that have been pushing the deal with Tanzanian authorities had reached a point where they were now “willing to walk away.”
“There is LNG in lots of places around the world now, and for Tanzania the window for this particular investment is closing fast. Such windows do not remain open forever,” said Ms Basu whose portfolio in the Joe Biden administration includes overseeing economic and regional affairs in Sub-Saharan Africa.