Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 7,729
- 3,569
kila mtu atakufa dunia hii lakini inategemea utakufa kwa style gani.Bora mtwala anayekubali kufa kuliko mtawala kama Uhuru anayeua wengine
sio kuja kufa kizembe namna starring wako alivyochotwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kila mtu atakufa dunia hii lakini inategemea utakufa kwa style gani.Bora mtwala anayekubali kufa kuliko mtawala kama Uhuru anayeua wengine
mwenzenu alijifanya Starring eti Starring hawezi kuenda na maji, kumbe loh! nina uhakika iwapo angeshinda vita ile basi angejiita mungu kabisa.
subiri na wewe pia yakukute pengine unaweza au usiweze kuja kuleta ushuhuda.
Amewaua wengine kwa njia ipi? Kwa kuwashauri wasivalie barakoa, kwa kusema kwamba COVID-19 haipo Kenya. Au kwa kuwaeleza kwamba kupiga nyungu na kutumia ndimu na malimao ndio chanjo kamili dhidi ya virusi hivyo?Bora mtwala anayekubali kufa kuliko mtawala kama Uhuru anayeua wengine
Hawa jamaa walirogwa sio siri. Hata baada ya COVID-19 kupita na dikteta wao bado hawaamini kwamba janga hili ni la kweli. Yaani ni kama dejavu, wamerudi pale pale walipokuwa bila kujifunza jambo lolote! Ndio wale sikio la kufa ambalo wahenga walikuwa wanalizungumzia.kukosa akili ni kitu mbaya sana
nani ameongelea kuhusu rais au corona mbona kama unajishuku kiaina flani hivi?tofauti yako na mbwa unatembea miguu miwili.
umeambiwa rais amefariki kwa shambulio la moyo,mnyeo unakuwasha na corona,corona ni nini bana mpaka mnafungiana kama mbwa hapo kwenu???
hawa ni maiti wanaotembea. ukiona wameanza kupotea mmoja mmoja hapa jukwaani, jua mambo tayari....Hawa jamaa walirogwa sio siri. Hata baada ya COVID-19 kupita na dikteta wao bado hawaamini kwamba janga hili ni la kweli. Yaani ni kama dejavu, wamerudi pale pale walipokuwa bila kujifunza jambo lolote! Ndio wale sikio la kufa ambalo wahenga walikuwa wanalizungumzia.
nani ameongelea kuhusu rais au corona mbona kama unajishuku kiaina flani hivi?
ni vyema tafsida iweze kutumika kiasi hapa.
starring wako yalimkuta yaliyomkuta! maskini mtu watu aliteseka sana na wapambe wake walijaribu kufichaficha aibu, mara Nairobi mara India huku mkiaminishwa kwamba yuko fit na anachapa kazi.
kondoo kama wewe uliamini kwamba ni kweli starring anatekeleza majukumu yake.
mpaka kufikia hatma ya starring wako kuenda na maji, bado utaendelea kumuamini yule aliyekudanganya mara kwanza kwamba sasa ni shambulio la sijui nini/ mzenna na wala sio changamoto za upumuaji?
wewe ni kondoo nambari moja duniani.
Wewe achana na sisi!! Hangaika na kunyaland yako sisi tunaendelea na kazi kama kawaida kwa sasa napiga bia kwenda mbele. Rais wetu Magufuli hakufa kwa Covid kama unavyosema wewe fala!mwenzenu alijifanya Starring eti Starring hawezi kuenda na maji, kumbe loh! nina uhakika iwapo angeshinda vita ile basi angejiita mungu kabisa.
subiri na wewe pia yakukute pengine unaweza au usiweze kuja kuleta ushuhuda.
Wewe una uhakika gani haswa kafa na Corona? Au hisia zako wewe na utakavyo? .. magonjwa mengine yamepotea baada ya Corona ama?Hawa jamaa walirogwa sio siri. Hata baada ya COVID-19 kupita na dikteta wao bado hawaamini kwamba janga hili ni la kweli. Yaani ni kama dejavu, wamerudi pale pale walipokuwa bila kujifunza jambo lolote! Ndio wale sikio la kufa ambalo wahenga walikuwa wanalizungumzia.
Haya kweli inabidi yafungiwe kama bata. Yafungiwe hata kuingia humu.Wewe achana na sisi!! Hangaika na kunyaland yako sisi tunaendelea na kazi kama kawaida kwa sasa napiga bia kwenda mbele. Rais wetu Magufuli hakufa kwa Covid kama unavyosema wewe fala!
kuna picha moja niliiona kule twittani ya huyo starring na jamaa wengine watatu, sikujua kama alikua anakula kiapo au namna gani lakini imethibitishwa kuwa hao wote saa hizi wako futi sita chini ya ardhi wanaliwa na mabuu...ulivyo nyani mweusi unaamini ni corona,hapo nairobi mnatibu corona sasa!!!!
kuna walinzi na mpambe wake,vipi wao corona imewaogopa au???
kanye ukaoge.
Si mlielezwa kwamba muache uvumi na kwamba rais wenu anachapa kazi? Wajinga nyinyi.Wewe una uhakika gani haswa kafa na Corona? Au hisia zako wewe na utakavyo? .. magonjwa mengine yamepotea baada ya Corona ama?
huku lazima tutaingia vile tunavyotaka ndugu. tunaingia na kutoka kama vile tunaingia chooni na hakuna kitu mtafanyaHaya kweli inabidi yafungiwe kama bata. Yafungiwe hata kuingia humu.
Kwani wewe utaishi milele? Ni mawazo ya mbwa ndiyo anaweza kufikiria hivyo kunyaland.kuna picha moja niliiona kule twittani ya huyo starring na jamaa wengine watatu, sikujua kama alikua anakula kiapo au namna gani lakini imethibitishwa kuwa hao wote saa hizi wako futi sita chini ya ardhi wanaliwa na ma-boo.
polepole tu mambo yanazidi kuwa mambo
kuna picha moja niliiona kule twittani ya huyo starring na jamaa wengine watatu, sikujua kama alikua anakula kiapo au namna gani lakini imethibitishwa kuwa hao wote saa hizi wako futi sita chini ya ardhi wanaliwa na ma-boo.
polepole tu mambo yanazidi kuwa mambo
huku lazima tutaingia vile tunavyotaka ndugu. tunaingia na kutoka kama vile tunaingia chooni na hakuna kitu mtafanya
nimekwambia kila mtu atakufa dunia hii lakini inategemea utakufa design gani.Kwani wewe utaishi milele? Ni mawazo ya mbwa ndiyo anaweza kufikiria hivyo kunyaland.
Kumbe nawasiliana na idiot?nimekwambia kila mtu atakufa dunia hii lakini inategemea utakufa design gani.
starring wako alikufa ufala sana sijawai pata kuona. ningekuweko mazishini ningemnyanyua na kumpiga mtama hadi kieleweke
Jibu swali waheed wewe. Una uhakika na unachokisema au kujifariji na your fantansies?Si mlielezwa kwamba muache uvumi na kwamba rais wenu anachapa kazi? Wajinga nyinyi.
Ila kwako hutoki? [emoji1][emoji1]huku lazima tutaingia vile tunavyotaka ndugu. tunaingia na kutoka kama vile tunaingia chooni na hakuna kitu mtafanya